Wewe unaona wanatendewa haki??Hivi mnaogopa Usaili wa nini
Watu wa kada zingine wanapambana miaka yote na hakuna kelele na wanapata wengi tu
Komaeni, Usaili wala hautishi, nenda pale ukaone watu wa account wanaiga interview wana miaka 10 toka wamalize na wanatoboa
Hapa CCM wamecheza km Peleee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawana shida na wewe. CCM wao wametafuta namna ya kujivua au kujitenga na lawama za kwanini wewe upo mtaani. Hakika tuna safari ndefu kama taifa.
Kama walimu hawatendewi haki basi kada zote hawatendewi hakiWewe unaona wanatendewa haki??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie mnachekeshaaa.Bora wewe Mimi nimefanyiwa interview na mwanafunzi niliyemfundishaga chekechea...
Ndo nilichomaanishaKama walimu hawatendewi haki basi kada zote hawatendewi haki
Hata alipoanza kuajiri ,alitoa Ajira chache sana kufidia waliostaafu.John aliharibu sna mfumo ,,, john aliwatoa kafara wahitimu wa mwaka 2015 mpaka 2018 ,,, maana john hakuajiri kwa kipindi cha miaka 3 streight na hata alipoanza hakuwa na huruma wala hakutaka kuwakumbuka wahitimu wa miaka hiyo tajwa ..
Huyo mzee wako atakuwa alilinga kuajiriwa kipindi cha kikwete maana kipindi kile watumishi walikuwa wanabembelezwa sana na wanalinga kwakuwa hata ukiitwa usipoenda una uwezo wa kuomba tena na ukapewa ajiraSwala la umri nalo walipe kipaumbele aisee..kuna jamaa kamaliza chuo 2009 na sasa anaumri wa miaka 43 kabakiza miaka 2 Dirisha la usajili lifungwe kwenye swala la kuajiriwa serikalini.Ajira za hv karibuni nazo amejaribu kuomba tena na anasema mpaka dirisha la usajili lifungwe ndo atainua mikono juu....Huyu unaenda kumshindanisha... sisemi kushindanisha ni jambo mbaya hapana unamshindanisha na aliyemaliza chuo mwaka jana mi nadhani CV yake huyu ndo ingempitisha kwa sababu hata akiajiriwa kabakiza miaka 17 tu ya kustaafu nalo hili waliangalie sana.
Unafiri kujiajili ni rahisi ?? ,,, watu biashara zinakufa ,, mitaji inazama ,,, kwenye business miaka 5 ni michache sana kukupa picha kamili ya muelekea wa biashara yako na maisha kwa ujumla ( nikiwa na maana kuoa na kuweza kuendesha familia kama baba )..Kazi na umri wacha Madogo wale Ajira Miaka mitano kama Umesurvive bila Ajira lazima utakua ushajiajiri tayari
Kisha wanaona kaka zao na dada kama maboya waliojichanganya na kuchanganyikiwa. Ni Jambo Baya linalochafua Sana.ajira nyingi wangekua wanaangalia na umri pia. mtoto wa miaka 25 ana ajira kaka zake wana miaka 35 bado ngoma inasoma asian handicap -1.5
Omba yasikukute. Hao watu nahisi maombi Yao mbele za sir God the Chief of Creation yako sawa ki uzito na wale watoto waliotolewa mimba wakaflashiwa na Mama zao. Rejea kitabu ufunuo wa Yohana.Swala la umri nalo walipe kipaumbele aisee..kuna jamaa kamaliza chuo 2009 na sasa anaumri wa miaka 43 kabakiza miaka 2 Dirisha la usajili lifungwe kwenye swala la kuajiriwa serikalini.Ajira za hv karibuni nazo amejaribu kuomba tena na anasema mpaka dirisha la usajili lifungwe ndo atainua mikono juu....Huyu unaenda kumshindanisha... sisemi kushindanisha ni jambo mbaya hapana unamshindanisha na aliyemaliza chuo mwaka jana mi nadhani CV yake huyu ndo ingempitisha kwa sababu hata akiajiriwa kabakiza miaka 17 tu ya kustaafu nalo hili waliangalie sana.
Hii sasa itafanya wahitimu wawe wanatunza notes zao na wawe wanajisomea hadi wafanyiwe interview na kupata kazi.Yani mtu kahitimu chuo ana miaka 6 ama 5 anaenda kufanya interview na watoto aliowafundisha shule kipindi yupo field ama aliowaacha shule muda mrefu
Yani mtoto kamaliza juzi chuo anaenda kula ajira kwakuwa kafaulu interview na Hana muda mrefu kumaliza chuo bado ubongo wake umejaa material ya shule na hana stress zozote za mtaani kweli maisha haya sio Fair kabisa
Basi sawa kama wameamua interview basi wangezingatia na miaka ya kuhitimu ila kupunguza kundi lililokaa mtaani muda mrefu
Kujiajiri si lele mama ila ukishakaa mtaani muda mrefu unakosa soko poa maana ajira ni chache na wanaomaliza ni kila siku piaUnafiri kujiajili ni rahisi ?? ,,, watu biashara zinakufa ,, mitaji inazama ,,, kwenye business miaka 5 ni michache sana kukupa picha kamili ya muelekea wa biashara yako na maisha kwa ujumla ( nikiwa na maana kuoa na kuweza kuendesha familia kama baba )..
Fanya research ndogo tu hapo kitaa kwenu ,, ni biashara ngapi zimeweza ku-survive for 5 years ?? ,,, hii inatakupa picha kamili ya nilichoandika hapo juu ,,
Point yangu ni kuwa most graduates kuanzia waliomaliza 2015 mpaka sasa bado hawajajipata na wengi bado wanazitegemea hizo ajira asikwambie mtu ,, the fact that they are not yelling on social networks it doesn't mean that they are happy and they are no longer need those jobs any more ,,, ni vile tu wameamua kukaa kimya na kuendele kujaribu kuomba tena na tena kimya kimya ..
Wasome nini sasa?Vijana mna mioyo migumu daah enzi hizi mtu anasomea bachelor of education.
Education wasome watu wenye pesa ili wakagungue private school
sasa naye huyo anasubiri ajira?Swala la umri nalo walipe kipaumbele aisee..kuna jamaa kamaliza chuo 2009 na sasa anaumri wa miaka 43 kabakiza miaka 2 Dirisha la usajili lifungwe kwenye swala la kuajiriwa serikalini.Ajira za hv karibuni nazo amejaribu kuomba tena na anasema mpaka dirisha la usajili lifungwe ndo atainua mikono juu....Huyu unaenda kumshindanisha... sisemi kushindanisha ni jambo mbaya hapana unamshindanisha na aliyemaliza chuo mwaka jana mi nadhani CV yake huyu ndo ingempitisha kwa sababu hata akiajiriwa kabakiza miaka 17 tu ya kustaafu nalo hili waliangalie sana.
Uhandisi maana Tanzania ni developing country kila siku miradi mipya inazaliwa.Wasome nini sasa?
Hivi 35 kibongo bongo kumbe ni mzee?na mbona uvccm wanasema wao uzee unaanzia 60+?Wa miaka 25 ni productive kuliko hiyo Mzee