Kila nikikumbuka CHADEMA walivyowapigania Halima, Bulaya na Matiko kuwatoa jela nauona Upinzani ni Ubatili mtupu!

Kila nikikumbuka CHADEMA walivyowapigania Halima, Bulaya na Matiko kuwatoa jela nauona Upinzani ni Ubatili mtupu!

Mimi ni CCM lakini nilichanga kwa sababu Halima James Mdee alikuwa ni mbunge wangu wakati ule nami naamini maendeleo hayana vyama.

Lakini nilivutiwa zaidi na busara ya CHADEMA kwamba tuwatoe kwanza hawa akina mama wa Bawacha halafu Mbowe na wanaume wengine wafuate.

Tena Mbowe akasema yeye atakuwa wa mwisho kutoka na fedha isipotosha basi atatumikia kifungo.

Pia nakumbuka jinsi Polepole alivyotimba gerezani na kumtoa Dkt. Mashinji pekee huku hawa Bawacha wakikodoa macho.

Leo hii kweli ndio akina Halima James Mdee wako bungeni kwa niaba ya watu wasiojulikana na siyo Chadema?
Afadhali hata angesaliti mchungaji Msigwa inaeleweka ni mwanafamilia.

Kwa kweli nikifuatilia kinachoendelea Russia nauona Upinzani wa Tanzania ni ubatili mtupu yaani ni " danganya toto"

Maendeleo hayana vyama!
Mlevi akiwa amelewa huongea kweli yote.
Leo tumejua kazi ya wasiojulikana kupitia mlevi wa maji ya bendera ya kijani mwee
 
Mimi ni CCM lakini nilichanga kwa sababu Halima James Mdee alikuwa ni mbunge wangu wakati ule nami naamini maendeleo hayana vyama.

Lakini nilivutiwa zaidi na busara ya CHADEMA kwamba tuwatoe kwanza hawa akina mama wa Bawacha halafu Mbowe na wanaume wengine wafuate.

Tena Mbowe akasema yeye atakuwa wa mwisho kutoka na fedha isipotosha basi atatumikia kifungo.

Pia nakumbuka jinsi Polepole alivyotimba gerezani na kumtoa Dkt. Mashinji pekee huku hawa Bawacha wakikodoa macho.

Leo hii kweli ndio akina Halima James Mdee wako bungeni kwa niaba ya watu wasiojulikana na siyo Chadema?
Afadhali hata angesaliti mchungaji Msigwa inaeleweka ni mwanafamilia.

Kwa kweli nikifuatilia kinachoendelea Russia nauona Upinzani wa Tanzania ni ubatili mtupu yaani ni " danganya toto"

Maendeleo hayana vyama!
Acha kuongea taka taka wewe kuku. Wale ni wabunge wa spika CDM iliwafukuza mda mrefu Sana
 
Kaunda alipokubali kushindwa hivi alibezwa namna gani. Fursa hiyo aliyoitoa Kaunda ndiyo inafanya uchaguzi wa Zambia uwe kama kama unavyokuwa, laini angelazimisha kukaa madarakani (alikuwa na jeshi, polisi, usalama wa taifa na vyombo vyote) leo usingeona transition ya madaraka huko Zambia. May be Tanzania missed such an opportunity in 1995 under the influence of Mwalimu!
 
Back
Top Bottom