Kila nikikumbuka hili tukio la Hostel ya Mabibo UDSM huwa Nakosa imani!

Kila nikikumbuka hili tukio la Hostel ya Mabibo UDSM huwa Nakosa imani!

Ctech

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2010
Posts
754
Reaction score
818
Maisha ya wanachuo huwa yana Maigizo Mengi hasa kwa Dada zetu, leo nakumbuka tukio Moja la Mwaka 2010 Pale Hosteli za Mabibo za Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Block D

Nikiwa Pale Hostel ya udsm mabibo nilikaa na mshikaji mmoja room moja, alikuwa first year mimi nikiwa second year.. Huyu bwana mdogo alikuwa wa kishua haswa na alikuwa na maisha mazuri katika nyanja ya kiuchumi..

Huyu bwana Alinunuliwa Gari na wazee wake ili route za chuo na mabibo ziwe rahisi wala asipate purukushani za kwenye Shuttle (Mabasi ya Mabibo to campus)!

Akatokea kupendana na Bidada mmoja Huko kwenye kitivo chake (Alikuwa akisoma Udsm Business school.. Mapenzi yao yaliendelea vyema mpaka muda wa Uchaguzi wa DARUSO, Baada ya Uchaguzi kukamilika yule demu wake akafanikiwa kuwa spika wa Bunge la DARUSO.. Mambo yakaanza kubadilika demu akaanza kum ignore Mshikaji, na hapo mshikaji keshampeleka Route nyingi za Mcity.. Cinema kampeleka sana na Mshikaji anadai hajawahi piga mzigo!

Basi ukishakuwa kiongozi wa DARUSO kula ni bure cafeteria zote za chuo na makazi ya Uhakika Demu Akampiga Mshikaji chini, Hakuamini!

Wiki Mbili Nyuma Baada ya uchaguzi kuisha kuna wale ma food taster mara nyingi huwa ni mwanamke na mwanaume, sasa mara nyingi mimi huwa nakula cafe demu mmoja food taster akanitonya kuwa Vipi mchizi ana demu? Nikasema kwa kweli sijui.. Ee bwana kumbe demu katafuta namba ya Mshikaji na akaanza kumseduce Mshikaji.. mimi nakuja kushtuka siku demu kaniachia simu yake na naona Namba ya Mshikaji ikituma text "Babe lets have a Lunch", nikajifanya sijaona.. Kumbe Manzi alinistukia kuwa nishaona tayari!

Akaja akafunguka mwenyewe kuwa Mshikaji na yeye sasa ni wapenzi nikajifanya kustuka.. naenda room mwana naye akanichana kuwa demu ni manzi ake na ako naye sasa!

Siku Moja akamsindikiza demu maeneo ya Jeshini-Mabibo alipotoka huko akamwambia demu kwamba "Nina mtu wangu, lets Break Up" demua akamwambia Fresh.. baada ya kuachana na huyo Food taster ndipo akapigwa chini na demu wake ambaye amekuja kuwa Speaker wa Bunge la DARUSO!

Siku ya siku huyo demu Food taster ananipigia simu kwamba mwana anambembeleza eti warudiane.. alikosea na kukurupuka kumwambia waachane.. kwa kuwa demu ni mshikaji wangu ananiambia kamkazia.. hakumpenda ila Alipenda kuwa na uhakika wa lift ya Mabibo mpaka chuo, mshikaji si ana Gari bwana!

Dogo akawa ananilalamikia everytime.. akawa ananiambia Bro kwa hii situation ambayo kila mwanamke anakuja kwangu akiwa na intetion ya material nitapata Mapenzi ya dhati kweli? nitaaminije kuwa mwanamke ananipenda mimi na sio vitu vyangu?.. Nilishindwa Kumjibu!

Hebu wewe uliyewahi kuwa katika Hii hali shauri ulipataje mapenzi ya dhati katika scenario kama hii?.. na Nyinyi wanawake kama mtu humpendi kwanini ujilazimishe kuwa naye kisa tu ana material things?

Santana
 
Unatafutaje mapenzi ya kweli chuo!?.. Wengine ada zao mpaka ukoo ujichange then mdosi ukijitokeza utakataliwa!?..
Me nalaumu wanaosema vijana wasijihusishe na mapenzi mpaka wafike chuo!.. Mbona wazungu wana dates toka vitoto, kijamaa kinakuja gonga kwako na unakipa mtoto wako kitoke nae!. Fresh!.
 
First thing anakosea approach yake. Aache kujionesha ana pesa kwa madem. Hatakama anazo akae normal tu.

Demu ambae atavutiwa nae bila jamaa kuonesha utajiri wowote basi huyo ndio right. Lakin akitanguliza pesa ataendelea kuokota wadangaji for the rest of his life
Maisha ya wanachuo huwa yana Maigizo Mengi hasa kwa Dada zetu, leo nakumbuka tukio Moja la Mwaka 2010 Pale Hosteli za Mabibo za Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Block D

Nikiwa Pale Hostel ya udsm mabibo nilikaa na mshikaji mmoja room moja, alikuwa first year mimi nikiwa second year.. Huyu bwana mdogo alikuwa wa kishua haswa na alikuwa na maisha mazuri katika nyanja ya kiuchumi..

Huyu bwana Alinunuliwa Gari na wazee wake ili route za chuo na mabibo ziwe rahisi wala asipate purukushani za kwenye Shuttle (Mabasi ya Mabibo to campus)!
Akatokea kupendana na Bidada mmoja Huko kwenye kitivo chake (Alikuwa akisoma Udsm Business school.. Mapenzi yao yaliendelea vyema mpaka muda wa Uchaguzi wa DARUSO, Baada ya Uchaguzi kukamilika yule demu wake akafanikiwa kuwa spika wa Bunge la DARUSO.. Mambo yakaanza kubadilika demu akaanza kum ignore Mshikaji, na hapo mshikaji keshampeleka Route nyingi za Mcity.. Cinema kampeleka sana na Mshikaji anadai hajawahi piga mzigo!
Basi ukishakuwa kiongozi wa DARUSO kula ni bure cafeteria zote za chuo na makazi ya Uhakika Demu Akampiga Mshikaji chini, Hakuamini!

Wiki Mbili Nyuma Baada ya uchaguzi kuisha kuna wale ma food taster mara nyingi huwa ni mwanamke na mwanaume, sasa mara nyingi mimi huwa nakula cafe demu mmoja food taster akanitonya kuwa Vipi mchizi ana demu? Nikasema kwa kweli sijui.. Ee bwana kumbe demu katafuta namba ya Mshikaji na akaanza kumseduce Mshikaji.. mimi nakuja kushtuka siku demu kaniachia simu yake na naona Namba ya Mshikaji ikituma text "Babe lets have a Lunch", nikajifanya sijaona.. Kumbe Manzi alinistukia kuwa nishaona tayari!

Akaja akafunguka mwenyewe kuwa Mshikaji na yeye sasa ni wapenzi nikajifanya kustuka.. naenda room mwana naye akanichana kuwa demu ni manzi ake na ako naye sasa!
Siku Moja akamsindikiza demu maeneo ya Jeshini-Mabibo alipotoka huko akamwambia demu kwamba "Nina mtu wangu, lets Break Up" demua akamwambia Fresh.. baada ya kuachana na huyo Food taster ndipo akapigwa chini na demu wake ambaye amekuja kuwa Speaker wa Bunge la DARUSO!
Leo huyo demu Food taster ananipigia simu kwamba mwana anambembeleza eti warudiane.. alikosea na kukurupuka kumwambia waachane.. kwa kuwa demu ni mshikaji wangu ananiambia kamkazia.. hakumpenda ila Alipenda kuwa na uhakika wa lift ya Mabibo mpaka chuo, mshikaji si ana Gari bwana!

Dogo ananilalamikia everytime.. ananiambia Bro kwa hii situation ambayo kila mwanamke anakuja kwangu akiwa na intetion ya material nitapata Mapenzi ya dhati kweli? nitaaminije kuwa mwanamke ananipenda mimi na sio vitu vyangu?.. Nilishindwa Kumjibu!

Hebu wewe uliyewahi kuwa katika Hii hali shauri ulipataje mapenzi ya dhati katika scenario kama hii?.. na Nyinyi wanawake kama mtu humpendi kwanini ujilazimishe kuwa naye kisa tu ana material things?

Santana
 
First impression is everything. Akikaa kitajiri ataokota magold digger. Akae normal tu
Ungemwambia apaki gari aanze kukata shato pori daily na aanze kula misosi kwa mama mwarabu pale.
Angepata wenye mapenzi ya dhati.

Sio kila siku unatembelea gari halafu misosi yako unakula kule complex, unategemea nini.
Si utapata tu gold diggers??
 
Mkuu ktk story zote za mabibo hostel umeamua kuleta hii? Siku nyingine tafuta nzuri au nenda kwa wapemba au hospital pale wakakupe story za hostel
 
First thing anakosea approach yake. Aache kujionesha ana pesa kwa madem. Hatakama anazo akae normal tu.

Demu ambae atavutiwa nae bila jamaa kuonesha utajiri wowote basi huyo ndio right. Lakin akitanguliza pesa ataendelea kuokota wadangaji for the rest of his life
Mkuu hela haijifichi kaka kama ipo ipo tuh na itaonekana tuh
 
Back
Top Bottom