Kila nikikumbuka visa vya Mama Mwenye Nyumba, Kanyenye (Tabora) sirudi tena

Kila nikikumbuka visa vya Mama Mwenye Nyumba, Kanyenye (Tabora) sirudi tena

pole sana mama... mi nakushauri tu uwe unalamba ndimu au limao. otherwise mimi sioni effect ya unachoandika.... na zaid zaidi muulize mkeo atakwambia vizuri why bado huwa anakuja kufuata huduma kwangu.mengine ni chuki tu za kitoto....

"Pole mama.... mara muulize mkeo", Hii inaonyesha una IQ ndogo ndo maana ukajiingiza kuiga mambo usiyoyajua na baada ya kuathirika nayo unatafuta wafuasi kwa kasi. Nimekushika pabaya uhayawani wako hutauneza hivi hivi na wewe uachwe tu, tutakuandama..
 
tabia zako ni kama za mmama mwenye wivu mja mzito ingawa ulioa lakini nadhani ndo bahati mbaya zipo hivyo.utapata shida sana maana wewe si wa kwanza kuja na chuki ila zitakusumbua maana mimi ndo nipo JF kama hivi. pengine unawaza kutokana na uzoefu wako. mimi nachanja mbuga.. kila ukicheck utakuta "gudume kapita hapa" hilo jambo utakaa nalo miaka mingi sana na litakutesa sana ila ndo inabaki hivyo.
"Pole mama.... mara muulize mkeo", Hii inaonyesha una IQ ndogo ndo maana ukajiingiza kuiga mambo usiyoyajua na baada ya kuathirika nayo unatafuta wafuasi kwa kasi. Nimekushika uhayawani wako hutauneza hivi hivi na wewe uachwe tu, tutakuandama..
 
tabia zako ni kama za mmama mwenye wivu mja mzito ingawa ulioa lakini nadhani ndo bahati mbaya zipo hivyo.utapata shida sana maana wewe si wa kwanza kuja na chuki ila zitakusumbua maana mimi ndo nipo JF kama hivi. pengine unawaza kutokana na uzoefu wako. mimi nachanja mbuga.. kila ukicheck utakuta "gudume kapita hapa" hilo jambo utakaa nalo miaka mingi sana na litakutesa sana ila ndo inabaki hivyo.

Mawe yangu yamekupata kweli kweli, Anyway watu wanajua wewe ni agent wa Mashoga na sisi TZ tumekataa kabisaaaaa, Angalau kizazi hiki, utajibaraguza lakini huo ndio ukweli.
 
usishtuke dunian kuna watu kama sisi huwa tunalaaniwa na kutishiwa lakini tunadunda miaka yote na laana hazitupati.. ipo mifano. kuna mtu anaitwa bashite.nadhan kwa tz anaongoza kuchukiwa na baadhi ya watu..wakati huo huo anapendwa na watu wengine... mimi nlishasomewa mpaka albadili na sheikh mmoja sababu ya kumla mabint zake na mdogo wake wa kike. mimi sikuwa na kosa katika hilo sababu bit alikuwa mkubwa kabisa. nikamla..tukaachana.. akaja dada yake nikamla.. baba yao akafaham... akaja juu na kunilaani... wakati huo nilikuwa namla mdogo wake baba yao....

GuDume
Yesu na Maria!!!
 
ha ha ha.. Poise hivi ni vijimambo tu anyway usijali kwa sasa nmeacha huo utundu natafuta mke mzuri nioe. kama una dada yako mzuri nisukumue huku nami nitulie kama wewe ndugu yangu......

GuDume
Yesu na Maria!!!
 
ha ha ha.. Poise hivi ni vijimambo tu anyway usijali kwa sasa nmeacha huo utundu natafuta mke mzuri nioe. kama una dada yako mzuri nisukumue huku nami nitulie kama wewe ndugu yangu......

GuDume ,
Mkuu,
Duuuuuuh,
Kwa hizi story zako hata kama ni gahawa ama story za vijiweni Dada yangu au mdogo wangu kukusukumia wewe daaaaah, Hapana Mkuu.

Daah, bora tu awe Sister wa kanisa Catholic.

Kama umebadilika na yalikuwa mambo ya ujana hapo sawa sawa.

Lakini bado elder sister au young sister wangu sikusukumii Mkuu.

Haaa haaa haaa haaa haaa haaa.
 
Nmebadilika sana ndugu yangu.... Sana yaani kwa sasa dada yako atakuwa salama na mwenye amani kabisa. Usimfanye awe sister please... Ule hata mahari yake kidogo na nyie mfurahie mlipata dada mzuri kwenye familia yenu.kuliko kuwapelekea baadhi ya mapadri mabazazi wakawe wanajibandulia tu kimya kimya bure.

Tuwasiliane ... Unaona sasa tunaunga hata unduku.yaani kwa sasa suala la kurushiwa 100,000 au 50,000 za voucher toka kwangu ona kawaida tu... Nitumie namba yako ya simu please...nikutumie voucher ili unitumie namba ya sister au picha yake nimwone .

GuDume ,
Mkuu,
Duuuuuuh,
Kwa hizi story zako hata kama ni gahawa ama story za vijiweni Dada yangu au mdogo wangu kukusukumia wewe daaaaah, Hapana Mkuu.

Daah, bora tu awe Sister wa kanisa Catholic.

Kama umebadilika na yalikuwa mambo ya ujana hapo sawa sawa.

Lakini bado elder sister au young sister wangu sikusukumii Mkuu.

Haaa haaa haaa haaa haaa haaa.
 
Nmebadilika sana ndugu yangu.... Sana yaani kwa sasa dada yako atakuwa salama na mwenye amani kabisa. Usimfanye awe sister please... Ule hata mahari yake kidogo na nyie mfurahie mlipata dada mzuri kwenye familia yenu.kuliko kuwapelekea baadhi ya mapadri mabazazi wakawe wanajibandulia tu kimya kimya bure.

Tuwasiliane ... Unaona sasa tunaunga hata unduku.yaani kwa sasa suala la kurushiwa 100,000 au 50,000 za voucher toka kwangu ona kawaida tu... Nitumie namba yako ya simu please...nikutumie voucher ili unitumie namba ya sister au picha yake nimwone .


GuDume,
Mkuu,
Haaa haaa haa haaa haa haaa.

Sasa mkuu, tena unarusha mstari kwangu badala uombe tu namba za sisters halafu ndiyo ujieleze kwao kuwa utotoa vocha na dowary.

Daah, basi tena hamna namna.
 
Ha ha ha.... Naanza kujenga undugu kuanzia kwa shemeji. Anyway.. Nipatie tu namba yake...
GuDume,
Mkuu,
Haaa haaa haa haaa haa haaa.

Sasa mkuu, tena unarusha mstari kwangu badala uombe tu namba za sisters halafu ndiyo ujieleze kwao kuwa utotoa vocha na dowary.

Daah, basi tena hamna namna.
 
Ha ha ha.... Naanza kujenga undugu kuanzia kwa shemeji. Anyway.. Nipatie tu namba yake...

GuDume ,
Mkuu,
Haaaa haaa haa.

Sasa mkuu, umri wangu ni 70 yrs old sasa sisters unadhania watakuwa na ngapi!?

Japo sijui umri wao maana wanawake huwa hawaulizwi umri jambo la msingi ni upendo tu.

Vipi mkuu, nikutumie namba zao!?.
 
Nitumie tu... Ng'ombe hazeek maini. Ya kale ni dhahabu. Hao ndo ntadumu nao

GuDume ,
Mkuu,
Haaaa haaa haa.

Sasa mkuu, umri wangu ni 70 yrs old sasa sisters unadhania watakuwa na ngapi!?

Japo sijui umri wao maana wanawake huwa hawaulizwi umri jambo la msingi ni upendo tu.

Vipi mkuu, nikutumie namba zao!?.
 
Ha ha ha... Poise nashukuru ndugu yangu. Jf ni sehemu ya kufurah na kutengeneza marafiki. Haina haja ya kugombana na kutunishiana misuli. Nmefurahi kukufaham. Karibu sana kijitonyama

GuDume,
Mkuu
Haa haaaa haaa haaa haaa.

Daah, basi tena.

I rest my case.
 
Ha ha ha... Poise nashukuru ndugu yangu. Jf ni sehemu ya kufurah na kutengeneza marafiki. Haina haja ya kugombana na kutunishiana misuli. Nmefurahi kukufaham. Karibu sana kijitonyama

GuDume ,
Mkuu,
Unanikaribisha kijitonyama!?

Haaa haaa haaa haaa haa a.

Mara ya mwisho nilipita hapo nikiwa kakijana tu yaani, kavulana.

Ila mkuu kukaribishana huko Kijitonyama ni kama vile hupendi kuniona nikija kwa Sister yangu ukiisha muoa nini!?

Huko si maana yake ni "Kijito Kinacho Tiririka Nyama na Damu??"

Au una maanisha Kijitonyama ya wapi Mkuu?

Asante tu Mkuu, nitafika.

Nami hupenda kuandika na kuchangia mada kiustarabu mkuu kisha na kupata marafiki kama hivi.

Basi, mwanajamvi akiniletea mbofu mbofu basi nakaa kimya.
 
Hiyo inaitwa Mboka Manyema. Uende tena ujaribu na mitaa ya Ng'ambo, au Chemchem.
 
Back
Top Bottom