Ni karibu na shule ya msingi kazembe, mtaa unaotokea barabara ya kitete adjacent na Msikiti ulizia Kwa mama vishenshedeNgoja nifanye mpango niamie Kanyenye Tabora. Mkuu utanielekeza hiyo nyumba uliyokuwa ukiishi.
Hahahaaa rost n sumu sanaKama aliweza kukunyonya mpaka kwenye njia ya haja kubwa na hukushtuka uliona kawaida tu, nina wasiwasi ulimi uliingia na dole kubwa lile la kati pia lilipita. Lakin hongera mkuu
duhThey fucked ur soul.umelala na mapepo unaona sifa
Ni kweli mkuu, nilikaa miezi mitano lakini Ni noumaa.Tabora napajua sana huo mkoa ni kama mikoa ya pwani kwa kila kitu,watoto wa kike wazurii ,wanamaisha magum na wajachowaza ni mapenzi tuuu ikigusa razima unase
Tukutuku watu tulikuwa tunaenda na suruali moja tu,unaifua unaanika ikikauka unaifua tena mradi tu uendelee kuona mawoso.Kutongoza domo zege basi wala kwa macho tu...Boys ilikuwa raha sana.Hahahahaa sitasahau siku moja tukutuku tuko na wasichana wa girls tunafuata maji.aisee walambo walitutoa ndukii[emoji23] [emoji23] [emoji23] . I missed those days lol..
Mie nadhani ulikuwa yule mama muuza fimbo kubwa((gongo)) anajulikana kwa kanga mokoNi karibu na shule ya msingi kazembe, mtaa unaotokea barabara ya kitete adjacent na Msikiti ulizia Kwa mama vishenshede
Kuna mahali nilipotea nikasahau kilichompeleka Tabora kama ilikuwa kazi au nini...Nimesoma yote,hatari sna naona kila atakaye jipendekeza unakula.
Ule mkoa wote sio wa mchezoYani mume wa mtu akihamishiwa Tabora halafu familia aiache kwingine yani ndoa nyingi za hivyo lazima ziingie ICU