Kila nikilala na mwanamke yeyote huwa wananing'ang'ania

Kama ukilala nao wanakung'ang'ania basi next time simama nao!!!

Umelipia hili tangazo lako lakini?
 
wakuu na tatizo kubwa sana kila nikila chakula nashiba hhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaha
 
Unahonga sana,katika pato la 20 unahonga 18 lazima wakung'ang'anie tu.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hyo Kawaida mkuu mbona kila Mwanaume anaambiwaga hivo afu hivo mbona sio vya gentleman kusimulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…