Stori za kufikirika za kina makengo ndo utuletee sisi tuumuze vichwa kuhurumia ujinga?Kaka zingine natoa mtandaoni kuelimisha jamii
Hebu tujuze kunako 6x6 huwa anakutoa lile futa lile mashallah dukuduku?Mimi ni mama wa miaka 40, ninafanya kazi na nina kipato kizuri tu. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba mume wangu ni malaya sana, ni mtu wa wanawake na hahudumii familia, kila kitu nafanya mimi. Nimejitahidi, nimekopa mpaka nimejenga mimi, ingawa kiwanja kina jina lake. Nilifanya kosa hilo kwa sababu nilikuwa sijakujuwa, hivyo nilinunua kiwanja kwa jina langu.
Lakini tuligombana, akaenda kushitaki nyumbani kwetu ambapo waliniambia kila kitu kinatakiwa kuwa kwa majina ya mume wangu kwa sababu mimi ni mke tu na yeye ndiyo baba, kichwa cha familia. Kila mtu alikuwa upande wake, akatishia kuniacha hivyo nikaamua kubadilisha majina, nikaandika majina yake ingawa hata katika ujenzi hakuchangia kitu chochote, kila kitu nilifanya mimi mwenyewe mpaka kukamilisha.
Wakati huo huo hahudumii familia. Nikimuuliza ananiambia kuwa kama nataka ahudumie familia basi niache kazi, niwe mke wake, nifanye kazi za nyumbani, atahudumia. Mimi nilikataa kuacha kazi, sababu ya kuja kwako ni hivi: Mume wangu anachepuka sana, ana watoto zaidi ya kumi nje, anazaa na wanawake na anawatelekeza. Kila mwanamke anayekutana naye anamuambia kuwa amegombana na mke wake na wanakaribia kuachana.
Anampeleka mpaka kwao na kumuahidi vitu vingi, wengi ni mabinti wa chuo, anawazalisha na kuwaacha, ila kuna baadhi ambao humtelekezea watoto ambao anakuja kuniachia mimi. Sasa hivi nina watoto wake sita nawalea, hatoi pesa yoyote, watoto wenyewe ni wadogo, kuna ambaye kaletwa juzi ana miezi sita, ananitaka nimlee. Nikimuambia atoe hata pesa ya mfanyakazi ananiambia kuwa hawezi kuoa mke na kutafuta mfanyakazi kwani mimi nafanya nini.
Nina wafanyakazi wawili ambao nawalipa mimi. Kaka, nimechoka na sijui cha kufanya. Tukigombana kidogo ananiambia kuwa kama nimechoka niondoke, lakini yeye hawezi kuacha kuzaa. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba, nimegundua kuwa mume wangu anatembea na wafanyakazi wangu wote wawili, tena wananidharau.
Nikimuambia kwanini unafanya hivyo ananiambia ni mimi nimeleta wafanyakazi, kama nataka aniache kutembea nao basi niache kazi, nihudumie watoto wake, la sivyo kila nitakayemleta atatembea naye. Kaka, mimi nina watoto naye wawili tena wakubwa, ila kaniletea watoto sita wadogo. Yaani, nashindwa cha kufanya, ananiambia kama nimechoka niondoke, nimuachie nyumba ambayo nimejenga na pesa yangu. Mpaka sasa nina mikopo, kaka nisaidie nifanyeje? Naishi vipi na huyu mwanaume?
Inavyoonyesha anatatizo mahali, sii bure ama hawaelewani na wenzie,ama vyovyote vile akiweza kubaini anapokosea hata maombi yatamsaidia🤔Pamoja na yote kama unayosema hayan chumvi pole sana mama una mzgo mzto sana ila kazn na maombi
Ila sijackia hapo kwamba mmeo ni jobles kbs
Wewe kazi yako kuleta mitafaruku isiyo na tija, kusingizia ujinga ili jamii ione wanaume au wanawake ni watu wa hovyo hawana maadili.Mimi ni mama wa miaka 40, ninafanya kazi na nina kipato kizuri tu. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba mume wangu ni malaya sana, ni mtu wa wanawake na hahudumii familia, kila kitu nafanya mimi. Nimejitahidi, nimekopa mpaka nimejenga mimi, ingawa kiwanja kina jina lake. Nilifanya kosa hilo kwa sababu nilikuwa sijakujuwa, hivyo nilinunua kiwanja kwa jina langu.
Lakini tuligombana, akaenda kushitaki nyumbani kwetu ambapo waliniambia kila kitu kinatakiwa kuwa kwa majina ya mume wangu kwa sababu mimi ni mke tu na yeye ndiyo baba, kichwa cha familia. Kila mtu alikuwa upande wake, akatishia kuniacha hivyo nikaamua kubadilisha majina, nikaandika majina yake ingawa hata katika ujenzi hakuchangia kitu chochote, kila kitu nilifanya mimi mwenyewe mpaka kukamilisha.
Wakati huo huo hahudumii familia. Nikimuuliza ananiambia kuwa kama nataka ahudumie familia basi niache kazi, niwe mke wake, nifanye kazi za nyumbani, atahudumia. Mimi nilikataa kuacha kazi, sababu ya kuja kwako ni hivi: Mume wangu anachepuka sana, ana watoto zaidi ya kumi nje, anazaa na wanawake na anawatelekeza. Kila mwanamke anayekutana naye anamuambia kuwa amegombana na mke wake na wanakaribia kuachana.
Anampeleka mpaka kwao na kumuahidi vitu vingi, wengi ni mabinti wa chuo, anawazalisha na kuwaacha, ila kuna baadhi ambao humtelekezea watoto ambao anakuja kuniachia mimi. Sasa hivi nina watoto wake sita nawalea, hatoi pesa yoyote, watoto wenyewe ni wadogo, kuna ambaye kaletwa juzi ana miezi sita, ananitaka nimlee. Nikimuambia atoe hata pesa ya mfanyakazi ananiambia kuwa hawezi kuoa mke na kutafuta mfanyakazi kwani mimi nafanya nini.
Nina wafanyakazi wawili ambao nawalipa mimi. Kaka, nimechoka na sijui cha kufanya. Tukigombana kidogo ananiambia kuwa kama nimechoka niondoke, lakini yeye hawezi kuacha kuzaa. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba, nimegundua kuwa mume wangu anatembea na wafanyakazi wangu wote wawili, tena wananidharau.
Nikimuambia kwanini unafanya hivyo ananiambia ni mimi nimeleta wafanyakazi, kama nataka aniache kutembea nao basi niache kazi, nihudumie watoto wake, la sivyo kila nitakayemleta atatembea naye. Kaka, mimi nina watoto naye wawili tena wakubwa, ila kaniletea watoto sita wadogo. Yaani, nashindwa cha kufanya, ananiambia kama nimechoka niondoke, nimuachie nyumba ambayo nimejenga na pesa yangu. Mpaka sasa nina mikopo, kaka nisaidie nifanyeje? Naishi vipi na huyu mwanaume?
Picha ya hao beki3 tafadhaliMimi ni mama wa miaka 40, ninafanya kazi na nina kipato kizuri tu. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba mume wangu ni malaya sana, ni mtu wa wanawake na hahudumii familia, kila kitu nafanya mimi. Nimejitahidi, nimekopa mpaka nimejenga mimi, ingawa kiwanja kina jina lake. Nilifanya kosa hilo kwa sababu nilikuwa sijakujuwa, hivyo nilinunua kiwanja kwa jina langu.
Lakini tuligombana, akaenda kushitaki nyumbani kwetu ambapo waliniambia kila kitu kinatakiwa kuwa kwa majina ya mume wangu kwa sababu mimi ni mke tu na yeye ndiyo baba, kichwa cha familia. Kila mtu alikuwa upande wake, akatishia kuniacha hivyo nikaamua kubadilisha majina, nikaandika majina yake ingawa hata katika ujenzi hakuchangia kitu chochote, kila kitu nilifanya mimi mwenyewe mpaka kukamilisha.
Wakati huo huo hahudumii familia. Nikimuuliza ananiambia kuwa kama nataka ahudumie familia basi niache kazi, niwe mke wake, nifanye kazi za nyumbani, atahudumia. Mimi nilikataa kuacha kazi, sababu ya kuja kwako ni hivi: Mume wangu anachepuka sana, ana watoto zaidi ya kumi nje, anazaa na wanawake na anawatelekeza. Kila mwanamke anayekutana naye anamuambia kuwa amegombana na mke wake na wanakaribia kuachana.
Anampeleka mpaka kwao na kumuahidi vitu vingi, wengi ni mabinti wa chuo, anawazalisha na kuwaacha, ila kuna baadhi ambao humtelekezea watoto ambao anakuja kuniachia mimi. Sasa hivi nina watoto wake sita nawalea, hatoi pesa yoyote, watoto wenyewe ni wadogo, kuna ambaye kaletwa juzi ana miezi sita, ananitaka nimlee. Nikimuambia atoe hata pesa ya mfanyakazi ananiambia kuwa hawezi kuoa mke na kutafuta mfanyakazi kwani mimi nafanya nini.
Nina wafanyakazi wawili ambao nawalipa mimi. Kaka, nimechoka na sijui cha kufanya. Tukigombana kidogo ananiambia kuwa kama nimechoka niondoke, lakini yeye hawezi kuacha kuzaa. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba, nimegundua kuwa mume wangu anatembea na wafanyakazi wangu wote wawili, tena wananidharau.
Nikimuambia kwanini unafanya hivyo ananiambia ni mimi nimeleta wafanyakazi, kama nataka aniache kutembea nao basi niache kazi, nihudumie watoto wake, la sivyo kila nitakayemleta atatembea naye. Kaka, mimi nina watoto naye wawili tena wakubwa, ila kaniletea watoto sita wadogo. Yaani, nashindwa cha kufanya, ananiambia kama nimechoka niondoke, nimuachie nyumba ambayo nimejenga na pesa yangu. Mpaka sasa nina mikopo, kaka nisaidie nifanyeje? Naishi vipi na huyu mwanaume?
Mmh!...hapo pagumu!..Kwa ishu ya yy kutotoa matumizi na kutembea na Wanawake wengine ni jambo lingine. Hapo lazima uangalie je kigezo Cha yy kufanya hayo ni hicho tu Cha ww kufanya kazi au kuna jambo lingine Kila upande ujitazame vizuri hapo.Mimi ni mama wa miaka 40, ninafanya kazi na nina kipato kizuri tu. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba mume wangu ni malaya sana, ni mtu wa wanawake na hahudumii familia, kila kitu nafanya mimi. Nimejitahidi, nimekopa mpaka nimejenga mimi, ingawa kiwanja kina jina lake. Nilifanya kosa hilo kwa sababu nilikuwa sijakujuwa, hivyo nilinunua kiwanja kwa jina langu.
Lakini tuligombana, akaenda kushitaki nyumbani kwetu ambapo waliniambia kila kitu kinatakiwa kuwa kwa majina ya mume wangu kwa sababu mimi ni mke tu na yeye ndiyo baba, kichwa cha familia. Kila mtu alikuwa upande wake, akatishia kuniacha hivyo nikaamua kubadilisha majina, nikaandika majina yake ingawa hata katika ujenzi hakuchangia kitu chochote, kila kitu nilifanya mimi mwenyewe mpaka kukamilisha.
Wakati huo huo hahudumii familia. Nikimuuliza ananiambia kuwa kama nataka ahudumie familia basi niache kazi, niwe mke wake, nifanye kazi za nyumbani, atahudumia. Mimi nilikataa kuacha kazi, sababu ya kuja kwako ni hivi: Mume wangu anachepuka sana, ana watoto zaidi ya kumi nje, anazaa na wanawake na anawatelekeza. Kila mwanamke anayekutana naye anamuambia kuwa amegombana na mke wake na wanakaribia kuachana.
Anampeleka mpaka kwao na kumuahidi vitu vingi, wengi ni mabinti wa chuo, anawazalisha na kuwaacha, ila kuna baadhi ambao humtelekezea watoto ambao anakuja kuniachia mimi. Sasa hivi nina watoto wake sita nawalea, hatoi pesa yoyote, watoto wenyewe ni wadogo, kuna ambaye kaletwa juzi ana miezi sita, ananitaka nimlee. Nikimuambia atoe hata pesa ya mfanyakazi ananiambia kuwa hawezi kuoa mke na kutafuta mfanyakazi kwani mimi nafanya nini.
Nina wafanyakazi wawili ambao nawalipa mimi. Kaka, nimechoka na sijui cha kufanya. Tukigombana kidogo ananiambia kuwa kama nimechoka niondoke, lakini yeye hawezi kuacha kuzaa. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba, nimegundua kuwa mume wangu anatembea na wafanyakazi wangu wote wawili, tena wananidharau.
Nikimuambia kwanini unafanya hivyo ananiambia ni mimi nimeleta wafanyakazi, kama nataka aniache kutembea nao basi niache kazi, nihudumie watoto wake, la sivyo kila nitakayemleta atatembea naye. Kaka, mimi nina watoto naye wawili tena wakubwa, ila kaniletea watoto sita wadogo. Yaani, nashindwa cha kufanya, ananiambia kama nimechoka niondoke, nimuachie nyumba ambayo nimejenga na pesa yangu. Mpaka sasa nina mikopo, kaka nisaidie nifanyeje? Naishi vipi na huyu mwanaume?
Mimi ni mama wa miaka 40, ninafanya kazi na nina kipato kizuri tu. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba mume wangu ni malaya sana, ni mtu wa wanawake na hahudumii familia, kila kitu nafanya mimi. Nimejitahidi, nimekopa mpaka nimejenga mimi, ingawa kiwanja kina jina lake. Nilifanya kosa hilo kwa sababu nilikuwa sijakujuwa, hivyo nilinunua kiwanja kwa jina langu.
Lakini tuligombana, akaenda kushitaki nyumbani kwetu ambapo waliniambia kila kitu kinatakiwa kuwa kwa majina ya mume wangu kwa sababu mimi ni mke tu na yeye ndiyo baba, kichwa cha familia. Kila mtu alikuwa upande wake, akatishia kuniacha hivyo nikaamua kubadilisha majina, nikaandika majina yake ingawa hata katika ujenzi hakuchangia kitu chochote, kila kitu nilifanya mimi mwenyewe mpaka kukamilisha.
Wakati huo huo hahudumii familia. Nikimuuliza ananiambia kuwa kama nataka ahudumie familia basi niache kazi, niwe mke wake, nifanye kazi za nyumbani, atahudumia. Mimi nilikataa kuacha kazi, sababu ya kuja kwako ni hivi: Mume wangu anachepuka sana, ana watoto zaidi ya kumi nje, anazaa na wanawake na anawatelekeza. Kila mwanamke anayekutana naye anamuambia kuwa amegombana na mke wake na wanakaribia kuachana.
Anampeleka mpaka kwao na kumuahidi vitu vingi, wengi ni mabinti wa chuo, anawazalisha na kuwaacha, ila kuna baadhi ambao humtelekezea watoto ambao anakuja kuniachia mimi. Sasa hivi nina watoto wake sita nawalea, hatoi pesa yoyote, watoto wenyewe ni wadogo, kuna ambaye kaletwa juzi ana miezi sita, ananitaka nimlee. Nikimuambia atoe hata pesa ya mfanyakazi ananiambia kuwa hawezi kuoa mke na kutafuta mfanyakazi kwani mimi nafanya nini.
Nina wafanyakazi wawili ambao nawalipa mimi. Kaka, nimechoka na sijui cha kufanya. Tukigombana kidogo ananiambia kuwa kama nimechoka niondoke, lakini yeye hawezi kuacha kuzaa. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba, nimegundua kuwa mume wangu anatembea na wafanyakazi wangu wote wawili, tena wananidharau.
Nikimuambia kwanini unafanya hivyo ananiambia ni mimi nimeleta wafanyakazi, kama nataka aniache kutembea nao basi niache kazi, nihudumie watoto wake, la sivyo kila nitakayemleta atatembea naye. Kaka, mimi nina watoto naye wawili tena wakubwa, ila kaniletea watoto sita wadogo. Yaani, nashindwa cha kufanya, ananiambia kama nimechoka niondoke, nimuachie nyumba ambayo nimejenga na pesa yangu. Mpaka sasa nina mikopo, kaka nisaidie nifanyeje? Naishi vipi na huyu mwanaume?
Huyu mwanamke ni chiziMimi ni mama wa miaka 40, ninafanya kazi na nina kipato kizuri tu. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba mume wangu ni malaya sana, ni mtu wa wanawake na hahudumii familia, kila kitu nafanya mimi. Nimejitahidi, nimekopa mpaka nimejenga mimi, ingawa kiwanja kina jina lake. Nilifanya kosa hilo kwa sababu nilikuwa sijakujuwa, hivyo nilinunua kiwanja kwa jina langu.
Lakini tuligombana, akaenda kushitaki nyumbani kwetu ambapo waliniambia kila kitu kinatakiwa kuwa kwa majina ya mume wangu kwa sababu mimi ni mke tu na yeye ndiyo baba, kichwa cha familia. Kila mtu alikuwa upande wake, akatishia kuniacha hivyo nikaamua kubadilisha majina, nikaandika majina yake ingawa hata katika ujenzi hakuchangia kitu chochote, kila kitu nilifanya mimi mwenyewe mpaka kukamilisha.
Wakati huo huo hahudumii familia. Nikimuuliza ananiambia kuwa kama nataka ahudumie familia basi niache kazi, niwe mke wake, nifanye kazi za nyumbani, atahudumia. Mimi nilikataa kuacha kazi, sababu ya kuja kwako ni hivi: Mume wangu anachepuka sana, ana watoto zaidi ya kumi nje, anazaa na wanawake na anawatelekeza. Kila mwanamke anayekutana naye anamuambia kuwa amegombana na mke wake na wanakaribia kuachana.
Anampeleka mpaka kwao na kumuahidi vitu vingi, wengi ni mabinti wa chuo, anawazalisha na kuwaacha, ila kuna baadhi ambao humtelekezea watoto ambao anakuja kuniachia mimi. Sasa hivi nina watoto wake sita nawalea, hatoi pesa yoyote, watoto wenyewe ni wadogo, kuna ambaye kaletwa juzi ana miezi sita, ananitaka nimlee. Nikimuambia atoe hata pesa ya mfanyakazi ananiambia kuwa hawezi kuoa mke na kutafuta mfanyakazi kwani mimi nafanya nini.
Nina wafanyakazi wawili ambao nawalipa mimi. Kaka, nimechoka na sijui cha kufanya. Tukigombana kidogo ananiambia kuwa kama nimechoka niondoke, lakini yeye hawezi kuacha kuzaa. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba, nimegundua kuwa mume wangu anatembea na wafanyakazi wangu wote wawili, tena wananidharau.
Nikimuambia kwanini unafanya hivyo ananiambia ni mimi nimeleta wafanyakazi, kama nataka aniache kutembea nao basi niache kazi, nihudumie watoto wake, la sivyo kila nitakayemleta atatembea naye. Kaka, mimi nina watoto naye wawili tena wakubwa, ila kaniletea watoto sita wadogo. Yaani, nashindwa cha kufanya, ananiambia kama nimechoka niondoke, nimuachie nyumba ambayo nimejenga na pesa yangu. Mpaka sasa nina mikopo, kaka nisaidie nifanyeje? Naishi vipi na huyu mwanaume?
Duu ila kuna wanawake ni wajinga aiseeMimi ni mama wa miaka 40, ninafanya kazi na nina kipato kizuri tu. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba mume wangu ni malaya sana, ni mtu wa wanawake na hahudumii familia, kila kitu nafanya mimi. Nimejitahidi, nimekopa mpaka nimejenga mimi, ingawa kiwanja kina jina lake. Nilifanya kosa hilo kwa sababu nilikuwa sijakujuwa, hivyo nilinunua kiwanja kwa jina langu.
Lakini tuligombana, akaenda kushitaki nyumbani kwetu ambapo waliniambia kila kitu kinatakiwa kuwa kwa majina ya mume wangu kwa sababu mimi ni mke tu na yeye ndiyo baba, kichwa cha familia. Kila mtu alikuwa upande wake, akatishia kuniacha hivyo nikaamua kubadilisha majina, nikaandika majina yake ingawa hata katika ujenzi hakuchangia kitu chochote, kila kitu nilifanya mimi mwenyewe mpaka kukamilisha.
Wakati huo huo hahudumii familia. Nikimuuliza ananiambia kuwa kama nataka ahudumie familia basi niache kazi, niwe mke wake, nifanye kazi za nyumbani, atahudumia. Mimi nilikataa kuacha kazi, sababu ya kuja kwako ni hivi: Mume wangu anachepuka sana, ana watoto zaidi ya kumi nje, anazaa na wanawake na anawatelekeza. Kila mwanamke anayekutana naye anamuambia kuwa amegombana na mke wake na wanakaribia kuachana.
Anampeleka mpaka kwao na kumuahidi vitu vingi, wengi ni mabinti wa chuo, anawazalisha na kuwaacha, ila kuna baadhi ambao humtelekezea watoto ambao anakuja kuniachia mimi. Sasa hivi nina watoto wake sita nawalea, hatoi pesa yoyote, watoto wenyewe ni wadogo, kuna ambaye kaletwa juzi ana miezi sita, ananitaka nimlee. Nikimuambia atoe hata pesa ya mfanyakazi ananiambia kuwa hawezi kuoa mke na kutafuta mfanyakazi kwani mimi nafanya nini.
Nina wafanyakazi wawili ambao nawalipa mimi. Kaka, nimechoka na sijui cha kufanya. Tukigombana kidogo ananiambia kuwa kama nimechoka niondoke, lakini yeye hawezi kuacha kuzaa. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba, nimegundua kuwa mume wangu anatembea na wafanyakazi wangu wote wawili, tena wananidharau.
Nikimuambia kwanini unafanya hivyo ananiambia ni mimi nimeleta wafanyakazi, kama nataka aniache kutembea nao basi niache kazi, nihudumie watoto wake, la sivyo kila nitakayemleta atatembea naye. Kaka, mimi nina watoto naye wawili tena wakubwa, ila kaniletea watoto sita wadogo. Yaani, nashindwa cha kufanya, ananiambia kama nimechoka niondoke, nimuachie nyumba ambayo nimejenga na pesa yangu. Mpaka sasa nina mikopo, kaka nisaidie nifanyeje? Naishi vipi na huyu mwanaume?
Upo faster sana kutafuta madhaifu ya watu ndio maana ufahamu unaacha nyuma.Kwa hiyo wewe ni Dada george Aloyce?