Kila nikileta beki tatu mume wangu anatembea nao, nimechoka

Kila nikileta beki tatu mume wangu anatembea nao, nimechoka

Mimi ni mama wa miaka 40, ninafanya kazi na nina kipato kizuri tu. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba mume wangu ni malaya sana, ni mtu wa wanawake na hahudumii familia, kila kitu nafanya mimi. Nimejitahidi, nimekopa mpaka nimejenga mimi, ingawa kiwanja kina jina lake. Nilifanya kosa hilo kwa sababu nilikuwa sijakujuwa, hivyo nilinunua kiwanja kwa jina langu.

Lakini tuligombana, akaenda kushitaki nyumbani kwetu ambapo waliniambia kila kitu kinatakiwa kuwa kwa majina ya mume wangu kwa sababu mimi ni mke tu na yeye ndiyo baba, kichwa cha familia. Kila mtu alikuwa upande wake, akatishia kuniacha hivyo nikaamua kubadilisha majina, nikaandika majina yake ingawa hata katika ujenzi hakuchangia kitu chochote, kila kitu nilifanya mimi mwenyewe mpaka kukamilisha.

Wakati huo huo hahudumii familia. Nikimuuliza ananiambia kuwa kama nataka ahudumie familia basi niache kazi, niwe mke wake, nifanye kazi za nyumbani, atahudumia. Mimi nilikataa kuacha kazi, sababu ya kuja kwako ni hivi: Mume wangu anachepuka sana, ana watoto zaidi ya kumi nje, anazaa na wanawake na anawatelekeza. Kila mwanamke anayekutana naye anamuambia kuwa amegombana na mke wake na wanakaribia kuachana.

Anampeleka mpaka kwao na kumuahidi vitu vingi, wengi ni mabinti wa chuo, anawazalisha na kuwaacha, ila kuna baadhi ambao humtelekezea watoto ambao anakuja kuniachia mimi. Sasa hivi nina watoto wake sita nawalea, hatoi pesa yoyote, watoto wenyewe ni wadogo, kuna ambaye kaletwa juzi ana miezi sita, ananitaka nimlee. Nikimuambia atoe hata pesa ya mfanyakazi ananiambia kuwa hawezi kuoa mke na kutafuta mfanyakazi kwani mimi nafanya nini.

Nina wafanyakazi wawili ambao nawalipa mimi. Kaka, nimechoka na sijui cha kufanya. Tukigombana kidogo ananiambia kuwa kama nimechoka niondoke, lakini yeye hawezi kuacha kuzaa. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba, nimegundua kuwa mume wangu anatembea na wafanyakazi wangu wote wawili, tena wananidharau.

Nikimuambia kwanini unafanya hivyo ananiambia ni mimi nimeleta wafanyakazi, kama nataka aniache kutembea nao basi niache kazi, nihudumie watoto wake, la sivyo kila nitakayemleta atatembea naye. Kaka, mimi nina watoto naye wawili tena wakubwa, ila kaniletea watoto sita wadogo. Yaani, nashindwa cha kufanya, ananiambia kama nimechoka niondoke, nimuachie nyumba ambayo nimejenga na pesa yangu. Mpaka sasa nina mikopo, kaka nisaidie nifanyeje? Naishi vipi na huyu mwanaume?
Hebu tujuze kunako 6x6 huwa anakutoa lile futa lile mashallah dukuduku?
 
Pamoja na yote kama unayosema hayan chumvi pole sana mama una mzgo mzto sana ila kazn na maombi

Ila sijackia hapo kwamba mmeo ni jobles kbs
Inavyoonyesha anatatizo mahali, sii bure ama hawaelewani na wenzie,ama vyovyote vile akiweza kubaini anapokosea hata maombi yatamsaidia🤔
 
Mimi ni mama wa miaka 40, ninafanya kazi na nina kipato kizuri tu. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba mume wangu ni malaya sana, ni mtu wa wanawake na hahudumii familia, kila kitu nafanya mimi. Nimejitahidi, nimekopa mpaka nimejenga mimi, ingawa kiwanja kina jina lake. Nilifanya kosa hilo kwa sababu nilikuwa sijakujuwa, hivyo nilinunua kiwanja kwa jina langu.

Lakini tuligombana, akaenda kushitaki nyumbani kwetu ambapo waliniambia kila kitu kinatakiwa kuwa kwa majina ya mume wangu kwa sababu mimi ni mke tu na yeye ndiyo baba, kichwa cha familia. Kila mtu alikuwa upande wake, akatishia kuniacha hivyo nikaamua kubadilisha majina, nikaandika majina yake ingawa hata katika ujenzi hakuchangia kitu chochote, kila kitu nilifanya mimi mwenyewe mpaka kukamilisha.

Wakati huo huo hahudumii familia. Nikimuuliza ananiambia kuwa kama nataka ahudumie familia basi niache kazi, niwe mke wake, nifanye kazi za nyumbani, atahudumia. Mimi nilikataa kuacha kazi, sababu ya kuja kwako ni hivi: Mume wangu anachepuka sana, ana watoto zaidi ya kumi nje, anazaa na wanawake na anawatelekeza. Kila mwanamke anayekutana naye anamuambia kuwa amegombana na mke wake na wanakaribia kuachana.

Anampeleka mpaka kwao na kumuahidi vitu vingi, wengi ni mabinti wa chuo, anawazalisha na kuwaacha, ila kuna baadhi ambao humtelekezea watoto ambao anakuja kuniachia mimi. Sasa hivi nina watoto wake sita nawalea, hatoi pesa yoyote, watoto wenyewe ni wadogo, kuna ambaye kaletwa juzi ana miezi sita, ananitaka nimlee. Nikimuambia atoe hata pesa ya mfanyakazi ananiambia kuwa hawezi kuoa mke na kutafuta mfanyakazi kwani mimi nafanya nini.

Nina wafanyakazi wawili ambao nawalipa mimi. Kaka, nimechoka na sijui cha kufanya. Tukigombana kidogo ananiambia kuwa kama nimechoka niondoke, lakini yeye hawezi kuacha kuzaa. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba, nimegundua kuwa mume wangu anatembea na wafanyakazi wangu wote wawili, tena wananidharau.

Nikimuambia kwanini unafanya hivyo ananiambia ni mimi nimeleta wafanyakazi, kama nataka aniache kutembea nao basi niache kazi, nihudumie watoto wake, la sivyo kila nitakayemleta atatembea naye. Kaka, mimi nina watoto naye wawili tena wakubwa, ila kaniletea watoto sita wadogo. Yaani, nashindwa cha kufanya, ananiambia kama nimechoka niondoke, nimuachie nyumba ambayo nimejenga na pesa yangu. Mpaka sasa nina mikopo, kaka nisaidie nifanyeje? Naishi vipi na huyu mwanaume?
Wewe kazi yako kuleta mitafaruku isiyo na tija, kusingizia ujinga ili jamii ione wanaume au wanawake ni watu wa hovyo hawana maadili.
Upumbavu wako mara uwe mwanamke mara uwe mwanaume.
Pumbavu sana wewe.
 
Mimi ni mama wa miaka 40, ninafanya kazi na nina kipato kizuri tu. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba mume wangu ni malaya sana, ni mtu wa wanawake na hahudumii familia, kila kitu nafanya mimi. Nimejitahidi, nimekopa mpaka nimejenga mimi, ingawa kiwanja kina jina lake. Nilifanya kosa hilo kwa sababu nilikuwa sijakujuwa, hivyo nilinunua kiwanja kwa jina langu.

Lakini tuligombana, akaenda kushitaki nyumbani kwetu ambapo waliniambia kila kitu kinatakiwa kuwa kwa majina ya mume wangu kwa sababu mimi ni mke tu na yeye ndiyo baba, kichwa cha familia. Kila mtu alikuwa upande wake, akatishia kuniacha hivyo nikaamua kubadilisha majina, nikaandika majina yake ingawa hata katika ujenzi hakuchangia kitu chochote, kila kitu nilifanya mimi mwenyewe mpaka kukamilisha.

Wakati huo huo hahudumii familia. Nikimuuliza ananiambia kuwa kama nataka ahudumie familia basi niache kazi, niwe mke wake, nifanye kazi za nyumbani, atahudumia. Mimi nilikataa kuacha kazi, sababu ya kuja kwako ni hivi: Mume wangu anachepuka sana, ana watoto zaidi ya kumi nje, anazaa na wanawake na anawatelekeza. Kila mwanamke anayekutana naye anamuambia kuwa amegombana na mke wake na wanakaribia kuachana.

Anampeleka mpaka kwao na kumuahidi vitu vingi, wengi ni mabinti wa chuo, anawazalisha na kuwaacha, ila kuna baadhi ambao humtelekezea watoto ambao anakuja kuniachia mimi. Sasa hivi nina watoto wake sita nawalea, hatoi pesa yoyote, watoto wenyewe ni wadogo, kuna ambaye kaletwa juzi ana miezi sita, ananitaka nimlee. Nikimuambia atoe hata pesa ya mfanyakazi ananiambia kuwa hawezi kuoa mke na kutafuta mfanyakazi kwani mimi nafanya nini.

Nina wafanyakazi wawili ambao nawalipa mimi. Kaka, nimechoka na sijui cha kufanya. Tukigombana kidogo ananiambia kuwa kama nimechoka niondoke, lakini yeye hawezi kuacha kuzaa. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba, nimegundua kuwa mume wangu anatembea na wafanyakazi wangu wote wawili, tena wananidharau.

Nikimuambia kwanini unafanya hivyo ananiambia ni mimi nimeleta wafanyakazi, kama nataka aniache kutembea nao basi niache kazi, nihudumie watoto wake, la sivyo kila nitakayemleta atatembea naye. Kaka, mimi nina watoto naye wawili tena wakubwa, ila kaniletea watoto sita wadogo. Yaani, nashindwa cha kufanya, ananiambia kama nimechoka niondoke, nimuachie nyumba ambayo nimejenga na pesa yangu. Mpaka sasa nina mikopo, kaka nisaidie nifanyeje? Naishi vipi na huyu mwanaume?
Picha ya hao beki3 tafadhali
 
Chukua watoto wako na vitu vyako ondoka dada,nyumba jifanye tu Kama umedondosha hela njiani mpita njia kaokota huyo sio mume ni kupe mnyonya damu Mali utapata zingine mbele ya safari Kama ndugu zako watakuchukia waache wachukie.
 
Kuna mwanaume hatembei na hausegel?
Hilo la kutembea na hausegel sio issue, wenzio wote unaowajua waume zao wanakula beki 3.
Kuzaa nje umetia chumvi hàsa hapo kwenye mtoto wa miezi sita. Hakuna mwanamke anayeweza kutelekeza mtoto mchanga.
Ushauri wangu. Mpe mumeo utelezi hasa morning Glory, ataacha kutembea nje. Ajiri hausegel mama mtu mzima,.
Ukiendelea kuajiri wa 15 mpaka 20 tusilaumiane, Tena wenye sura mbaya ndio watamu zaidi.
 
Mimi ni mama wa miaka 40, ninafanya kazi na nina kipato kizuri tu. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba mume wangu ni malaya sana, ni mtu wa wanawake na hahudumii familia, kila kitu nafanya mimi. Nimejitahidi, nimekopa mpaka nimejenga mimi, ingawa kiwanja kina jina lake. Nilifanya kosa hilo kwa sababu nilikuwa sijakujuwa, hivyo nilinunua kiwanja kwa jina langu.

Lakini tuligombana, akaenda kushitaki nyumbani kwetu ambapo waliniambia kila kitu kinatakiwa kuwa kwa majina ya mume wangu kwa sababu mimi ni mke tu na yeye ndiyo baba, kichwa cha familia. Kila mtu alikuwa upande wake, akatishia kuniacha hivyo nikaamua kubadilisha majina, nikaandika majina yake ingawa hata katika ujenzi hakuchangia kitu chochote, kila kitu nilifanya mimi mwenyewe mpaka kukamilisha.

Wakati huo huo hahudumii familia. Nikimuuliza ananiambia kuwa kama nataka ahudumie familia basi niache kazi, niwe mke wake, nifanye kazi za nyumbani, atahudumia. Mimi nilikataa kuacha kazi, sababu ya kuja kwako ni hivi: Mume wangu anachepuka sana, ana watoto zaidi ya kumi nje, anazaa na wanawake na anawatelekeza. Kila mwanamke anayekutana naye anamuambia kuwa amegombana na mke wake na wanakaribia kuachana.

Anampeleka mpaka kwao na kumuahidi vitu vingi, wengi ni mabinti wa chuo, anawazalisha na kuwaacha, ila kuna baadhi ambao humtelekezea watoto ambao anakuja kuniachia mimi. Sasa hivi nina watoto wake sita nawalea, hatoi pesa yoyote, watoto wenyewe ni wadogo, kuna ambaye kaletwa juzi ana miezi sita, ananitaka nimlee. Nikimuambia atoe hata pesa ya mfanyakazi ananiambia kuwa hawezi kuoa mke na kutafuta mfanyakazi kwani mimi nafanya nini.

Nina wafanyakazi wawili ambao nawalipa mimi. Kaka, nimechoka na sijui cha kufanya. Tukigombana kidogo ananiambia kuwa kama nimechoka niondoke, lakini yeye hawezi kuacha kuzaa. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba, nimegundua kuwa mume wangu anatembea na wafanyakazi wangu wote wawili, tena wananidharau.

Nikimuambia kwanini unafanya hivyo ananiambia ni mimi nimeleta wafanyakazi, kama nataka aniache kutembea nao basi niache kazi, nihudumie watoto wake, la sivyo kila nitakayemleta atatembea naye. Kaka, mimi nina watoto naye wawili tena wakubwa, ila kaniletea watoto sita wadogo. Yaani, nashindwa cha kufanya, ananiambia kama nimechoka niondoke, nimuachie nyumba ambayo nimejenga na pesa yangu. Mpaka sasa nina mikopo, kaka nisaidie nifanyeje? Naishi vipi na huyu mwanaume?
Mmh!...hapo pagumu!..Kwa ishu ya yy kutotoa matumizi na kutembea na Wanawake wengine ni jambo lingine. Hapo lazima uangalie je kigezo Cha yy kufanya hayo ni hicho tu Cha ww kufanya kazi au kuna jambo lingine Kila upande ujitazame vizuri hapo.
Aidha, Hilo la ww kufanya kazi huenda ni ya kuajiriwa ni la kuzungumza na kukubaliana katika zama hizi kwani ni kweli kwmba asili ya mwanamke ni kulea familia (kuanzia kwenye majukumu ya kuzaa hadi kulea Kwa ujumla) na mwanamke ni kuitunza familia hiyo (mwanaume atatafuta Kwa jasho). Nashauri hapo kama hataki ufanye kazi basi akufungulie biashara ambayo pamoja na ww kusimamia atajihisi kuwa yeye ndo kiini Cha biashara hiyo lakini pamoja na hayo tenga na muda wa kutimiza majukumu ya nyumbani kwako mwnyewe, epuka kumwachia dada wa kazi akufanyie Kila kitu.
 
Mimi ni mama wa miaka 40, ninafanya kazi na nina kipato kizuri tu. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba mume wangu ni malaya sana, ni mtu wa wanawake na hahudumii familia, kila kitu nafanya mimi. Nimejitahidi, nimekopa mpaka nimejenga mimi, ingawa kiwanja kina jina lake. Nilifanya kosa hilo kwa sababu nilikuwa sijakujuwa, hivyo nilinunua kiwanja kwa jina langu.

Lakini tuligombana, akaenda kushitaki nyumbani kwetu ambapo waliniambia kila kitu kinatakiwa kuwa kwa majina ya mume wangu kwa sababu mimi ni mke tu na yeye ndiyo baba, kichwa cha familia. Kila mtu alikuwa upande wake, akatishia kuniacha hivyo nikaamua kubadilisha majina, nikaandika majina yake ingawa hata katika ujenzi hakuchangia kitu chochote, kila kitu nilifanya mimi mwenyewe mpaka kukamilisha.

Wakati huo huo hahudumii familia. Nikimuuliza ananiambia kuwa kama nataka ahudumie familia basi niache kazi, niwe mke wake, nifanye kazi za nyumbani, atahudumia. Mimi nilikataa kuacha kazi, sababu ya kuja kwako ni hivi: Mume wangu anachepuka sana, ana watoto zaidi ya kumi nje, anazaa na wanawake na anawatelekeza. Kila mwanamke anayekutana naye anamuambia kuwa amegombana na mke wake na wanakaribia kuachana.

Anampeleka mpaka kwao na kumuahidi vitu vingi, wengi ni mabinti wa chuo, anawazalisha na kuwaacha, ila kuna baadhi ambao humtelekezea watoto ambao anakuja kuniachia mimi. Sasa hivi nina watoto wake sita nawalea, hatoi pesa yoyote, watoto wenyewe ni wadogo, kuna ambaye kaletwa juzi ana miezi sita, ananitaka nimlee. Nikimuambia atoe hata pesa ya mfanyakazi ananiambia kuwa hawezi kuoa mke na kutafuta mfanyakazi kwani mimi nafanya nini.

Nina wafanyakazi wawili ambao nawalipa mimi. Kaka, nimechoka na sijui cha kufanya. Tukigombana kidogo ananiambia kuwa kama nimechoka niondoke, lakini yeye hawezi kuacha kuzaa. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba, nimegundua kuwa mume wangu anatembea na wafanyakazi wangu wote wawili, tena wananidharau.

Nikimuambia kwanini unafanya hivyo ananiambia ni mimi nimeleta wafanyakazi, kama nataka aniache kutembea nao basi niache kazi, nihudumie watoto wake, la sivyo kila nitakayemleta atatembea naye. Kaka, mimi nina watoto naye wawili tena wakubwa, ila kaniletea watoto sita wadogo. Yaani, nashindwa cha kufanya, ananiambia kama nimechoka niondoke, nimuachie nyumba ambayo nimejenga na pesa yangu. Mpaka sasa nina mikopo, kaka nisaidie nifanyeje? Naishi vipi na huyu mwanaume?


Acha kuiba kwa Iddi Makengo bila kuweka credit humu JF.
 
Mimi ni mama wa miaka 40, ninafanya kazi na nina kipato kizuri tu. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba mume wangu ni malaya sana, ni mtu wa wanawake na hahudumii familia, kila kitu nafanya mimi. Nimejitahidi, nimekopa mpaka nimejenga mimi, ingawa kiwanja kina jina lake. Nilifanya kosa hilo kwa sababu nilikuwa sijakujuwa, hivyo nilinunua kiwanja kwa jina langu.

Lakini tuligombana, akaenda kushitaki nyumbani kwetu ambapo waliniambia kila kitu kinatakiwa kuwa kwa majina ya mume wangu kwa sababu mimi ni mke tu na yeye ndiyo baba, kichwa cha familia. Kila mtu alikuwa upande wake, akatishia kuniacha hivyo nikaamua kubadilisha majina, nikaandika majina yake ingawa hata katika ujenzi hakuchangia kitu chochote, kila kitu nilifanya mimi mwenyewe mpaka kukamilisha.

Wakati huo huo hahudumii familia. Nikimuuliza ananiambia kuwa kama nataka ahudumie familia basi niache kazi, niwe mke wake, nifanye kazi za nyumbani, atahudumia. Mimi nilikataa kuacha kazi, sababu ya kuja kwako ni hivi: Mume wangu anachepuka sana, ana watoto zaidi ya kumi nje, anazaa na wanawake na anawatelekeza. Kila mwanamke anayekutana naye anamuambia kuwa amegombana na mke wake na wanakaribia kuachana.

Anampeleka mpaka kwao na kumuahidi vitu vingi, wengi ni mabinti wa chuo, anawazalisha na kuwaacha, ila kuna baadhi ambao humtelekezea watoto ambao anakuja kuniachia mimi. Sasa hivi nina watoto wake sita nawalea, hatoi pesa yoyote, watoto wenyewe ni wadogo, kuna ambaye kaletwa juzi ana miezi sita, ananitaka nimlee. Nikimuambia atoe hata pesa ya mfanyakazi ananiambia kuwa hawezi kuoa mke na kutafuta mfanyakazi kwani mimi nafanya nini.

Nina wafanyakazi wawili ambao nawalipa mimi. Kaka, nimechoka na sijui cha kufanya. Tukigombana kidogo ananiambia kuwa kama nimechoka niondoke, lakini yeye hawezi kuacha kuzaa. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba, nimegundua kuwa mume wangu anatembea na wafanyakazi wangu wote wawili, tena wananidharau.

Nikimuambia kwanini unafanya hivyo ananiambia ni mimi nimeleta wafanyakazi, kama nataka aniache kutembea nao basi niache kazi, nihudumie watoto wake, la sivyo kila nitakayemleta atatembea naye. Kaka, mimi nina watoto naye wawili tena wakubwa, ila kaniletea watoto sita wadogo. Yaani, nashindwa cha kufanya, ananiambia kama nimechoka niondoke, nimuachie nyumba ambayo nimejenga na pesa yangu. Mpaka sasa nina mikopo, kaka nisaidie nifanyeje? Naishi vipi na huyu mwanaume?
Huyu mwanamke ni chizi
 
Chai kama hizi muwe mnakunywa wenyewe...
 
Ungetakiwa kuona red flag mapema sana kutoka kwa mme wako na kuondoka kabla hata ujafikiria kujenga nyumba. Ulipomwona mme wako ni mwasherati na malalya kulikuwa hakuna sababu ya kuendelea naye. kwa sasa mwombe Mungu akusaidie maana hapo ulipo kwa sasa ni pabaya. Labda uache kulipa mkopo na mwambie nyumba inakuja kupigwa mnada labda atashutuka.
 
Mimi ni mama wa miaka 40, ninafanya kazi na nina kipato kizuri tu. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba mume wangu ni malaya sana, ni mtu wa wanawake na hahudumii familia, kila kitu nafanya mimi. Nimejitahidi, nimekopa mpaka nimejenga mimi, ingawa kiwanja kina jina lake. Nilifanya kosa hilo kwa sababu nilikuwa sijakujuwa, hivyo nilinunua kiwanja kwa jina langu.

Lakini tuligombana, akaenda kushitaki nyumbani kwetu ambapo waliniambia kila kitu kinatakiwa kuwa kwa majina ya mume wangu kwa sababu mimi ni mke tu na yeye ndiyo baba, kichwa cha familia. Kila mtu alikuwa upande wake, akatishia kuniacha hivyo nikaamua kubadilisha majina, nikaandika majina yake ingawa hata katika ujenzi hakuchangia kitu chochote, kila kitu nilifanya mimi mwenyewe mpaka kukamilisha.

Wakati huo huo hahudumii familia. Nikimuuliza ananiambia kuwa kama nataka ahudumie familia basi niache kazi, niwe mke wake, nifanye kazi za nyumbani, atahudumia. Mimi nilikataa kuacha kazi, sababu ya kuja kwako ni hivi: Mume wangu anachepuka sana, ana watoto zaidi ya kumi nje, anazaa na wanawake na anawatelekeza. Kila mwanamke anayekutana naye anamuambia kuwa amegombana na mke wake na wanakaribia kuachana.

Anampeleka mpaka kwao na kumuahidi vitu vingi, wengi ni mabinti wa chuo, anawazalisha na kuwaacha, ila kuna baadhi ambao humtelekezea watoto ambao anakuja kuniachia mimi. Sasa hivi nina watoto wake sita nawalea, hatoi pesa yoyote, watoto wenyewe ni wadogo, kuna ambaye kaletwa juzi ana miezi sita, ananitaka nimlee. Nikimuambia atoe hata pesa ya mfanyakazi ananiambia kuwa hawezi kuoa mke na kutafuta mfanyakazi kwani mimi nafanya nini.

Nina wafanyakazi wawili ambao nawalipa mimi. Kaka, nimechoka na sijui cha kufanya. Tukigombana kidogo ananiambia kuwa kama nimechoka niondoke, lakini yeye hawezi kuacha kuzaa. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba, nimegundua kuwa mume wangu anatembea na wafanyakazi wangu wote wawili, tena wananidharau.

Nikimuambia kwanini unafanya hivyo ananiambia ni mimi nimeleta wafanyakazi, kama nataka aniache kutembea nao basi niache kazi, nihudumie watoto wake, la sivyo kila nitakayemleta atatembea naye. Kaka, mimi nina watoto naye wawili tena wakubwa, ila kaniletea watoto sita wadogo. Yaani, nashindwa cha kufanya, ananiambia kama nimechoka niondoke, nimuachie nyumba ambayo nimejenga na pesa yangu. Mpaka sasa nina mikopo, kaka nisaidie nifanyeje? Naishi vipi na huyu mwanaume?
Duu ila kuna wanawake ni wajinga aisee
 
Back
Top Bottom