Kila nikileta beki tatu mume wangu anatembea nao, nimechoka

Kila nikileta beki tatu mume wangu anatembea nao, nimechoka

Mimi ni mama wa miaka 40, ninafanya kazi na nina kipato kizuri tu. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba mume wangu ni malaya sana, ni mtu wa wanawake na hahudumii familia, kila kitu nafanya mimi. Nimejitahidi, nimekopa mpaka nimejenga mimi, ingawa kiwanja kina jina lake. Nilifanya kosa hilo kwa sababu nilikuwa sijakujuwa, hivyo nilinunua kiwanja kwa jina langu.

Lakini tuligombana, akaenda kushitaki nyumbani kwetu ambapo waliniambia kila kitu kinatakiwa kuwa kwa majina ya mume wangu kwa sababu mimi ni mke tu na yeye ndiyo baba, kichwa cha familia. Kila mtu alikuwa upande wake, akatishia kuniacha hivyo nikaamua kubadilisha majina, nikaandika majina yake ingawa hata katika ujenzi hakuchangia kitu chochote, kila kitu nilifanya mimi mwenyewe mpaka kukamilisha.

Wakati huo huo hahudumii familia. Nikimuuliza ananiambia kuwa kama nataka ahudumie familia basi niache kazi, niwe mke wake, nifanye kazi za nyumbani, atahudumia. Mimi nilikataa kuacha kazi, sababu ya kuja kwako ni hivi: Mume wangu anachepuka sana, ana watoto zaidi ya kumi nje, anazaa na wanawake na anawatelekeza. Kila mwanamke anayekutana naye anamuambia kuwa amegombana na mke wake na wanakaribia kuachana.

Anampeleka mpaka kwao na kumuahidi vitu vingi, wengi ni mabinti wa chuo, anawazalisha na kuwaacha, ila kuna baadhi ambao humtelekezea watoto ambao anakuja kuniachia mimi. Sasa hivi nina watoto wake sita nawalea, hatoi pesa yoyote, watoto wenyewe ni wadogo, kuna ambaye kaletwa juzi ana miezi sita, ananitaka nimlee. Nikimuambia atoe hata pesa ya mfanyakazi ananiambia kuwa hawezi kuoa mke na kutafuta mfanyakazi kwani mimi nafanya nini.

Nina wafanyakazi wawili ambao nawalipa mimi. Kaka, nimechoka na sijui cha kufanya. Tukigombana kidogo ananiambia kuwa kama nimechoka niondoke, lakini yeye hawezi kuacha kuzaa. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba, nimegundua kuwa mume wangu anatembea na wafanyakazi wangu wote wawili, tena wananidharau.

Nikimuambia kwanini unafanya hivyo ananiambia ni mimi nimeleta wafanyakazi, kama nataka aniache kutembea nao basi niache kazi, nihudumie watoto wake, la sivyo kila nitakayemleta atatembea naye. Kaka, mimi nina watoto naye wawili tena wakubwa, ila kaniletea watoto sita wadogo. Yaani, nashindwa cha kufanya, ananiambia kama nimechoka niondoke, nimuachie nyumba ambayo nimejenga na pesa yangu. Mpaka sasa nina mikopo, kaka nisaidie nifanyeje? Naishi vipi na huyu mwanaume?
Hii sio chai kuna aunt yangu yupo stage hiyo ya huyu mama.
 
Mimi ni mama wa miaka 40, ninafanya kazi na nina kipato kizuri tu. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba mume wangu ni malaya sana, ni mtu wa wanawake na hahudumii familia, kila kitu nafanya mimi. Nimejitahidi, nimekopa mpaka nimejenga mimi, ingawa kiwanja kina jina lake. Nilifanya kosa hilo kwa sababu nilikuwa sijakujuwa, hivyo nilinunua kiwanja kwa jina langu.

Lakini tuligombana, akaenda kushitaki nyumbani kwetu ambapo waliniambia kila kitu kinatakiwa kuwa kwa majina ya mume wangu kwa sababu mimi ni mke tu na yeye ndiyo baba, kichwa cha familia. Kila mtu alikuwa upande wake, akatishia kuniacha hivyo nikaamua kubadilisha majina, nikaandika majina yake ingawa hata katika ujenzi hakuchangia kitu chochote, kila kitu nilifanya mimi mwenyewe mpaka kukamilisha.

Wakati huo huo hahudumii familia. Nikimuuliza ananiambia kuwa kama nataka ahudumie familia basi niache kazi, niwe mke wake, nifanye kazi za nyumbani, atahudumia. Mimi nilikataa kuacha kazi, sababu ya kuja kwako ni hivi: Mume wangu anachepuka sana, ana watoto zaidi ya kumi nje, anazaa na wanawake na anawatelekeza. Kila mwanamke anayekutana naye anamuambia kuwa amegombana na mke wake na wanakaribia kuachana.

Anampeleka mpaka kwao na kumuahidi vitu vingi, wengi ni mabinti wa chuo, anawazalisha na kuwaacha, ila kuna baadhi ambao humtelekezea watoto ambao anakuja kuniachia mimi. Sasa hivi nina watoto wake sita nawalea, hatoi pesa yoyote, watoto wenyewe ni wadogo, kuna ambaye kaletwa juzi ana miezi sita, ananitaka nimlee. Nikimuambia atoe hata pesa ya mfanyakazi ananiambia kuwa hawezi kuoa mke na kutafuta mfanyakazi kwani mimi nafanya nini.

Nina wafanyakazi wawili ambao nawalipa mimi. Kaka, nimechoka na sijui cha kufanya. Tukigombana kidogo ananiambia kuwa kama nimechoka niondoke, lakini yeye hawezi kuacha kuzaa. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba, nimegundua kuwa mume wangu anatembea na wafanyakazi wangu wote wawili, tena wananidharau.

Nikimuambia kwanini unafanya hivyo ananiambia ni mimi nimeleta wafanyakazi, kama nataka aniache kutembea nao basi niache kazi, nihudumie watoto wake, la sivyo kila nitakayemleta atatembea naye. Kaka, mimi nina watoto naye wawili tena wakubwa, ila kaniletea watoto sita wadogo. Yaani, nashindwa cha kufanya, ananiambia kama nimechoka niondoke, nimuachie nyumba ambayo nimejenga na pesa yangu. Mpaka sasa nina mikopo, kaka nisaidie nifanyeje? Naishi vipi na huyu mwanaume?
Mkuu leo umekua mama wa miaka 40
 
Mimi ni mama wa miaka 40, ninafanya kazi na nina kipato kizuri tu. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba mume wangu ni malaya sana, ni mtu wa wanawake na hahudumii familia, kila kitu nafanya mimi. Nimejitahidi, nimekopa mpaka nimejenga mimi, ingawa kiwanja kina jina lake. Nilifanya kosa hilo kwa sababu nilikuwa sijakujuwa, hivyo nilinunua kiwanja kwa jina langu.

Lakini tuligombana, akaenda kushitaki nyumbani kwetu ambapo waliniambia kila kitu kinatakiwa kuwa kwa majina ya mume wangu kwa sababu mimi ni mke tu na yeye ndiyo baba, kichwa cha familia. Kila mtu alikuwa upande wake, akatishia kuniacha hivyo nikaamua kubadilisha majina, nikaandika majina yake ingawa hata katika ujenzi hakuchangia kitu chochote, kila kitu nilifanya mimi mwenyewe mpaka kukamilisha.

Wakati huo huo hahudumii familia. Nikimuuliza ananiambia kuwa kama nataka ahudumie familia basi niache kazi, niwe mke wake, nifanye kazi za nyumbani, atahudumia. Mimi nilikataa kuacha kazi, sababu ya kuja kwako ni hivi: Mume wangu anachepuka sana, ana watoto zaidi ya kumi nje, anazaa na wanawake na anawatelekeza. Kila mwanamke anayekutana naye anamuambia kuwa amegombana na mke wake na wanakaribia kuachana.

Anampeleka mpaka kwao na kumuahidi vitu vingi, wengi ni mabinti wa chuo, anawazalisha na kuwaacha, ila kuna baadhi ambao humtelekezea watoto ambao anakuja kuniachia mimi. Sasa hivi nina watoto wake sita nawalea, hatoi pesa yoyote, watoto wenyewe ni wadogo, kuna ambaye kaletwa juzi ana miezi sita, ananitaka nimlee. Nikimuambia atoe hata pesa ya mfanyakazi ananiambia kuwa hawezi kuoa mke na kutafuta mfanyakazi kwani mimi nafanya nini.

Nina wafanyakazi wawili ambao nawalipa mimi. Kaka, nimechoka na sijui cha kufanya. Tukigombana kidogo ananiambia kuwa kama nimechoka niondoke, lakini yeye hawezi kuacha kuzaa. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba, nimegundua kuwa mume wangu anatembea na wafanyakazi wangu wote wawili, tena wananidharau.

Nikimuambia kwanini unafanya hivyo ananiambia ni mimi nimeleta wafanyakazi, kama nataka aniache kutembea nao basi niache kazi, nihudumie watoto wake, la sivyo kila nitakayemleta atatembea naye. Kaka, mimi nina watoto naye wawili tena wakubwa, ila kaniletea watoto sita wadogo. Yaani, nashindwa cha kufanya, ananiambia kama nimechoka niondoke, nimuachie nyumba ambayo nimejenga na pesa yangu. Mpaka sasa nina mikopo, kaka nisaidie nifanyeje? Naishi vipi na huyu mwanaume?
Huyu ni Issue Makengo..nadhani huwa ni hadithi za kutunga hazina uhalisia...kweli mama Uwe ndio mtunza familia halafu mwanamke kazi kubwa owe kuletwa watoto

Hizi ni Abunuasi za Iddi makenge Instagram Na watu bado wanaamini Kwa chai hii yenye kukolezwa Na viungo
 
Hivi joji aloisi si njemba ww?Sawa unaleta tushauri,Kwa Hiyo unapata Kero za mademu tu?
 
Mimi ni mama wa miaka 40, ninafanya kazi na nina kipato kizuri tu. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba mume wangu ni malaya sana, ni mtu wa wanawake na hahudumii familia, kila kitu nafanya mimi. Nimejitahidi, nimekopa mpaka nimejenga mimi, ingawa kiwanja kina jina lake. Nilifanya kosa hilo kwa sababu nilikuwa sijakujuwa, hivyo nilinunua kiwanja kwa jina langu.

Lakini tuligombana, akaenda kushitaki nyumbani kwetu ambapo waliniambia kila kitu kinatakiwa kuwa kwa majina ya mume wangu kwa sababu mimi ni mke tu na yeye ndiyo baba, kichwa cha familia. Kila mtu alikuwa upande wake, akatishia kuniacha hivyo nikaamua kubadilisha majina, nikaandika majina yake ingawa hata katika ujenzi hakuchangia kitu chochote, kila kitu nilifanya mimi mwenyewe mpaka kukamilisha.

Wakati huo huo hahudumii familia. Nikimuuliza ananiambia kuwa kama nataka ahudumie familia basi niache kazi, niwe mke wake, nifanye kazi za nyumbani, atahudumia. Mimi nilikataa kuacha kazi, sababu ya kuja kwako ni hivi: Mume wangu anachepuka sana, ana watoto zaidi ya kumi nje, anazaa na wanawake na anawatelekeza. Kila mwanamke anayekutana naye anamuambia kuwa amegombana na mke wake na wanakaribia kuachana.

Anampeleka mpaka kwao na kumuahidi vitu vingi, wengi ni mabinti wa chuo, anawazalisha na kuwaacha, ila kuna baadhi ambao humtelekezea watoto ambao anakuja kuniachia mimi. Sasa hivi nina watoto wake sita nawalea, hatoi pesa yoyote, watoto wenyewe ni wadogo, kuna ambaye kaletwa juzi ana miezi sita, ananitaka nimlee. Nikimuambia atoe hata pesa ya mfanyakazi ananiambia kuwa hawezi kuoa mke na kutafuta mfanyakazi kwani mimi nafanya nini.

Nina wafanyakazi wawili ambao nawalipa mimi. Kaka, nimechoka na sijui cha kufanya. Tukigombana kidogo ananiambia kuwa kama nimechoka niondoke, lakini yeye hawezi kuacha kuzaa. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba, nimegundua kuwa mume wangu anatembea na wafanyakazi wangu wote wawili, tena wananidharau.

Nikimuambia kwanini unafanya hivyo ananiambia ni mimi nimeleta wafanyakazi, kama nataka aniache kutembea nao basi niache kazi, nihudumie watoto wake, la sivyo kila nitakayemleta atatembea naye. Kaka, mimi nina watoto naye wawili tena wakubwa, ila kaniletea watoto sita wadogo. Yaani, nashindwa cha kufanya, ananiambia kama nimechoka niondoke, nimuachie nyumba ambayo nimejenga na pesa yangu. Mpaka sasa nina mikopo, kaka nisaidie nifanyeje? Naishi vipi na huyu mwanaume?
hapo naona unamapenzi yakijinga. Huyo hafai achananae. Kubamsemo unasema ng'ang'ania ndoa ila ndoa isikuue.

Hapo chakufanya nikuachananae. Kuhusu nyumba kama unahitaji mgao wa jasho lako utaupata mahakamani. Kafungue shauri la talaka.
 
Mimi ni mama wa miaka 40, ninafanya kazi na nina kipato kizuri tu. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba mume wangu ni malaya sana, ni mtu wa wanawake na hahudumii familia, kila kitu nafanya mimi. Nimejitahidi, nimekopa mpaka nimejenga mimi, ingawa kiwanja kina jina lake. Nilifanya kosa hilo kwa sababu nilikuwa sijakujuwa, hivyo nilinunua kiwanja kwa jina langu.

Lakini tuligombana, akaenda kushitaki nyumbani kwetu ambapo waliniambia kila kitu kinatakiwa kuwa kwa majina ya mume wangu kwa sababu mimi ni mke tu na yeye ndiyo baba, kichwa cha familia. Kila mtu alikuwa upande wake, akatishia kuniacha hivyo nikaamua kubadilisha majina, nikaandika majina yake ingawa hata katika ujenzi hakuchangia kitu chochote, kila kitu nilifanya mimi mwenyewe mpaka kukamilisha.

Wakati huo huo hahudumii familia. Nikimuuliza ananiambia kuwa kama nataka ahudumie familia basi niache kazi, niwe mke wake, nifanye kazi za nyumbani, atahudumia. Mimi nilikataa kuacha kazi, sababu ya kuja kwako ni hivi: Mume wangu anachepuka sana, ana watoto zaidi ya kumi nje, anazaa na wanawake na anawatelekeza. Kila mwanamke anayekutana naye anamuambia kuwa amegombana na mke wake na wanakaribia kuachana.

Anampeleka mpaka kwao na kumuahidi vitu vingi, wengi ni mabinti wa chuo, anawazalisha na kuwaacha, ila kuna baadhi ambao humtelekezea watoto ambao anakuja kuniachia mimi. Sasa hivi nina watoto wake sita nawalea, hatoi pesa yoyote, watoto wenyewe ni wadogo, kuna ambaye kaletwa juzi ana miezi sita, ananitaka nimlee. Nikimuambia atoe hata pesa ya mfanyakazi ananiambia kuwa hawezi kuoa mke na kutafuta mfanyakazi kwani mimi nafanya nini.

Nina wafanyakazi wawili ambao nawalipa mimi. Kaka, nimechoka na sijui cha kufanya. Tukigombana kidogo ananiambia kuwa kama nimechoka niondoke, lakini yeye hawezi kuacha kuzaa. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba, nimegundua kuwa mume wangu anatembea na wafanyakazi wangu wote wawili, tena wananidharau.

Nikimuambia kwanini unafanya hivyo ananiambia ni mimi nimeleta wafanyakazi, kama nataka aniache kutembea nao basi niache kazi, nihudumie watoto wake, la sivyo kila nitakayemleta atatembea naye. Kaka, mimi nina watoto naye wawili tena wakubwa, ila kaniletea watoto sita wadogo. Yaani, nashindwa cha kufanya, ananiambia kama nimechoka niondoke, nimuachie nyumba ambayo nimejenga na pesa yangu. Mpaka sasa nina mikopo, kaka nisaidie nifanyeje? Naishi vipi na huyu mwanaume?
Fanya mpango umuue tu.
Huna mume pale una mzimu.

Mtu anafanya makosa kwa maksudi siyo kwa bahati mbaya alafu na madharau juu, aisee muue tu ki CIA ubaki kuwa mjane single mother.

Na ukishamuua hao watoto 6 watachukuliwa na mama zao na wewe utabaki free na wanao wawili.
 
Wewe ni ke au me?

ATAKUWA UPINDE HUYU (rainbow)
 
hii kitu unaweza fikiri ni chumvi ila kuna mwanamke jirani yangu, maisha yake yapo hivihivi. ajabu sana.
 
Mimi ni mama wa miaka 40, ninafanya kazi na nina kipato kizuri tu. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba mume wangu ni malaya sana, ni mtu wa wanawake na hahudumii familia, kila kitu nafanya mimi. Nimejitahidi, nimekopa mpaka nimejenga mimi, ingawa kiwanja kina jina lake. Nilifanya kosa hilo kwa sababu nilikuwa sijakujuwa, hivyo nilinunua kiwanja kwa jina langu.

Lakini tuligombana, akaenda kushitaki nyumbani kwetu ambapo waliniambia kila kitu kinatakiwa kuwa kwa majina ya mume wangu kwa sababu mimi ni mke tu na yeye ndiyo baba, kichwa cha familia. Kila mtu alikuwa upande wake, akatishia kuniacha hivyo nikaamua kubadilisha majina, nikaandika majina yake ingawa hata katika ujenzi hakuchangia kitu chochote, kila kitu nilifanya mimi mwenyewe mpaka kukamilisha.

Wakati huo huo hahudumii familia. Nikimuuliza ananiambia kuwa kama nataka ahudumie familia basi niache kazi, niwe mke wake, nifanye kazi za nyumbani, atahudumia. Mimi nilikataa kuacha kazi, sababu ya kuja kwako ni hivi: Mume wangu anachepuka sana, ana watoto zaidi ya kumi nje, anazaa na wanawake na anawatelekeza. Kila mwanamke anayekutana naye anamuambia kuwa amegombana na mke wake na wanakaribia kuachana.

Anampeleka mpaka kwao na kumuahidi vitu vingi, wengi ni mabinti wa chuo, anawazalisha na kuwaacha, ila kuna baadhi ambao humtelekezea watoto ambao anakuja kuniachia mimi. Sasa hivi nina watoto wake sita nawalea, hatoi pesa yoyote, watoto wenyewe ni wadogo, kuna ambaye kaletwa juzi ana miezi sita, ananitaka nimlee. Nikimuambia atoe hata pesa ya mfanyakazi ananiambia kuwa hawezi kuoa mke na kutafuta mfanyakazi kwani mimi nafanya nini.

Nina wafanyakazi wawili ambao nawalipa mimi. Kaka, nimechoka na sijui cha kufanya. Tukigombana kidogo ananiambia kuwa kama nimechoka niondoke, lakini yeye hawezi kuacha kuzaa. Sababu ya kuja kwako kaka ni kwamba, nimegundua kuwa mume wangu anatembea na wafanyakazi wangu wote wawili, tena wananidharau.

Nikimuambia kwanini unafanya hivyo ananiambia ni mimi nimeleta wafanyakazi, kama nataka aniache kutembea nao basi niache kazi, nihudumie watoto wake, la sivyo kila nitakayemleta atatembea naye. Kaka, mimi nina watoto naye wawili tena wakubwa, ila kaniletea watoto sita wadogo. Yaani, nashindwa cha kufanya, ananiambia kama nimechoka niondoke, nimuachie nyumba ambayo nimejenga na pesa yangu. Mpaka sasa nina mikopo, kaka nisaidie nifanyeje? Naishi vipi na huyu mwanaume?
Mbona simple, beba watoto sepa, vunja ndoa mahakamani,
 
Back
Top Bottom