Kila nikilewa napata mafua makali sana kesho yake

Kila nikilewa napata mafua makali sana kesho yake

BOOOKS PACKAGES

9 pcs 215k
8 pcs 190k
7 pcs 163k
6 pcs 149k
5 pcs 127k
4 pcs 100k
3 pcs 85k
2 pcs 57k
1 pc 30k

WHOLESALE[emoji91]

10 pcs 25k
20 pcs 23k
25 pcs 21k
30 pcs 20k
40 pcs 18k
50 pcs 15k

Order now [emoji847]

Please welcome
View attachment 1666372
Jombaa uko sawa
 
Unanifaa kwa mfano wa kuacha ulabu[emoji2957][emoji2957]

Sio kwamba sinywi hizo nyingine za kizungu [emoji16] nakunywa lakini kila nikinywa najutia kwa nn nimekunywa. Kuacha pombe ni maamuzi binafsi mbona inawezekana kabisa.
 
Sio kwamba sinywi hizo nyingine za kizungu [emoji16] nakunywa lakini kila nikinywa najutia kwa nn nimekunywa. Kuacha pombe ni maamuzi binafsi mbona inawezekana kabisa.
Ohooo kumbee...nilijua hukunywi Kabisa aiseh
 
Hello hello watu wangu wa nguvu mambo vipiiiii...😊😊
Natumai mko salama sana na mnaendelea vizuuuriii kabisa 🧚‍♀️🧚‍🧚‍♀️.

Nirudi kwenye kichwa cha habari sasa😁😁..
Aise wakuu bhana kila nikinywa kilevi chochote hata kama ni kidogo kiwe ni cha moto(room temperature)au cha baridi basi kesho yake ni lazima nipate mafua makali mnooooo Mpka naogopa mjue😁😁

Nimevumilia kwa muda lkni wapi.mwenye aliyekuwa na hali kama hii na akapata kupona naombeni mniambukize huo upako wa tiba jamani☹️☹️

Hazard CFC brother wa nyumbani kabisa naomba unitafutie mitishamba hii hali inanitishia ujue aiseh 😁😁
Na wengine woooooootee.

Kama uko karibu,,niko na juice ya mango mixed passion hapa karibuni sana wapendwa katika bwana 🥂🥂

Uzi tayari 🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️
Iko simple dawa unayo mwenyewe ila hutaki itumia, kama hutaki kupata hayo mafua usilewe/ usinywe hayo madude.
 
Back
Top Bottom