kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]blaza nimecheka kwa sauti mno haki tena.
Ngoja nimwite Saint Anne aniwashe maombi na injili nirudi kundini[emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23]Bora wewe ukinywa kilevi unaamka na mafua
Mimi nikinywa serengeti Premium Lite ya baridi yaani huwa napitiwa na shetani mno
Nijitahidi kupunguza au kuacha kabisa ila wapi....
Akija Saint Anne kukushushia maombi naomba na mimi anikumbuke katika maombi yake nirudi kundini maana nitapotea na wakunirudisha kundini sioni/simuoni.
Wokovu unakuita!
Dada mbona unaheri mi majanga yangu si unayajua nikinywa safari lager tu asubuhi najikuta chumba cha dada wa kazi! Heri wewe cha kufanya okoka tu dada yangu Mungu anakupenda..[emoji28]
Nawapenda sana wapo real. mnywaji nikichafua meza hawezi ligiWacha bhana..umetisha mwanamke mlevi!duh bora ungesema mnywaji aiseh
Ndio sababu nakupenda sana[emoji8]Imeisha hiyoooo baba