Kila nikimbusu mpenzi wangu anatema mate chini

Kila nikimbusu mpenzi wangu anatema mate chini

Nilijua tu wrng mngezan mdomo wangu mchafu mm huwa narnda hsptal kusafisha meno kila miex sita mdeak napiga kils siku kiac kwamba naends kushoot video lkn mwenzangu wapi
Kwa uandishi huu, huyo mdada ni mvumilivu sna
 
Sema ww jamaa una visa vingi sana vya kimapenz,mara useme mpenz wako hana tako,hv ni huyo huyo demu mmoja anakasoro zote hzo?
 
Nilijua tu wrng mngezan mdomo wangu mchafu mm huwa narnda hsptal kusafisha meno kila miex sita mdeak napiga kils siku kiac kwamba naends kushoot video lkn mwenzangu wapi
Hataki hiyo kitu sasa don't force, nani kakudanganya kwamba ni lazima kula denda? Mfano yeye akikushika kwenye kinyeo chako utakubali?
 
1631549473358.png

Habari wadau


Nipo katika mahusiano na binti fulani hivi ajabu tukikiss anaweka mate mdomoni kisha anatema chini nimeongea naye sana lakini hataki kuiacha kiasi inafika wakati najisikia vibaya mno. Nimegombana naye lakini hataki hata tuwe chumbani tukikiss anaweka mate mdomoni kisha anakwenda kutema bafuni anasema nisimlazimishe kuyameza mate hata tukisex mate anaweka mdomoni after sex anakwenda kutema bafuni

Kwa uchunguzi niliofanya nimebaini hata tukiwa njian tukakiss mate anaweja mdomoni kisha ataongeza spidi ya mwendo su kubadilu uelekeo nia yake tu ateme ayo mate ila nisimuone

Nifanyeje?
 
Habari wadau

Nipo katika mahusiano na binti fulani hivi ajabu tukikiss anaweka mate mdomoni kisha anatema chini nimeongea naye sana lakini hataki kuiacha kiasi inafika wakati najisikia vibaya mno. Nimegombana naye lakini hataki hata tuwe chumbani tukikiss anaweka mate mdomoni kisha anakwenda kutema bafuni anasema nisimlazimishe kuyameza mate hata tukisex mate anaweka mdomoni after sex anakwenda kutema bafuni

Kwa uchunguzi niliofanya nimebaini hata tukiwa njian tukakiss mate anaweja mdomoni kisha ataongeza spidi ya mwendo su kubadilu uelekeo nia yake tu ateme ayo mate ila nisimuone

Nifanyeje?
Kiongozi sisi sote wabantu na wabantu lazima waambiane ukweli, hilo domo lako litakuwa linanuka au ilo domo lako limekaa kama zombie mnyonya damu kama sio hivyo hayo mate yako ni kama ya kinyonga yaani yananata kama gundi. DOMO LAKO LIFANYIE UCHUNGUZI LA SIVYO HUYO DEMU HANA HISIA NA WEWE TAFUTA SIZE YAKO.
 
Fanya uende kwa mtalaam wa kinywa na meno kwa checkup...unawezakuta kuna tatizo kwako..hio sio kawaida
 
Habari wadau

Nipo katika mahusiano na binti fulani hivi ajabu tukikiss anaweka mate mdomoni kisha anatema chini nimeongea naye sana lakini hataki kuiacha kiasi inafika wakati najisikia vibaya mno. Nimegombana naye lakini hataki hata tuwe chumbani tukikiss anaweka mate mdomoni kisha anakwenda kutema bafuni anasema nisimlazimishe kuyameza mate hata tukisex mate anaweka mdomoni after sex anakwenda kutema bafuni

Kwa uchunguzi niliofanya nimebaini hata tukiwa njian tukakiss mate anaweja mdomoni kisha ataongeza spidi ya mwendo su kubadilu uelekeo nia yake tu ateme ayo mate ila nisimuone

Nifanyeje?
Unanuka mdomo kwenye vizi kuna mabaki ya ugali samaki wa jana na juzi yameoza
 
kama unamjazia mi mate yako mdomoni afanyeje???

hata mi sipendi..

usimlazimishe buwashee
 
Habari wadau

Nipo katika mahusiano na binti fulani hivi ajabu tukikiss anaweka mate mdomoni kisha anatema chini nimeongea naye sana lakini hataki kuiacha kiasi inafika wakati najisikia vibaya mno. Nimegombana naye lakini hataki hata tuwe chumbani tukikiss anaweka mate mdomoni kisha anakwenda kutema bafuni anasema nisimlazimishe kuyameza mate hata tukisex mate anaweka mdomoni after sex anakwenda kutema bafuni

Kwa uchunguzi niliofanya nimebaini hata tukiwa njian tukakiss mate anaweja mdomoni kisha ataongeza spidi ya mwendo su kubadilu uelekeo nia yake tu ateme ayo mate ila nisimuone

Nifanyeje?
Chukua laki moja kabla ya kumpa akionana zibusu nae umwambie azibusiii
Au temea mate kiasi kwenye noti
A
 
Ila pia mm camini San kwenye kunyonya sna matee smtm naona kinyaa fln HV ...cwezi mate za mademu
 
Back
Top Bottom