Kila nikimuangalia Charity Ngilu huwa ananivutia sana msema kweli mpenzi wa Mungu

Ila Ng'ombe hazeeki maini Lengo langu nitimize ile Ahadi yangu ya kukaa meza moja na Charity Ngilu hata niongee nae mawili matatu roho yangu itulie hapo ndio nifikirie sehemu nyingine
Sasa uache mademu wachanga kama mobetto waende kwa waganga uje kuchukua nyanya za watu πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Wa kawaida sana... labda kama unatafuta kulelewa...


Cc: mahondaw
Mimi namshukuru mungu sio mtu wa kutafuta manzi wa kunilea nina watoto Rwanda Kenya Burundi

Ujana wangu nimeula kwa step sasa nikipendacho mimi sio lazima na wewe ukipende
 
Ila Ng'ombe hazeeki maini Lengo langu nitimize ile Ahadi yangu ya kukaa meza moja na Charity Ngilu hata niongee nae mawili matatu roho yangu itulie hapo ndio nifikirie sehemu nyingine
Nenda kitui book appointment utamuona tena Yuko simple Sana hautasumbuliwa.
 
Kitu kingine kinachonivutia kubusu Ngilu ni uongeaji wake anaongea taratibu bila Rabsha sio kama hawa akuna Tulia Ackson wanongea mipasho utasema muimba Taarabu.
 
Sijui Tina Turner Oprah Winfrey......naah!

Kwangu mimi Chariy Ngilu Mwanamke alieufanya Moyo wangu uSkip one beat.
 

Wakati namuona Charity huko Mombasa alikuwa bado
Sasaa hata leo hii kilomita zimeenda kidogo lakini mimi kwangu ni yuleyule hata ukiniletea vigoli wa Kiturkana SGR nzima wala sitawaangalia.😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
 
Unalitia aibu hilo jina na hiyo brand ya Imhotep
 
Sijawahi kumuona Charity Ngilu akiwa amwekasirika sijawahi.

Labda watu walio karibu nae na sijui huwa anawezaje kuvumilia Stress za Maisha ya Familia na Maisha ya ulingo wa Siasa.
 
Sijawahi kumuona Charity Ngilu akiwa amwekasirika sijawahi.

Labda watu walio karibu nae na sijui huwa anawezaje kuvumilia Stress za Maisha ya Familia na Maisha ya ulingo wa Siasa.
Kama Una nguvu nakusihi uachane na charity yeye ni probox ,mjaribu huyu V8 Mtoto wa mgiryama kutoka jamii ya mijikenda pia yupo team Tangatanga, ni Moto wa kuotea mbali.
 

Attachments

  • FB_IMG_1568049399889.jpeg
    32.1 KB · Views: 19
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…