Kila nikimuangalia Charity Ngilu huwa ananivutia sana msema kweli mpenzi wa Mungu

Kila nikimuangalia Charity Ngilu huwa ananivutia sana msema kweli mpenzi wa Mungu

Sijaweka ya Tulia Ackson ambayo huwa nawatishia watoto ili wakalale mapema.
Hapa siulikuwa unaongelea warembo sasa picha za kutisha zanini weka picha yake tumuone huyo mrembo
 
Halafu anapenda vijana ashakutwa na scandal ya kukutwa parking lot na bwamdogo in a compromising situation!
 
Sasa ukiona Wabunge Kama Kina pasaris si utachanganyikiwa[emoji23][emoji23][emoji23].
Hii ni Mali ya serekali kaa mbali nayo.
[emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484]
Most-Beautiful-Female-Politicians-in-Kenya-8.jpeg
Most-Beautiful-Female-Politicians-in-Kenya-1.jpeg
Most-Beautiful-Female-Politicians-in-Kenya-9.jpeg
4.jpeg
 
Mkuu andiko lako hili alistahili alione na kulisoma huyo Charity wako umpendaye.
M/Mungu wanaume alituwekea vikwazo vya kila aina kwenye mahaba ama namna ya kupenda na kutamani mwanamke!

Wewe unadatishwa na macho yake ya mlazo, wengine mpaka aone na wowowo la kihasara, ama rangi ya ngozi ya mtume, ama mwanya!
Wengine sauti tu zinatutoa pangoni.
Maajabu ya kuumba ya Mwenyezi Mungu haya wallah!
 
Mtoto Sabina Chegge lazima nimfate Nairobi nipige!

Lazima apigwe tu hamna namna!

View attachment 1202784
Teh teh teh. Halafu njemba zote zinasorolea, huku kila mmoja akijifanya hajali na hana mpango.

Hizo hila zao huyo mwanamke kazielewa,
ndiyo atembeeje kwa manjonjo na madaha?
Wanaume tuna udhaifu wa kuadhibiwa na mengi!

Ukute saazingine mtu anabishi kimoyomoyo akipinga ufundi wa muumba..'haiwezekani, hilo lote ni la kwake!'....M/Mungu atuhurumie.
 
Acha niishie hapa kwa leo

Wezeree kaa looote 😢
Mabroo mnafaidi mengi 😭😭

 
Ndugu zangu wana Afrika ya Mashariki amani iwe kwenu

Mimi kwa mara ya kwanza nilimuona kwenye kampeni nikiwa Mombasa kiroho kikanidunda nikawa nafuatilia hotuba zake hata alipokuwa Waziri nilikuwa kila nikiyaangalia yale macho basi nyoka lazima atamani

Mpaka leo hii bado ninacuriwa nae najua lazima atakuwa na Bwana na watoto ila ndio dunia hiyo

Nimejaribu kudate Wakamba kadhaa lakini hakuna aliyemfikia Charity Ngilu

Ningependa angalau siku moja japo hata tusalimiane tu ili niushike mkono wake halafu hata nikifa kesho yake sawa tu.
View attachment 1202753
Hayo ndio macho ya Mahaba hakuna cha kula Kungu wala kupakaa wanja sijui shade ni kitu Natural Mimi hata kama nimezulumiwa Nyumba akinitokea nitapoa kama Barafu.
I love you my Sister.
NAHISI MTOA MADA PUNGU TWO
 
Back
Top Bottom