Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Hapa siulikuwa unaongelea warembo sasa picha za kutisha zanini weka picha yake tumuone huyo mremboSijaweka ya Tulia Ackson ambayo huwa nawatishia watoto ili wakalale mapema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa siulikuwa unaongelea warembo sasa picha za kutisha zanini weka picha yake tumuone huyo mremboSijaweka ya Tulia Ackson ambayo huwa nawatishia watoto ili wakalale mapema.
Unataka kushindana naye kutisha ?Hebu weka ya huyo tulia ackson nimuone
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Fupi nono RoundKama Una nguvu nakusihi uachane na charity yeye ni probox ,mjaribu huyu V8 Mtoto wa mgiryama kutoka jamii ya mijikenda pia yupo team Tangatanga, ni Moto wa kuotea mbali.View attachment 1202937View attachment 1202938View attachment 1202941
Teh teh teh. Halafu njemba zote zinasorolea, huku kila mmoja akijifanya hajali na hana mpango.Mtoto Sabina Chegge lazima nimfate Nairobi nipige!
Lazima apigwe tu hamna namna!
View attachment 1202784
Huyo kwa kutisha ameniacha mbali sana. Siwezi kumfikiaUnataka kushindana naye kutisha ?
Watu tunatofautiana, wengine tunawaza hata tuwe mahouseboy huku wengine wanadatishwa na makwokwoo 😃😃😃😃Huyo kokoo ndio unamwaga povu lote? Dah! Kazi ipo
NAHISI MTOA MADA PUNGU TWONdugu zangu wana Afrika ya Mashariki amani iwe kwenu
Mimi kwa mara ya kwanza nilimuona kwenye kampeni nikiwa Mombasa kiroho kikanidunda nikawa nafuatilia hotuba zake hata alipokuwa Waziri nilikuwa kila nikiyaangalia yale macho basi nyoka lazima atamani
Mpaka leo hii bado ninacuriwa nae najua lazima atakuwa na Bwana na watoto ila ndio dunia hiyo
Nimejaribu kudate Wakamba kadhaa lakini hakuna aliyemfikia Charity Ngilu
Ningependa angalau siku moja japo hata tusalimiane tu ili niushike mkono wake halafu hata nikifa kesho yake sawa tu.
View attachment 1202753
Hayo ndio macho ya Mahaba hakuna cha kula Kungu wala kupakaa wanja sijui shade ni kitu Natural Mimi hata kama nimezulumiwa Nyumba akinitokea nitapoa kama Barafu.
I love you my Sister.
Acha niishie hapa kwa leo
Wezeree kaa looote 😢
Mabroo mnafaidi mengi 😭😭
Kamalizane nae mda ulio bakia