Kila nikimuangalia Charity Ngilu huwa ananivutia sana msema kweli mpenzi wa Mungu

Kila nikimuangalia Charity Ngilu huwa ananivutia sana msema kweli mpenzi wa Mungu

Watu tunatofautiana, wengine tunawaza hata tuwe mahouseboy huku wengine wanadatishwa na makwokwoo [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ukawe houseboy kwa Hellen ? Hata hiyo nyumba anayo ? Huyo unazama DM huko instagram mnamalizana
 
hon-charity-ngilu2-1.jpg

 
Ndugu zangu wana Afrika ya Mashariki amani iwe kwenu

Mimi kwa mara ya kwanza nilimuona kwenye kampeni nikiwa Mombasa kiroho kikanidunda nikawa nafuatilia hotuba zake hata alipokuwa Waziri nilikuwa kila nikiyaangalia yale macho basi nyoka lazima atamani

Mpaka leo hii bado ninacuriwa nae najua lazima atakuwa na Bwana na watoto ila ndio dunia hiyo

Nimejaribu kudate Wakamba kadhaa lakini hakuna aliyemfikia Charity Ngilu

Ningependa angalau siku moja japo hata tusalimiane tu ili niushike mkono wake halafu hata nikifa kesho yake sawa tu.
View attachment 1202753
Hayo ndio macho ya Mahaba hakuna cha kula Kungu wala kupakaa wanja sijui shade ni kitu Natural Mimi hata kama nimezulumiwa Nyumba akinitokea nitapoa kama Barafu.
I love you my Sister.
Nampenda sana huyu mazeri hadi huwa namuota, ukikuta diary yangu daily nimemuandika charity yaani. Navutiwa nae sana bila sababu tu!
 
Ndugu zangu wana Afrika ya Mashariki amani iwe kwenu

Mimi kwa mara ya kwanza nilimuona kwenye kampeni nikiwa Mombasa kiroho kikanidunda nikawa nafuatilia hotuba zake hata alipokuwa Waziri nilikuwa kila nikiyaangalia yale macho basi nyoka lazima atamani

Mpaka leo hii bado ninacuriwa nae najua lazima atakuwa na Bwana na watoto ila ndio dunia hiyo

Nimejaribu kudate Wakamba kadhaa lakini hakuna aliyemfikia Charity Ngilu

Ningependa angalau siku moja japo hata tusalimiane tu ili niushike mkono wake halafu hata nikifa kesho yake sawa tu.
View attachment 1202753
Hayo ndio macho ya Mahaba hakuna cha kula Kungu wala kupakaa wanja sijui shade ni kitu Natural Mimi hata kama nimezulumiwa Nyumba akinitokea nitapoa kama Barafu.
I love you my Sister.

Ukiona vyapendeza na kuvutia ujue vimegharamiwa!!
😛😝😂🤣😁
 
View attachment 1202788
Na hapo Amemaliza makopo mawili ya Makeup na Studio lights zote zimewashwa na Camera flash juu

Na bado hajazeeka akizeeka balozi wa nyumba kumi anaweza kumuamuru ahame mtaa kwani watoto watakua wanaota usiku.
Anaeumia ni mimi kaka yake hapa. Tafadhali naomba umuache maana roho inaniuma sana mnavyomsema dada yangu.
 
Anaeumia ni mimi kaka yake hapa. Tafadhali naomba umuache maana roho inaniuma sana mnavyomsema dada yangu.
Kama dada yako anafanana hivyo basi wewe utakuwa unafanana hivi.
downloadfile-1.jpg

Pole kwa hasira
downloadfile.jpg

Yaani Photo copy
 
Sijui watoto wake wa Kike kama anao vitakuwa ni visu kwelikweli.
Ila kama kama ni Single mother mimi niko tayati tumalize nae kilometa zilizobakia
Bwana yake aliaga miaka kadhaa zilizopita. Kuna picha lake kwenye gazeti niliona akiwa amekaa chini na sketi kwa bahati mzuri ikaja juu nikaona paja laini nyororo paja ambayo sijawahi kusahau hadi leo.
 
Sabina chege ndiye mwanasiasa pekee ambaye hufanya msukumo wa damu kupanda. Halafu mimi napenda black beauty au chocolate ila sio ngozi nyeupe.
 
Back
Top Bottom