Kila nikimwambia tukapime afya anajizungusha tu, nahisi ameathirika na VVU

Kila nikimwambia tukapime afya anajizungusha tu, nahisi ameathirika na VVU

Nakumbuka ilikuwa kama movie flan iv

Niliigia mahusiano na dada mmoja ivi, akiwa anarudi kazini nilikua namfata kituon zen nampeleka geto kwake Ila sikuwah mgusia kuhusu swala la sex.

Siku moja akanibananisha nilale kwake, nikasema ok hakuna shida nikaingia ndan, romance zikatawala plus na mambo mengine Ila akanambia ngoja akaoge kwanza

Alivorud kuoga alikua amevaa khanga tu I mean ndan hakua na kitu zen akanilalia kifuani ili nijiongeze kupiga mzigo

Sijui ilikua ni mizimu yangu au mungu wangu ghafla tu nikamsogeza pemben nikamwambia twende tukapime kwanza (hapo mnara wa babeli upo hatua za Renta yaani unasoma 4G)

Akakubali Ila kishingo upande (mm Dem akikubali kupima ni lazma apime sinaga ile kitu ya kuamini mtu kisa amekubali kupima)

Akavaa nguo zake zen fasta tukaenda dispensary fulan iv,. Tukatolewa damu kama zen tukaitwa kuchukua majibu yetu

Dokta akatuambia hawzi kutupa majibu yetu kwasababu mmoja wetu kipimo kinaonyesha anamaambukizi,

Moyo ulipiga paaaaaaaaaaaaa

Basi nikamchukua mgonjwa wangu Ila njiani nikawa namdanganya itakua labda ni mm coz sometimes inanitokeaga kipimo kinaonyesha nipo positive Ila Niko negative.

Bidada naona alinielewa mix kunambia nisipanick tusubirie kesho yake tukapime mnaz mmoja.

Nikaleta visingizio vingi ili tusilale wote, nikaenda kumdrop kwake zen mm nikaenda kulala geto kwangu

Nilivotoka hapo nilikimbiza gar utafikiri nimetoka kuiba hela bank.


Kama unajali afya yako ni vema kupima kabla ya tendo japo wanasema inatakiwa mpime kwa miez mitatu Ila hii kitu inapunguza risk.
 
Nakumbuka ilikuwa kama movie flan iv

Niliigia mahusiano na dada mmoja ivi, akiwa anarudi kazini nilikua namfata kituon zen nampeleka geto kwake Ila sikuwah mgusia kuhusu swala la sex.

Siku moja akanibananisha nilale kwake, nikasema ok hakuna shida nikaingia ndan, romance zikatawala plus na mambo mengine Ila akanambia ngoja akaoge kwanza
We ni bingwa, nakupongeza.
 
Nililala na mwanamke peku kwa miezi 3 bila kujua kumbe mwathirika
Acha tu, siku natoka O bay na issue zangu best bite pale nikakutana na ex wangu.
Wacha atoke baruti.
Kakimbia anarudi e bana we mzima?
Sasa unaniona nadunda unauliza tena.
"Mtaani tulikua tunakaa habari zimeenea ulikufa na Ngoma"
Khah mi nikabaki natoa macho tu🙄.
Hatukwenda mbali best bite,tukaenda rombo block 41 nikala mbususu tena tukaachana
Sijafa hadi leo.
 
Acha tu, siku natoka O bay na issue zangu best bite pale nikakutana na ex wangu.
Wacha atoke baruti.
Kakimbia anarudi e bana we mzima?
Sasa unaniona nadunda unauliza tena.
"Mtaani tulikua tunakaa habari zimeenea ulikufa na Ngoma"
Khah mi nikabaki natoa macho tu🙄.
Hatukwenda mbali best bite,tukaenda rombo block 41 nikala mbususu tena tukaachana
Sijafa hadi leo.
Wacha wee
 
Nakumbuka ilikuwa kama movie flan iv

Niliigia mahusiano na dada mmoja ivi, akiwa anarudi kazini nilikua namfata kituon zen nampeleka geto kwake Ila sikuwah mgusia kuhusu swala la sex.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha tu, siku natoka O bay na issue zangu best bite pale nikakutana na ex wangu.
Wacha atoke baruti.
Kakimbia anarudi e bana we mzima?
Sasa unaniona nadunda unauliza tena.
"Mtaani tulikua tunakaa habari zimeenea ulikufa na Ngoma"
Khah mi nikabaki natoa macho tu[emoji849].
Hatukwenda mbali best bite,tukaenda rombo block 41 nikala mbususu tena tukaachana
Sijafa hadi leo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hio inaogofya sana hata mimi kuna mzigo nilipiga acapella sema nao ulikuwa unazingua sana kufanya testing chenga nyingi yani dah tuombeane tu maana hali inaweza kuwa tete yani.

Before hilo nilishafanya testing mambo yalikuwa dukinaa tu😅
 
Back
Top Bottom