kasagama
Member
- Nov 6, 2016
- 21
- 31
- Thread starter
- #21
Nn hikiUtelezi ni mtamu ila kumbuka after-effects kama hizi.View attachment 1991174
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nn hikiUtelezi ni mtamu ila kumbuka after-effects kama hizi.View attachment 1991174
Nani kakuambia ukimwi haupati ukipiga bao moja?Huoni nmenusulika kwa bao moja
[emoji23][emoji23][emoji23] kbsaa si bora angempiga mule kwenye fremu yake ...kimoja lodge aisee kazi hiiiImeniuma sn hapo umeenda gesti alafu umepiga bao moja mkasepa..matumizi mabaya kabisa ya nyumba ya wageni
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
We uoni God alikuwa upande wangu[emoji23][emoji23][emoji23] kbsaa si bora angempiga mule kwenye fremu yake ...kimoja lodge aisee kazi hiii
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
We ni bingwa, nakupongeza.Nakumbuka ilikuwa kama movie flan iv
Niliigia mahusiano na dada mmoja ivi, akiwa anarudi kazini nilikua namfata kituon zen nampeleka geto kwake Ila sikuwah mgusia kuhusu swala la sex.
Siku moja akanibananisha nilale kwake, nikasema ok hakuna shida nikaingia ndan, romance zikatawala plus na mambo mengine Ila akanambia ngoja akaoge kwanza
Acha tu, siku natoka O bay na issue zangu best bite pale nikakutana na ex wangu.Nililala na mwanamke peku kwa miezi 3 bila kujua kumbe mwathirika
Wacha weeAcha tu, siku natoka O bay na issue zangu best bite pale nikakutana na ex wangu.
Wacha atoke baruti.
Kakimbia anarudi e bana we mzima?
Sasa unaniona nadunda unauliza tena.
"Mtaani tulikua tunakaa habari zimeenea ulikufa na Ngoma"
Khah mi nikabaki natoa macho tu🙄.
Hatukwenda mbali best bite,tukaenda rombo block 41 nikala mbususu tena tukaachana
Sijafa hadi leo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakumbuka ilikuwa kama movie flan iv
Niliigia mahusiano na dada mmoja ivi, akiwa anarudi kazini nilikua namfata kituon zen nampeleka geto kwake Ila sikuwah mgusia kuhusu swala la sex.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha tu, siku natoka O bay na issue zangu best bite pale nikakutana na ex wangu.
Wacha atoke baruti.
Kakimbia anarudi e bana we mzima?
Sasa unaniona nadunda unauliza tena.
"Mtaani tulikua tunakaa habari zimeenea ulikufa na Ngoma"
Khah mi nikabaki natoa macho tu[emoji849].
Hatukwenda mbali best bite,tukaenda rombo block 41 nikala mbususu tena tukaachana
Sijafa hadi leo.
Hizo huwa ni stories tu, wengi wao unakuta waliachana na waliozaa nao hivyo wanaanza kupakaziwa uongoBaada ya watu wa kijijin kwao kusema alipewa ngoma na jamaa mmoja aliyezaa naye