Kila nikiona kitu cha hatari natamani kujitupia nife

Kila nikiona kitu cha hatari natamani kujitupia nife

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Hii hali maranyingi hunitokea nikiwa navuka bara bara nikaona gari linakuja kwa kasi kuna sauti inanijia nijitupe humo linipitie.

Kuna wakati inanibidi nirudi nyuma kabisa ili kuishinda hii sauti inayo niamuru kufanya hivo.

Au shimo refu au nikiwa juu daraja au kitu chochote bacho ni hatari? Hili ni tatizo la aina gani na linaishaje?
 
Hii hali maranyingi hunitokea nikiwa navuka bara bara nikaona gari linakuja kwa kasi Kuna sauti inanijia nijitupe humo linipitie

Kuna wakati inanibidi nirudi nyuma kabisa ili kuishinda hii sauti inayo niamuru kufanya hivo

Au shimo refu au nikiwa juu daraja au kitu chochote bacho ni hatari? hili ni tatizo la aina gani? Na linaishaje?
Hilo tatizo mbona limesha kwisha tayari?
Ingekua bado unalo ungekua umeshajitupia kwenye gari linalokuja au kujitupia kwenye shimo refu,

Kwa kuongezea tu,tafuta hela ule maisha,hilo tatizo hutoliona tena likikuijia,pia usipende kukaa peke yako,fanya mazoezi pia ili kujiweka fresh.
 
Hii hali maranyingi hunitokea nikiwa navuka bara bara nikaona gari linakuja kwa kasi Kuna sauti inanijia nijitupe humo linipitie

Kuna wakati inanibidi nirudi nyuma kabisa ili kuishinda hii sauti inayo niamuru kufanya hivo

Au shimo refu au nikiwa juu daraja au kitu chochote bacho ni hatari? hili ni tatizo la aina gani? Na linaishaje?
Wewe ni Dini gani kwanza ili tukupe ushauri kuendana na Imani yako?
 
Hii hali maranyingi hunitokea nikiwa navuka bara bara nikaona gari linakuja kwa kasi Kuna sauti inanijia nijitupe humo linipitie

Kuna wakati inanibidi nirudi nyuma kabisa ili kuishinda hii sauti inayo niamuru kufanya hivo

Au shimo refu au nikiwa juu daraja au kitu chochote bacho ni hatari? hili ni tatizo la aina gani? Na linaishaje?
Hiyo ni roho ya umauti ofisaa... Ni bora uombwe au usali vyema ikuachie, endapo ukiendelea na akili hiyo alafu siku ukapata Msongo wa mawazo Amini kwamba ni lazima utajitupa.
 
Hilo tatizo mbona limesha kwisha tayari?
Ingekua bado unalo ungekua umeshajitupia kwenye gari linalokuja au kujitupia kwenye shimo refu,

Kwa kuongezea tu,tafuta hela ule maisha,hilo tatizo hutoliona tena likikuijia,pia usipende kukaa peke yako,fanya mazoezi pia ili kujiweka fresh.
Duh pole sana Ila tafuta Kiongozi wako wa dini atakusaidia Ila kuna roho ya mauti inakunyemelea ,aidha uliwai kujitamkia kujiondoa uhai au uliwai kuwaza kutamani kufa kuliko kuishi, hivyo unaitaji msaada wa kiroho kuondoka katika hiyo Hali
 
Hii hali maranyingi hunitokea nikiwa navuka bara bara nikaona gari linakuja kwa kasi kuna sauti inanijia nijitupe humo linipitie.

Kuna wakati inanibidi nirudi nyuma kabisa ili kuishinda hii sauti inayo niamuru kufanya hivo.

Au shimo refu au nikiwa juu daraja au kitu chochote bacho ni hatari? Hili ni tatizo la aina gani na linaishaje?

Mkuu nenda hospitali utapata msaada. ila Angalizo, kulikoni kujitupa kwenye gari wakati kina Mdude wanatafuta wazalendo?



Ni heri kufa unaipigania nchi kuliko kwenda kujirusha shimoni.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],sijui kwanini nimecheka.
 
Achana na wanaokushauri maombi check na mtaalamu wa magonjwa ya akili.
 
duh pole sana mkuu, jitahd kupunguza mawazo , kaa vizuri na watu
 
Pole mkuu,nenda kwa wataalamu wa afya ya akili ...
 
  • Thanks
Reactions: LA7
Back
Top Bottom