Kila nikiona kitu cha hatari natamani kujitupia nife

Kila nikiona kitu cha hatari natamani kujitupia nife

Dah,ukipelekwa kwa mpalange bao 5 tatizo lako linaisha,bao 5 TU
 
Attention seeking disorder.

Notice hata rate yako ya kuanzisha nyuzi na hoja unazoandika
 
J
Hii hali maranyingi hunitokea nikiwa navuka bara bara nikaona gari linakuja kwa kasi kuna sauti inanijia nijitupe humo linipitie.

Kuna wakati inanibidi nirudi nyuma kabisa ili kuishinda hii sauti inayo niamuru kufanya hivo.

Au shimo refu au nikiwa juu daraja au kitu chochote bacho ni hatari? Hili ni tatizo la aina gani na linaishaje?
Jitamkie kuwa,

"Sitakufa, Bali nitaishi niuone wena wa BWANA katika Nchi ya Walio hai."

Naifujuza Roho hiyo chafu ya MAUTI ndani Yako Kwa Jina la YESU kristo wa Nazareth.

Amen
 
Mkuu hilo ni Pepo la Mauti linakunyemelea! Nenda Kanisani ufanyiwe maombi au kila unapoisikia sauti hiyo ikikuambia jirushe au jitupe ikemea hiyo sauti kwa jina la Yesu,hali hiyo itaondoka!
 
karipoti hospitali kubwa iliyo karibu nawe ilo ni tatizo la akili usipuuze
 
Back
Top Bottom