Hilo tatizo mbona limesha kwisha tayari?Hii hali maranyingi hunitokea nikiwa navuka bara bara nikaona gari linakuja kwa kasi Kuna sauti inanijia nijitupe humo linipitie
Kuna wakati inanibidi nirudi nyuma kabisa ili kuishinda hii sauti inayo niamuru kufanya hivo
Au shimo refu au nikiwa juu daraja au kitu chochote bacho ni hatari? hili ni tatizo la aina gani? Na linaishaje?
Wewe ni Dini gani kwanza ili tukupe ushauri kuendana na Imani yako?Hii hali maranyingi hunitokea nikiwa navuka bara bara nikaona gari linakuja kwa kasi Kuna sauti inanijia nijitupe humo linipitie
Kuna wakati inanibidi nirudi nyuma kabisa ili kuishinda hii sauti inayo niamuru kufanya hivo
Au shimo refu au nikiwa juu daraja au kitu chochote bacho ni hatari? hili ni tatizo la aina gani? Na linaishaje?
Hiyo ni roho ya umauti ofisaa... Ni bora uombwe au usali vyema ikuachie, endapo ukiendelea na akili hiyo alafu siku ukapata Msongo wa mawazo Amini kwamba ni lazima utajitupa.Hii hali maranyingi hunitokea nikiwa navuka bara bara nikaona gari linakuja kwa kasi Kuna sauti inanijia nijitupe humo linipitie
Kuna wakati inanibidi nirudi nyuma kabisa ili kuishinda hii sauti inayo niamuru kufanya hivo
Au shimo refu au nikiwa juu daraja au kitu chochote bacho ni hatari? hili ni tatizo la aina gani? Na linaishaje?
kwa kuwa na pesa nyingiNa linaishaje?
Duh pole sana Ila tafuta Kiongozi wako wa dini atakusaidia Ila kuna roho ya mauti inakunyemelea ,aidha uliwai kujitamkia kujiondoa uhai au uliwai kuwaza kutamani kufa kuliko kuishi, hivyo unaitaji msaada wa kiroho kuondoka katika hiyo HaliHilo tatizo mbona limesha kwisha tayari?
Ingekua bado unalo ungekua umeshajitupia kwenye gari linalokuja au kujitupia kwenye shimo refu,
Kwa kuongezea tu,tafuta hela ule maisha,hilo tatizo hutoliona tena likikuijia,pia usipende kukaa peke yako,fanya mazoezi pia ili kujiweka fresh.
Hii hali maranyingi hunitokea nikiwa navuka bara bara nikaona gari linakuja kwa kasi kuna sauti inanijia nijitupe humo linipitie.
Kuna wakati inanibidi nirudi nyuma kabisa ili kuishinda hii sauti inayo niamuru kufanya hivo.
Au shimo refu au nikiwa juu daraja au kitu chochote bacho ni hatari? Hili ni tatizo la aina gani na linaishaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa kuwa na pesa nyingi
Anahitajii.... Counseling ya maana akae sawa humu Wana kazana tafuta ela..... Ela ipogo tuu..... Km kapata loss je?Huo ni ugonjwa wa akili