Pole sana mkuu.Hili tatizo lipo kwa watu wengi sana,sio kwako tu.Nakushauri jifunze tu kupuuzia hayo mawazo.Hiyo hali itaishaHii hali maranyingi hunitokea nikiwa navuka bara bara nikaona gari linakuja kwa kasi kuna sauti inanijia nijitupe humo linipitie.
Kuna wakati inanibidi nirudi nyuma kabisa ili kuishinda hii sauti inayo niamuru kufanya hivo.
Au shimo refu au nikiwa juu daraja au kitu chochote bacho ni hatari? Hili ni tatizo la aina gani na linaishaje?
Nte.Duh pole sana Ila tafuta Kiongozi wako wa dini atakusaidia Ila kuna roho ya mauti inakunyemelea ,aidha uliwai kujitamkia kujiondoa uhai au uliwai kuwaza kutamani kufa kuliko kuishi, hivyo unaitaji msaada wa kiroho kuondoka katika hiyo Hali
Angalia Afya yako ya Akili iko shida mahaliHii hali maranyingi hunitokea nikiwa navuka bara bara nikaona gari linakuja kwa kasi kuna sauti inanijia nijitupe humo linipitie.
Kuna wakati inanibidi nirudi nyuma kabisa ili kuishinda hii sauti inayo niamuru kufanya hivo.
Au shimo refu au nikiwa juu daraja au kitu chochote bacho ni hatari? Hili ni tatizo la aina gani na linaishaje?
Pamoja na kwamba kujiua ni dhambi kidini , lakini hata katika Mila nyingi za kiafrika tukio la mtu kijiua huchukuliwa kama nuksi na balaa lililoingia katika ukoo au eneo alilokuwa akiishi marrhemu.Hii hali maranyingi hunitokea nikiwa navuka bara bara nikaona gari linakuja kwa kasi kuna sauti inanijia nijitupe humo linipitie.
Kuna wakati inanibidi nirudi nyuma kabisa ili kuishinda hii sauti inayo niamuru kufanya hivo.
Au shimo refu au nikiwa juu daraja au kitu chochote bacho ni hatari? Hili ni tatizo la aina gani na linaishaje?
Afya akili hiyo wahiHii hali maranyingi hunitokea nikiwa navuka bara bara nikaona gari linakuja kwa kasi kuna sauti inanijia nijitupe humo linipitie.
Kuna wakati inanibidi nirudi nyuma kabisa ili kuishinda hii sauti inayo niamuru kufanya hivo.
Au shimo refu au nikiwa juu daraja au kitu chochote bacho ni hatari? Hili ni tatizo la aina gani na linaishaje?
Usiseme hivyoJitupie mkuu
JF imekua na Vijana wa hovyo sanaKaa mbali na ganja
AmenRoho ya mauti inakuandama...
Omba Toba na Rehema kwanza ujitakase alafu omba uondolewe na hiyo Roho...
NB: Ukizembea utakufa kweli
Hizi mambo ni ngumu sana, tuko kwenye Bus muda huu, Kuna binti kavaa hijab kapandia Msamvu Moro, akasema anashukia Chalinze, hajashuka anaulizwa hajielewi, kafikaje? Hajui, anaenda wapi? Hajui anasema ni mwanafunzi wa Chuo Cha Kiislam Moro.Hii hali maranyingi hunitokea nikiwa navuka bara bara nikaona gari linakuja kwa kasi kuna sauti inanijia nijitupe humo linipitie.
Kuna wakati inanibidi nirudi nyuma kabisa ili kuishinda hii sauti inayo niamuru kufanya hivo.
Au shimo refu au nikiwa juu daraja au kitu chochote bacho ni hatari? Hili ni tatizo la aina gani na linaishaje?