Kila nikipanda gari nalala fofofo, nawezaje kumaliza tatizo hili?

Kila nikipanda gari nalala fofofo, nawezaje kumaliza tatizo hili?


Hii shida ninayo sana ya usingizi ulioptiliza.

Kila nikipanda gari, daladala hata safari fupi lazima nilale fofofoo. Shida hii imepelekea kupitilizwa vituo sometimes.

Je, hili tatizo dawa yake nini?
Hilo sio tatizo ni dawa ya stress, kwasabb nyumbani hulali panawaka moto.

Kwahiyo kitulizo cha stress zako ni kupanda daladala ili utulize stress kwa usingiz tulivu na murua. Ongeza juhudi hiyo doz inaponya kabisa.

Epuka kukaa mazingira yanayokupa stress kwa muda mrefu
 

Hii shida ninayo sana ya usingizi ulioptiliza.

Kila nikipanda gari, daladala hata safari fupi lazima nilale fofofoo. Shida hii imepelekea kupitilizwa vituo sometimes.

Je, hili tatizo dawa yake nini?
Ubongo wako ushaupelekea huko,sio wewe tu mm mwenyewe nikawa na kasumba hiyo yaan nilichokuwa nafanya kwanza nikachagua kusimama harafu baada ya kuona nimepamudu nikaanza kutafuta siti nako sikutaka kuji achia kabisa.

Ubongo wako utavyouweka ndivyo utakavyofanya, mwingine unashangaa ukiingia ofisini tu unasinzia, mwingine kama kazoea kujisaidia kwenye machupa utajikuta upo nyumban mkojo huusikii, ila unatoka tu hatua kadhaa mkojo huo.

NB:HAKUNA DAWA PAMBANA HIVYOHIVYO UTAJIKOMBOA.
 
Mzunguko wako wa damu hauko sawa. Hewa pia haifiki kwenye ubongo vizuri.

Ushauri.

1. Fanya mazoezi mepesi .
2. Lala masaa nane.
3. Punguza kuwaza juu ya uwezo wako. Maisha ni mafupi. Hata kama unadaiwa chukulia kawaida tu.
Boss hivi ukiwa unadaiwa na mdeni mwenyewe ni msumbufu
huo muda wa kulala fofofo unaupata wapi?
Na sio ajabu hata ukisinzia kidogo tu unajikuta unamuota anakukimbiza na marungu.
 

Hii shida ninayo sana ya usingizi ulioptiliza.

Kila nikipanda gari, daladala hata safari fupi lazima nilale fofofoo. Shida hii imepelekea kupitilizwa vituo sometimes.

Je, hili tatizo dawa yake nini?
Mi ilikua ikinikuta nikiwa O level, nikiwa xul misele mingi, nkirud home kazi za kutosha, mpira , na Xul Kila week test..... nilikua nasinzia kwenye daladala vibaya mno uzuri makonda au madereva wengi wanjia ya hom walikua wakinijua, nkifika kituo Cha home wananistua.....

Nazan ni mchoko na usingizi TU, ama mda mwingine magumu ya kimaisha yanachosha akili.....

Sent from my Pixel 6 using JamiiForums mobile app
 
Piga usingizi boss, maisha mafupi, kambi popote.

Kutoka kulala juu ya mawe mpaka kwenye Basi haya si maendeleo.

Jiwe afe

Mkuu[emoji3][emoji3][emoji23]Hii comment yako naitunza kwa tafiti
 

Hii shida ninayo sana ya usingizi ulioptiliza.

Kila nikipanda gari, daladala hata safari fupi lazima nilale fofofoo. Shida hii imepelekea kupitilizwa vituo sometimes.

Je, hili tatizo dawa yake nini?
Siku ukikuta umeibiwa kila kitu hadi viatu utaanza kulala muda wa kulala na muda mwingine mambo mengine
 
Si kitandani Mzee..au Hauna kitanda!?

mkuu Wakat unatoka kazini kwenda nyumbani unapanda daladala kitanda unakitoa wap ? unalala kwanza kazini ndo upande dalala urudi nyumbani?

nitofaut ukitoka nyumban kwenda kazin hapo unaweza lala kwanza
 
Back
Top Bottom