Kama hujawahi kumuona mtu mwenye tatizo au ugonjwa kama huo unaweza ukasema chai.Chai
Ila mimi ninamtu namjua akikaa sehemu amatulia dakika tano anakoroma kabisa.
Yaani mfano akitoka mbezi kapanda gari za mlandizi bila kumwambia konda kituo anacho shuka atakuja kuamshwa akiwa mlandizi.