Hilo sio tatizo ni dawa ya stress, kwasabb nyumbani hulali panawaka moto.
Hii shida ninayo sana ya usingizi ulioptiliza.
Kila nikipanda gari, daladala hata safari fupi lazima nilale fofofoo. Shida hii imepelekea kupitilizwa vituo sometimes.
Je, hili tatizo dawa yake nini?
Lala vya kutosha kabla ya safari...
Ubongo wako ushaupelekea huko,sio wewe tu mm mwenyewe nikawa na kasumba hiyo yaan nilichokuwa nafanya kwanza nikachagua kusimama harafu baada ya kuona nimepamudu nikaanza kutafuta siti nako sikutaka kuji achia kabisa.
Hii shida ninayo sana ya usingizi ulioptiliza.
Kila nikipanda gari, daladala hata safari fupi lazima nilale fofofoo. Shida hii imepelekea kupitilizwa vituo sometimes.
Je, hili tatizo dawa yake nini?
Boss hivi ukiwa unadaiwa na mdeni mwenyewe ni msumbufuMzunguko wako wa damu hauko sawa. Hewa pia haifiki kwenye ubongo vizuri.
Ushauri.
1. Fanya mazoezi mepesi .
2. Lala masaa nane.
3. Punguza kuwaza juu ya uwezo wako. Maisha ni mafupi. Hata kama unadaiwa chukulia kawaida tu.
Mi ilikua ikinikuta nikiwa O level, nikiwa xul misele mingi, nkirud home kazi za kutosha, mpira , na Xul Kila week test..... nilikua nasinzia kwenye daladala vibaya mno uzuri makonda au madereva wengi wanjia ya hom walikua wakinijua, nkifika kituo Cha home wananistua.....
Hii shida ninayo sana ya usingizi ulioptiliza.
Kila nikipanda gari, daladala hata safari fupi lazima nilale fofofoo. Shida hii imepelekea kupitilizwa vituo sometimes.
Je, hili tatizo dawa yake nini?
Piga usingizi boss, maisha mafupi, kambi popote.
Kutoka kulala juu ya mawe mpaka kwenye Basi haya si maendeleo.
Jiwe afe
Unalala saa ngap na unaamka saa ngapi
arushaSasa jamaa anapatia wapi huo mkia
Unakopa wasio jua kudai.Boss hivi ukiwa unadaiwa na mdeni mwenyewe ni msumbufu
huo muda wa kulala fofofo unaupata wapi?
Na sio ajabu hata ukisinzia kidogo tu unajikuta unamuota anakukimbiza na marungu.
Siku ukikuta umeibiwa kila kitu hadi viatu utaanza kulala muda wa kulala na muda mwingine mambo mengine
Hii shida ninayo sana ya usingizi ulioptiliza.
Kila nikipanda gari, daladala hata safari fupi lazima nilale fofofoo. Shida hii imepelekea kupitilizwa vituo sometimes.
Je, hili tatizo dawa yake nini?
Wakati mwingine uwe unatembea. Inakuwaje hata safari fupi unapanda daladala?
Hii shida ninayo sana ya usingizi ulioptiliza.
Kila nikipanda gari, daladala hata safari fupi lazima nilale fofofoo. Shida hii imepelekea kupitilizwa vituo sometimes.
Je, hili tatizo dawa yake nini?
Siku nyingine mwambie konda uwapo sfarini akupangie siti moja na pisi kali .
Hii shida ninayo sana ya usingizi ulioptiliza.
Kila nikipanda gari, daladala hata safari fupi lazima nilale fofofoo. Shida hii imepelekea kupitilizwa vituo sometimes.
Je, hili tatizo dawa yake nini?
Si kitandani Mzee..au Hauna kitanda!?mfano nikitoka kazini narudi nyumban nalala wap
Si kitandani Mzee..au Hauna kitanda!?