Kila nikirejea kuangalia Mechi za AS Vita Club dhidi ya Al Ahly kule Misri na Kwao Congo DR napatwa na uwoga kwa Mkapa Jumamosi

Kila nikirejea kuangalia Mechi za AS Vita Club dhidi ya Al Ahly kule Misri na Kwao Congo DR napatwa na uwoga kwa Mkapa Jumamosi

Kwa Mpira ule mkubwa wanaoucheza AS Vita Club ambao hata Waarabu wenyewe na Mabingwa Afrika Al Ahly wamekiri kupata nao Taabu nimeamini kuwa nje ya Kucheza Mpira mwingi lakini hata Bahati nayo ina nafasi Kubwa mno katika Mafanikio (Ushindi) wa Mchezo wa Soka (Kabumbu) duniani.

Hofu yangu Kubwa tu ni kwamba kwa sasa Watanzania bado tupo katika Kipindi cha Maombolezo (Majonzi) ya Kufiwa na Hayati Mpendwa Rais wetu Dkt. Magufuli hivyo huenda Wapenzi wa Soka Tanzania na hasa wa Klabu ya Simba tusipojiandaa Kikamilifu kuwakabili AS Vita Club basi baada ya tarehe 3 April, 2021 tukawa na 'Double Majonzi' ya Kufiwa na Kiongozi na pia Kutotinga Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika.

Naiamini Klabu yangu ya Simba SC tena kwa 100% Ila kwa Mpira mwingi walionao AS Vita Club tukiwafunga au hata tu kutoka nao Sare ya Suluhu (bila bila) au Pacha (ya Magoli) hatimaye tukafuzu rasmi Robo Fainali Klabu Bingwa Afrika nitaomba Serikali ya Tanzania itoe Tamko la kuwa na Public Holiday nchini.

Moyo wangu una Wasiwasi mwingi sana.
Bwana Bwana, Nyie mlishasema Kwamba ""KWA MKAPA HATOKI MTU"" Asa wasi² Wa Nini mkuu All - Rounder
 
Kwa Mpira ule mkubwa wanaoucheza AS Vita Club ambao hata Waarabu wenyewe na Mabingwa Afrika Al Ahly wamekiri kupata nao Taabu nimeamini kuwa nje ya Kucheza Mpira mwingi lakini hata Bahati nayo ina nafasi Kubwa mno katika Mafanikio (Ushindi) wa Mchezo wa Soka (Kabumbu) duniani.

Hofu yangu Kubwa tu ni kwamba kwa sasa Watanzania bado tupo katika Kipindi cha Maombolezo (Majonzi) ya Kufiwa na Hayati Mpendwa Rais wetu Dkt. Magufuli hivyo huenda Wapenzi wa Soka Tanzania na hasa wa Klabu ya Simba tusipojiandaa Kikamilifu kuwakabili AS Vita Club basi baada ya tarehe 3 April, 2021 tukawa na 'Double Majonzi' ya Kufiwa na Kiongozi na pia Kutotinga Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika.

Naiamini Klabu yangu ya Simba SC tena kwa 100% Ila kwa Mpira mwingi walionao AS Vita Club tukiwafunga au hata tu kutoka nao Sare ya Suluhu (bila bila) au Pacha (ya Magoli) hatimaye tukafuzu rasmi Robo Fainali Klabu Bingwa Afrika nitaomba Serikali ya Tanzania itoe Tamko la kuwa na Public Holiday nchini.

Moyo wangu una Wasiwasi mwingi sana.
Nani asiyejua kuwa wewe ni utopolo damu damu? Inakuuma Sana kuona mafanikio ya simba!!
 
Hii mechi sioni simba kama atashinda ata kama ni kwa mkapa sijui kwa magufuli trust me simba anakufa bao tatu bila ubishi
Tukutane hapa baada ya tarehe 3
Pole!! Mara zote zote hujawahi kusema simba atashinda na Mara zote simba hushinda hapa Mkapa Stadium!! Kama inakuuma hamna jinsi itabidi uzoee tu!!
 
Hii mechi sioni simba kama atashinda ata kama ni kwa mkapa sijui kwa magufuli trust me simba anakufa bao tatu bila ubishi
Tukutane hapa baada ya tarehe 3
Ok Simba hatoshinda inawahusu nini?? Nyie mmeshinda nenda kwenye robo si mnajua mpira na kucheza? Simba akishindwa nyie mnapapungukiwa nn? Mshukuruni kwa kuwa mshakuwa na uhakika wa kucheza klabu bingwa mwakani ndo maana mna nyodo sasa hivi eti!! Uchawi wenu kwa Simba ndio ushindi wa Simba hebu fuatilia ni timu gani pinzani mmeshabikia ikaifunga Simba?? Endelea hivyo Ila msije kimbia huu uzi😃😃😃😃😃
 
Ok Simba hatoshinda inawahusu nini?? Nyie mmeshinda nenda kwenye robo si mnajua mpira na kucheza? Simba akishindwa nyie mnapapungukiwa nn? Mshukuruni kwa kuwa mshakuwa na uhakika wa kucheza klabu bingwa mwakani ndo maana mna nyodo sasa hivi eti!! Uchawi wenu kwa Simba ndio ushindi wa Simba hebu fuatilia ni timu gani pinzani mmeshabikia ikaifunga Simba?? Endelea hivyo Ila msije kimbia huu uzi[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Utopolo wana akili mbovu Sana,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vita hakucheza mpira wowote mkubwa pale misrii al ahly alikosa magoli mengi ya wazi pengine ubovu wa yule striker aitwaye bwalya maana alipata chance nyingi za wazi na alikosa zote

Lakini pia kipa wa vita alikuwa imara sana siku ile

Ndo maana vita alikufa kwake 3 bilaa na hao al ahly

Vita wala hatishi ni team ya kawaida tuuu hata akipata matokeo bado haiondoi kuwa yy ni wakawaida na huo ndo mwisho wake

Sent from my X-TIGI_V13 using JamiiForums mobile app
Vita ndiyo kwanza wanasuka kikosi Chao upya baada ya kile cha kina Ngoma, Jean Makusu Mundele, Tuisila Kisinda, Khazadi Kasengu, Lukong na wengineo hivyo hawana kikosi che uelewano mzuri uwanjani.

Probably next season watakuwa hatari zaidi.

Kumbukumbu zinaonyesha vita kwa muda mrefu sana hawajawahi kuvuka hatua ya makundi kwenye champions League zaidi ya kuishia nafasi ya tatu tu.
 
Kwa Mpira ule mkubwa wanaoucheza AS Vita Club ambao hata Waarabu wenyewe na Mabingwa Afrika Al Ahly wamekiri kupata nao Taabu nimeamini kuwa nje ya Kucheza Mpira mwingi lakini hata Bahati nayo ina nafasi Kubwa mno katika Mafanikio (Ushindi) wa Mchezo wa Soka (Kabumbu) duniani.

Hofu yangu Kubwa tu ni kwamba kwa sasa Watanzania bado tupo katika Kipindi cha Maombolezo (Majonzi) ya Kufiwa na Hayati Mpendwa Rais wetu Dkt. Magufuli hivyo huenda Wapenzi wa Soka Tanzania na hasa wa Klabu ya Simba tusipojiandaa Kikamilifu kuwakabili AS Vita Club basi baada ya tarehe 3 April, 2021 tukawa na 'Double Majonzi' ya Kufiwa na Kiongozi na pia Kutotinga Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika.

Naiamini Klabu yangu ya Simba SC tena kwa 100% Ila kwa Mpira mwingi walionao AS Vita Club tukiwafunga au hata tu kutoka nao Sare ya Suluhu (bila bila) au Pacha (ya Magoli) hatimaye tukafuzu rasmi Robo Fainali Klabu Bingwa Afrika nitaomba Serikali ya Tanzania itoe Tamko la kuwa na Public Holiday nchini.

Moyo wangu una Wasiwasi mwingi sana.
Acha woga
 
Vita ndiyo kwanza wanasuka kikosi Chao upya baada ya kile cha kina Ngoma, Jean Makusu Mundele, Tuisila Kisinda, Khazadi Kasengu, Lukong na wengineo hivyo hawana kikosi che uelewano mzuri uwanjani.

Probably next season watakuwa hatari zaidi.

Kumbukumbu zinaonyesha vita kwa muda mrefu sana hawajawahi kuvuka hatua ya makundi kwenye champions League zaidi ya kuishia nafasi ya tatu tu.
Boss,

Aya ya mwisho iko vizuri ni kweli As Vita hajawahi kwenda hatua za mtoano hivi karibuni. 2017, 2018, 2019, 2020 wameangukia pua.

As Vita hawana kikosi imara siyo? Hao akina Makusu, Ngoma wameisaidia kitu gani kwenye timu??

Na Tuisila ni mchezaji wa kutumainiwa?

NB: SIMBA NI MIONGONI MWA TIMU TISHIO BARANI AFRIKA.
 
Back
Top Bottom