mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Si nilisema? Mtoa uzi keshatoroks tayari na kutelekeza uzi wake!! Kina All-Rounder, Senzo, na utopolo et Al huwezi kuwaona tena jukwaani!! Kina Generalist hata ukiwaitia pesa hawawezi kusogea hapa, si kwa aibu hiyo!!Kama kawaida yake kila baada ya mechi ya simba huyu utopolo eti all rounder huwa anazikimbia nyuzi zake maana si kwa aibu zile!!
Hata jumamosi hii hutamwona All Rounder baada ya mechi!!