Unajua we unashangaza sana , sasa kumuona huyo Inonga ndo nini?? Ukishamuona huyO Inonga ndo unashiba ???
hAta Mayele si mlisema hivo hivo ??? Eti , wala haitwi timu ya Taifa ?? Hatimae akawa mfungaji bora Africa, akiwa Yanga !!!
Leo umekuja na Nzegeli !!!! Basi kwa taarifa yako mechi zijazo utamuona ! Na uzi huu utunze kama kumbukumbu makolo mkubwa wewe !!!