sina uhakika kwa hayo unayosema,maana yalikuwa mambo ya kizamani sana sikuhizi msichana hamkatai mtu bw hatakama ni mlemavu,ninacho hisi hapa ni kwamba wewe unajisifia wewe ni mzuri!
hahahahaha lol Jinsi ulivyoandika
ni kama unataka kusema we ni mzuri saaanaa
hadi wasichana wanaogopa utawaacha mmmhhh
haya bwana..
kwanza umesha kosea kumita "DEMU"
msichana unayempenda na uko serious naye ..
Pili labda njia yako ya kutongoza ni ya maringo
au hujui kutongoza kama kila msichana nakukataa..
Sipendi avatar yako inadhalilisha watoto, kama unapenda watoto itoe Mungu atakusameheWe mr handsome nini? Maana wengi wenu hamjatulia!!
Weeeeeee! handsome ana muda wa kutongoza?? wanakuja wenyeweWe mr handsome nini? Maana wengi wenu hamjatulia!!
Udhalilishaji mwingine huu hapaduh! inaonokena wewe una presha nao knoma bila kujua mambo haya yanaenda taratibu, kuna uewezekano ushagonganisha na watu wakajuana, so ka notion nikalekale cku zote, chek out process yako kaka utapata jibu, cku hzi demu kupata ni easy wewe tu.
Labda wewe ni mkweli sana, weka na mausanii kidogo. We siyo mutoto wa mujini nini???
Ahahahaaa hivi kuna kuandaa mistari kabla ya kunyuka tongozo? I dont remember the last time nilinyuka tongozo japo kila siku sikukuu.Weka script ya tongozo zako hapa nizipitie ili kujua tatizo liko wapi.
hahahahaha lol jinsi ulivyoandika
ni kama unataka kusema we ni mzuri saaanaa
hadi wasichana wanaogopa utawaacha mmmhhh
haya bwana..
Kwanza umesha kosea kumita "demu"
msichana unayempenda na uko serious naye ..
Pili labda njia yako ya kutongoza ni ya maringo
au hujui kutongoza kama kila msichana nakukataa..