Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
sina uhakika kwa hayo unayosema,maana yalikuwa mambo ya kizamani sana sikuhizi msichana hamkatai mtu bw hatakama ni mlemavu,ninacho hisi hapa ni kwamba wewe unajisifia wewe ni mzuri!
HUHHH??Wasichana gani hao wasiokataa mtu?Labda unaishi kwenye danguro wewe!