DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
To be honest
Mpaka Muda huu kuhusu maswala ya ndoa nakwama Sehemu moja
Kuzaa mtoto then asome katika Dumu fagio hapo tu.
NB Mimi najifunza kwa walio-fanikiwa tu
Dumu fagio ni hatari kwa kijana Mwenye uelewa sio tu anazalisha Bali anawaza future ya mtoto wake.
Madarasa ya Dumu fagio machafu hatari + tabia mbaya mbaya.
That why hata watoto wa Viongozi wetu hawawapeleki huko Dumu fagio.
Mpaka Muda huu kuhusu maswala ya ndoa nakwama Sehemu moja
Kuzaa mtoto then asome katika Dumu fagio hapo tu.
NB Mimi najifunza kwa walio-fanikiwa tu
Dumu fagio ni hatari kwa kijana Mwenye uelewa sio tu anazalisha Bali anawaza future ya mtoto wake.
Madarasa ya Dumu fagio machafu hatari + tabia mbaya mbaya.
That why hata watoto wa Viongozi wetu hawawapeleki huko Dumu fagio.