Kila ninayemtogoza ananikataa, nifanye nini?

Real Mzee
 
Tafuta pesa kwanza ndugu yangu . Utapata wanawake wa kila aina
 
Nishafanyaga hiyo mission kitaa hakukalika kila mtu jicho kwangu Eti Siku hizi Nachapa Lapa [emoji39]
 
Nishafanyaga hiyo mission kitaa hakukalika kila mtu jicho kwangu Eti Siku hizi Nachapa Lapa [emoji39]
 
Nishafanyaga hiyo mission kitaa hakukalika kila mtu jicho kwangu Eti Siku hizi Nachapa Lapa [emoji39]
Ukiwa hb huna haja ya kutupia sana coz sura inakubeba. Ila kwa watu km ww ambao kidg mna sura personal ili utoboe ni lazma utupie hasa, uhonge sana na hata kuroga. Ila cc wengin tunavaa rough tu, atuna ela na tunawakokota sana tu
 
Uko wapi brother? Tafuta pesa ng'oa demu mmoja wengine watajilengesha wenyewe. Wanawake hawampendagi mtu ambaye hana demu.
Shida kumbe ni pesa? Ila ukiwa hb kama mm inakua huana haja ya kuvaa upendeze, sijui nini yaan unavaa hata ndala tu na unamtupia voko demu yeyote na hachomoi, ila kwa watu wenye sura personal kam ww ni lazm utupie pamba kali hasa na uwe na ela pia
 
Tafuta pesa kwanza ndugu yangu . Utapata wanawake wa kila aina
Kama ni hivyo basi pesa yake ndio itapendwa na si yeye, hebu toa ushauri wenye tija, ni bora ukae kimya tu kama huna la MSINGI la kumshauri.
 
Kama ni hivyo basi pesa yake ndio itapendwa na si yeye, hebu toa ushauri wenye tija, ni bora ukae kimya tu kama huna la MSINGI la kumshauri.
We kajamaa unajua kuwa una matatizo?
Rudia replies zako zote utajiona una tatizo gani .inaonekana shuleni ulikuwa unaongoza darasani ee? Au kama ulikuwa huongozi walikuwa wanakuskiliza sana wenzako.
 
Uko sahh kabisa yaan madem wana nama nyng sana za wanaume waliozoeana nao. Sasa mpaka ww mgeni umpate mmmhhh labda utumie nguvu ya ziada mfano pesa
 
We kajamaa unajua kuwa una matatizo?
Rudia replies zako zote utajiona una tatizo gani .inaonekana shuleni ulikuwa unaongoza darasani ee? Au kama ulikuwa huongozi walikuwa wanakuskiliza sana wenzako.
Kwa nini wasema hivyo mkuu?
 
Mbona huyo pichani kaonyesha dalili zote za kukubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…