Kila ninayemtogoza ananikataa, nifanye nini?

Kila ninayemtogoza ananikataa, nifanye nini?

Tatizo wewe unamashart mengi na uache kupenda waliokuzidi viwango
 
Hahahahaha

Hao mademu wa wapi?
Hapa hapa dsm ,Kwanza dsm hakuna demu wa kutongoza akakukatalia ,labda uwe Domo zege tu...

Demu namnunulia big boom ya Mia mbili ,cheni ya buku manzese ,bikin ya buku ya maua ....namfungia kwenye box ,namuita ninazawadi yako ...


Mademu wakisikia zawadi ,hawakatai ,namshushia na chpsi yai .,baada ya hapo ni mpaka getoooo
 
Shukuru sana kukataliwa na watunza vipochi.
Shukuru sana
Nyota ya chips mbaya sana.
Wengine tunapendwa na mademu wa ofisi mzima mpaka kero.
 
Hapa hapa dsm ,Kwanza dsm hakuna demu wa kutongoza akakukatalia ,labda uwe Domo zege tu...

Demu namnunulia big boom ya Mia mbili ,cheni ya buku manzese ,bikin ya buku ya maua ....namfungia kwenye box ,namuita ninazawadi yako ...


Mademu wakisikia zawadi ,hawakatai ,namshushia na chpsi yai .,baada ya hapo ni mpaka getoooo
Ahaaaahaaahaaa

Jus haahaa

Umenichekesha sana mkuu
 
Labda unatumia same strategy afu mtaa huo huo.

Siku hizi wadada wamekuwa na mbinu eti na wao wanahadisiana.

Unakuta kabisa Dinazarde anamhadisia Hornet afu huna maajabu mbinu ile ile waje wakutane saluni wamhadisie na cariha humo na yeye amuambie Mzigua90 hapo lazima ule wa chuya.

Hebu jiweke msafi nukia tembea kiume kwa kujitanua kidogo then nenda mtaa wa mbali huko njoo na pisi kali uwarushe roho kidogo.

🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🙊🙊🙊
 
Tatizo lako ni kubwa sana ila linasababishwa na jambo dogo sana.
 
Tatizo lako ni kubwa sana ila linasababishwa na jambo dogo sana.
Jambo gani hilo mkuu? Sema wapone wengi, huyu ni miongoni mwa wengi ambao wamejificha wakiona aibu kueleza shida hii hadharani!
 
Labda unatumia same strategy afu mtaa huo huo.

Siku hizi wadada wamekuwa na mbinu eti na wao wanahadisiana.

Unakuta kabisa Dinazarde anamhadisia Hornet afu huna maajabu mbinu ile ile waje wakutane saluni wamhadisie na cariha humo na yeye amuambie Mzigua90 hapo lazima ule wa chuya.

Hebu jiweke msafi nukia tembea kiume kwa kujitanua kidogo then nenda mtaa wa mbali huko njoo na pisi kali uwarushe roho kidogo.

🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🙊🙊🙊
Hehehe kusimuliana lazima maana na wao wanatusimulia sana ajipange tu
 
Back
Top Bottom