Kila ninayemtogoza ananikataa, nifanye nini?

huna pesa na hatunzi siri za mtaani......fanyia kazi utanishukuru
 
Ukitaka kupima busara kwenye kundi la watu na kufahamu their 'their true colors', waambie shit. Katika kundi kubwa la watu kwenye thread hii nimeona una busara mno, wewe ni mama bora ikiwa una mtoto, kama umeolewa wewe ni mke bora. Nimekupima tangu siku ya 1 naona 'quote' yako, hukujibu 'shit' japo nilikuambia 'shit', sisemi mengi.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mkuu kuna mambo matatu hayapo sawa kwako ndio maana unakataliwa.
1. Huna hela za kuwashawishi
2. Sura yako itakuwa haiwavutii
3. Huvai ukapendeza.
* mkuu kama huna hata kimoja hapo huwezi kubaliwa. Maana mwanzo mademu yanakuwaga matahila. Anataka uwe na 1, kama huna basi angalau 2 na hiyo ukikosa uwe na 3. Kama huna vyote utalia sana
 
like serious ni mataahira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…