Kila ninayemvuta kwangu ananikimbia, mkwamo unaanzia wapi wadau?

Kila ninayemvuta kwangu ananikimbia, mkwamo unaanzia wapi wadau?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lazima wakimbie sijui ni yupi kati ya hao ila ww ni
mvulana,
Bishoo,
Nywele ina dawa,
Mmelegea ona vimikono,
Camera 360 filter juu,
Mengine wataongezea wakija
Unauliza ni yupi atakua ni huyo mbinua domo
 
Hebu tazama hao magentlemen hapo chini Pia uone kama unaweza fit hapo ? Na unakosea wap
Screenshot_20191115-182923.jpeg
 
Back
Top Bottom