Kila ninayemvuta kwangu ananikimbia, mkwamo unaanzia wapi wadau?

Kila ninayemvuta kwangu ananikimbia, mkwamo unaanzia wapi wadau?

Man up and look like me!...unatakiwa uwe mwanaume haswa, siyo kukaa kishoga shoga!
Tag%20his%20girlfriend%20abeg%20_joy__joy__arrow_down_%EF%B8%8F_arrow_down_%EF%B8%8F%20-%20Kr...jpeg
 
Write your reply...sema wewe approach zako ndo zinafeli usisikilize mapoyoyo wenzako kama nyinyi wanajaza fuso tena hawa teenage 17-24 sasa wewe unadhani mwanamke 27-na kuendelea hao ambao mileage imesoma watakubali huo muonekano lazima watakuponda kwenye huu Uzi wakishirikiana na Looney single domo zege men



napenda ugomvi kuliko kula we jikute sio mtoa mada vamia comment yangu uone mamaae lazima tuonekane kituko na fake respect uliyojiiekea humu
baada ya kutoka kifungoni nimekuja kishari Shari zaid
 
gh hussa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Samahan mkuu kuku quote ila hii comment imenichekesha inaonekana unatafuta ugomvi na utapigwa ban tena
 
Write your reply...nimesema mtoa mada ndo ani quote ila una bahati jina ndo limekuokoa much respect sana
 
Nanote pembeni shauri zote.. Mwakan nampango wa kumega madem2020 ili niende sawa na mwaka
Unadhani uanaume ni kutembeza bakora tuu?
Nilisahau , ongeza na hii kwenye ule ushauri niliokupa, 'unahitaji somo la maturity ".
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lazima wakimbie sijui ni yupi kati ya hao ila ww ni
mvulana,
Bishoo,
Nywele ina dawa,
Mmelegea ona vimikono,
Camera 360 filter juu,
Mengine wataongezea wakija
Na kuramba ramba midomo khaaa😀😀😀
 
Back
Top Bottom