Kila nyakati na majira yake! Thamani yako itakoma ukitoka kwenye cycle

Kila nyakati na majira yake! Thamani yako itakoma ukitoka kwenye cycle

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Kama kuna la kujifunza wengine wajifunze sasa. Na ni lazima wajilazimishe kutambua ya kwamba kuna kesho. Na kesho ni kubwa kuliko leo

Watoto wa wanasiasa.. Wazazi wenu baadhi mikono yao imejaa damu za watu. Wengine walifika walipofika kwa kuwakandamiza na kuwaumiza wengine.

Watoto wa wanasiasa wa sasa.. Msisahau kuna karma hii kitu haijui neno msamaha unavuna ulichopanda.. Mbaya zaidi matendo ya mzazi huathiri future ya watoto mzazi akiwa hayupo tena dunliani..

Hawa wanaolalama sasa hivi pengine wazazi wao baadhi walikuwa wema lakini kila nyakati zina majira yake.

Niwataje wachache waliojitokeza mbele ya hadhira kutujulisha wanayopitia
  • Mtoto wa marehrmu Deo Filikunjombe
  • Mtoto wa marehemu kapteni John Komba
  • Mtoto wa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mchonga meno rais wa kwanza wa Tanganyika na baba wa Taifa la Tanzania
Pengine malalamiko yao yanaweza kuonekana hayana msingi ila kuna ujumbe mkubwa sana kiroho inapitia kwenye midomo yao.

Wazazi wao walikuwa makada muhimu kwenye chama tawala. Na watu wenye nguvu na umaarufu mkubwa. Lakini Wakati si milele na kesho ni kubwa kuliko leo.

Wao si wa kwanza na wala hawatakuwa wa mwisho.

Watakaosalimika ni watu tu ambao wazazi wao watakuwa na maono ya tafakuri kubwa kwamba
  • Kuna maisha baada ya madaraka
  • Kuna maisha baada ya umaarufu
  • Kuna maisha baada ya siasa vyeo, ukwasi na connection mbalimbali
  • Kuna maisha baada ya kifo kwa wale utakaowaacha duniani uzao wa tumbo lako.
 
Umenikumbusha makala fulani kuhusu wale vigogo wa nazi wa ujerumani waliohukumiwa na mahakama ya nuremberg. Watoto wao wengi ilibidi kuja kuomba msamaha hadharani kujutia matendo ya wazazi wao, lakini it was too late.
 
Karma ni wishful thinking tu...... and if it happens, is merely by chance.

Hivi karma iliyowapata wazungu (Europe) kwa ukoloni na biashara ya watumwa ni ipi? or USA kwa kuugeuka chinja chinja wa dunia?

Au karma has effect on a person, not an entity!?
 
Karma ni wishful thinking tu...... and it is, in any way, if it happens, it is merely by chance.

Hivi karma iliyowapata wazungu (Europe) kwa ukoloni na biashara ya watumwa ni ipi? or USA kwa kuugeuka chinja chinja wa dunia?

Au karma has effect on a person, not an entity!?
USA inawapata karma pia, angalia hayo mavimbunga yanavyowaathiri,ndio malipo yenyewe hayo
 
Karma ni wishful thinking tu...... and it is, in any way, if it happens, it is merely by chance.

Hivi karma iliyowapata wazungu (Europe) kwa ukoloni na biashara ya watumwa ni ipi? or USA kwa kuugeuka chinja chinja wa dunia?

Au karma has effect on a person, not an entity!?
Karma is a spiritual entity.. Haibishaniwi na maneno mepesi ya kukurupuka kama hayo... Nilitegemea ungeuliza mbona watoto wa vigogo wengine hawalalamiki...
 
Karma ni wishful thinking tu...... and it is, in any way, if it happens, it is merely by chance.

Hivi karma iliyowapata wazungu (Europe) kwa ukoloni na biashara ya watumwa ni ipi? or USA kwa kuugeuka chinja chinja wa dunia?

Au karma has effect on a person, not an entity!?

Don't Kidding yourself.

When ur hands are not clean you will pay a debt

You can't sacrifice someone's else life for ur life because there is a karma debt has to be paid.

Kutokujua kitu haimaanishi hakipo .
 
Karma ni wishful thinking tu...... and it is, in any way, if it happens, it is merely by chance.

Hivi karma iliyowapata wazungu na (Europe) kwa ukoloni na biashara ya watumwa ni ipi? or USA kwa kuugeuka chinja chinja wa dunia?

Au karma has effect on a person, not an entity!?
Karma si kitu ambacho ukisimama nje ya nyumba utaiona na kusema karma ileeee!Inayowakuta ndiyo wanaweza kuwa wasimuliaji wazuri.
 
Mkuu mshana juzi uliniombew nipate mdada wa kuendana nae ila yule hapana mkuu.. kumbe alikua ananichora sasa naomba fanya hivi ...

Kwa sasa nataka mtoto black beuty,
Anayejitambua
Ata kama ametumika sio sana
Asiwe mdada wa kujisnap sanaaaa...a

NB jana nilikua KABUKU tanga nimeonana na wajina wako sir mshana... Nikakukumbuka kabisa mkuu..
20240920_100644.jpg
 
Kama kuna la kujifunza wengine wajifunze sasa. Na ni lazima wajilazimishe kutambua ya kwamba kuna kesho. Na kesho ni kubwa kuliko leo

ni uzao wa tumbo lako.


Na Karma hii usifikiri inaenda kwa viongozi wa Serikalini walio madarakani tu bali hufika mpaka kwenye vyama vya upinzani

Kwahiyo tutegemee siku Karma ikafika mpaka kwa familia ya boss wenu Mbowe kwa damu ya Chacha Zakayo Wangwe
 
Karma ni wishful thinking tu...... and it is, in any way, if it happens, it is merely by chance.

Hivi karma iliyowapata wazungu (Europe) kwa ukoloni na biashara ya watumwa ni ipi? or USA kwa kuugeuka chinja chinja wa dunia?

Au karma has effect on a person, not an entity!?
Ebwana eeh finally jf amepatikana great thinker! Well done for applying original thinking. Hizi karma is just an inane way of thinking mostly aimed at consoling ones soul.
 
Kama kuna la kujifunza wengine wajifunze sasa. Na ni lazima wajilazimishe kutambua ya kwamba kuna kesho. Na kesho ni kubwa kuliko leo

Watoto wa wanasiasa.. Wazazi wenu baadhi mikono yao imejaa damu za watu. Wengine walifika walipofika kwa kuwakandamiza na kuwaumiza wengine.

Watoto wa wanasiasa wa sasa.. Msisahau kuna karma hii kitu haijui neno msamaha unavuna ulichopanda.. Mbaya zaidi matendo ya mzazi huathiri future ya watoto mzazi akiwa hayupo tena dunliani..

Hawa wanaolalama sasa hivi pengine wazazi wao baadhi walikuwa wema lakini kila nyakati zina majira yake.

Niwataje wachache waliojitokeza mbele ya hadhira kutujulisha wanayopitia
  • Mtoto wa marehrmu Deo Filikunjombe
  • Mtoto wa marehemu kapteni John Komba
  • Mtoto wa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mchonga meno rais wa kwanza wa Tanganyika na baba wa Taifa la Tanzania
Pengine malalamiko yao yanaweza kuonekana hayana msingi ila kuna ujumbe mkubwa sana kiroho inapitia kwenye midomo yao.

Wazazi wao walikuwa makada muhimu kwenye chama tawala. Na watu wenye nguvu na umaarufu mkubwa. Lakini Wakati si milele na kesho ni kubwa kuliko leo.

Wao si wa kwanza na wala hawatakuwa wa mwisho.

Watakaosalimika ni watu tu ambao wazazi wao watakuwa na maono ya tafakuri kubwa kwamba
  • Kuna maisha baada ya madaraka
  • Kuna maisha baada ya umaarufu
  • Kuna maisha baada ya siasa vyeo, ukwasi na connection mbalimbali
  • Kuna maisha baada ya kifo kwa wale utakaowaacha duniani uzao wa tumbo lako.
Ndio maana familia za hao wakulungwa...hawakosi kuwa na mtoto teja,punga a.k.a shoga au taahira bila kusahau chizi fresh wanapelekwa shule nzuri lakini hamna kitu ku mkichwa.
 
Kama kuna la kujifunza wengine wajifunze sasa. Na ni lazima wajilazimishe kutambua ya kwamba kuna kesho. Na kesho ni kubwa kuliko leo

Watoto wa wanasiasa.. Wazazi wenu baadhi mikono yao imejaa damu za watu. Wengine walifika walipofika kwa kuwakandamiza na kuwaumiza wengine.

Watoto wa wanasiasa wa sasa.. Msisahau kuna karma hii kitu haijui neno msamaha unavuna ulichopanda.. Mbaya zaidi matendo ya mzazi huathiri future ya watoto mzazi akiwa hayupo tena dunliani..

Hawa wanaolalama sasa hivi pengine wazazi wao baadhi walikuwa wema lakini kila nyakati zina majira yake.

Niwataje wachache waliojitokeza mbele ya hadhira kutujulisha wanayopitia
  • Mtoto wa marehrmu Deo Filikunjombe
  • Mtoto wa marehemu kapteni John Komba
  • Mtoto wa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mchonga meno rais wa kwanza wa Tanganyika na baba wa Taifa la Tanzania
Pengine malalamiko yao yanaweza kuonekana hayana msingi ila kuna ujumbe mkubwa sana kiroho inapitia kwenye midomo yao.

Wazazi wao walikuwa makada muhimu kwenye chama tawala. Na watu wenye nguvu na umaarufu mkubwa. Lakini Wakati si milele na kesho ni kubwa kuliko leo.

Wao si wa kwanza na wala hawatakuwa wa mwisho.

Watakaosalimika ni watu tu ambao wazazi wao watakuwa na maono ya tafakuri kubwa kwamba
  • Kuna maisha baada ya madaraka
  • Kuna maisha baada ya umaarufu
  • Kuna maisha baada ya siasa vyeo, ukwasi na connection mbalimbali
  • Kuna maisha baada ya kifo kwa wale utakaowaacha duniani uzao wa tumbo lako.
Mtajuana wenyewe huko mnaotegemea maisha ya siasa na -umaarufu.

Sisi wapambanaji maisha yetu ni ya Kawaida sana ya Kila siku
 
Aisee hebu tu kiswahilishie ....lugha zenu wasomi mtihani 🙂 eti is just an....
Nini?
Mwanawane sii unajua tena ili point ifike vizuri lazima umwage ungenge kidogo 🤣🤣🤣🤣
Hawa jamaa wa karma wanajipa mojo tuu hamna lolote....duniani kuna vitu viwili tuu, maamuzi mazuri na maamuzi mabovu basi.
 
Back
Top Bottom