Kila nyakati na majira yake! Thamani yako itakoma ukitoka kwenye cycle

Kila nyakati na majira yake! Thamani yako itakoma ukitoka kwenye cycle

Kama kuna la kujifunza wengine wajifunze sasa. Na ni lazima wajilazimishe kutambua ya kwamba kuna kesho. Na kesho ni kubwa kuliko leo

Watoto wa wanasiasa.. Wazazi wenu baadhi mikono yao imejaa damu za watu. Wengine walifika walipofika kwa kuwakandamiza na kuwaumiza wengine.

Watoto wa wanasiasa wa sasa.. Msisahau kuna karma hii kitu haijui neno msamaha unavuna ulichopanda.. Mbaya zaidi matendo ya mzazi huathiri future ya watoto mzazi akiwa hayupo tena dunliani..

Hawa wanaolalama sasa hivi pengine wazazi wao baadhi walikuwa wema lakini kila nyakati zina majira yake.

Niwataje wachache waliojitokeza mbele ya hadhira kutujulisha wanayopitia
  • Mtoto wa marehrmu Deo Filikunjombe
  • Mtoto wa marehemu kapteni John Komba
  • Mtoto wa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mchonga meno rais wa kwanza wa Tanganyika na baba wa Taifa la Tanzania
Pengine malalamiko yao yanaweza kuonekana hayana msingi ila kuna ujumbe mkubwa sana kiroho inapitia kwenye midomo yao.

Wazazi wao walikuwa makada muhimu kwenye chama tawala. Na watu wenye nguvu na umaarufu mkubwa. Lakini Wakati si milele na kesho ni kubwa kuliko leo.

Wao si wa kwanza na wala hawatakuwa wa mwisho.

Watakaosalimika ni watu tu ambao wazazi wao watakuwa na maono ya tafakuri kubwa kwamba
  • Kuna maisha baada ya madaraka
  • Kuna maisha baada ya umaarufu
  • Kuna maisha baada ya siasa vyeo, ukwasi na connection mbalimbali
  • Kuna maisha baada ya kifo kwa wale utakaowaacha duniani uzao wa tumbo lako.
hakuna haja ya kubabaika na maisha ya mtu mwingine, eti sijui nani aliishi vipi na aliishia wapi. Hiyo ni Mungu ndie anaejua my friend...

kuishi kwa ushauri, maelekezo au vitisho vya kibinadamu ni sawa na ushirikina tu gentleman..

ile muhimu zaidi na ya maana sana ni kwamba, kila moja wetu aishi aishi maisha yake awezavyo, kadiri ya Neema na Baraka za Mungu..
Umepewa zawadi ya uhai, afya, nguvu na vipawa malimbali, vitumie haswa maana muda unakwenda kwa kasi sana...

ukisoma kwa biblia Ayubu 14:1
Inasema,
"Mwanadamu aliezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi, nae hujaa taabu" 🐒
 
Kama kuna la kujifunza wengine wajifunze sasa. Na ni lazima wajilazimishe kutambua ya kwamba kuna kesho. Na kesho ni kubwa kuliko leo

Watoto wa wanasiasa.. Wazazi wenu baadhi mikono yao imejaa damu za watu. Wengine walifika walipofika kwa kuwakandamiza na kuwaumiza wengine.

Watoto wa wanasiasa wa sasa.. Msisahau kuna karma hii kitu haijui neno msamaha unavuna ulichopanda.. Mbaya zaidi matendo ya mzazi huathiri future ya watoto mzazi akiwa hayupo tena dunliani..

Hawa wanaolalama sasa hivi pengine wazazi wao baadhi walikuwa wema lakini kila nyakati zina majira yake.

Niwataje wachache waliojitokeza mbele ya hadhira kutujulisha wanayopitia
  • Mtoto wa marehrmu Deo Filikunjombe
  • Mtoto wa marehemu kapteni John Komba
  • Mtoto wa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mchonga meno rais wa kwanza wa Tanganyika na baba wa Taifa la Tanzania
Pengine malalamiko yao yanaweza kuonekana hayana msingi ila kuna ujumbe mkubwa sana kiroho inapitia kwenye midomo yao.

Wazazi wao walikuwa makada muhimu kwenye chama tawala. Na watu wenye nguvu na umaarufu mkubwa. Lakini Wakati si milele na kesho ni kubwa kuliko leo.

Wao si wa kwanza na wala hawatakuwa wa mwisho.

Watakaosalimika ni watu tu ambao wazazi wao watakuwa na maono ya tafakuri kubwa kwamba
  • Kuna maisha baada ya madaraka
  • Kuna maisha baada ya umaarufu
  • Kuna maisha baada ya siasa vyeo, ukwasi na connection mbalimbali
  • Kuna maisha baada ya kifo kwa wale utakaowaacha duniani uzao wa tumbo lako.
Well said bro Mshana Jr 👏
 
Na Karma hii usifikiri inaenda kwa viongozi wa Serikalini walio madarakani tu bali hufika mpaka kwenye vyama vya upinzani

Kwahiyo tutegemee siku Karma ikafika mpaka kwa familia ya boss wenu Mbowe kwa damu ya Chacha Zakayo Wangwe
Mmeanza kuweweseka😂
 
hakuna haja ya kubabaika na maisha ya mtu mwingine, eti sijui nani aliishi vipi na aliishia wapi. Hiyo ni Mungu ndie anaejua my friend...

kuishi kwa ushauri, maelekezo au vitisho vya kibinadamu ni sawa na ushirikina tu gentleman..

ile muhimu zaidi na ya maana sana ni kwamba, kila moja wetu aishi aishi maisha yake awezavyo, kadiri ya Neema na Baraka za Mungu..
Umepewa zawadi ya uhai, afya, nguvu na vipawa malimbali, vitumie haswa maana muda unakwenda kwa kasi sana...

ukisoma kwa biblia Ayubu 14:1
Inasema,
"Mwanadamu aliezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi, nae hujaa taabu" 🐒

Mbona mnaogopa na kuwa wakali Sana mnaposikia neno karma?

Karma IPO na inafanya Kazi vizuri na karma haijajikita Katika negative outcome hata positive outcome.
 
Mkuu mshana juzi uliniombew nipate mdada wa kuendana nae ila yule hapana mkuu.. kumbe alikua ananichora sasa naomba fanya hivi ...

Kwa sasa nataka mtoto black beuty,
Anayejitambua
Ata kama ametumika sio sana
Asiwe mdada wa kujisnap sanaaaa...a

NB jana nilikua KABUKU tanga nimeonana na wajina wako sir mshana... Nikakukumbuka kabisa mkuu..
View attachment 3125369
😀😀😀 huyu vp
37b960b4-8bd4-49b3-9989-b5f462999580.jpeg
 
Mbona mnaogopa na kuwa wakali Sana mnaposikia neno karma?

Karma IPO na inafanya Kazi vizuri na karma haijajikita Katika negative outcome hata positive outcome.
sifahamu hata hiyo kitu ni nini kwanza ngoja ni gugo kwanza 🤣

na binafsi,
siwezi ishi maisha eti ya baba, mama au ya ndugu yangu, never !

wao wana maisha na changamoto zao, nami na maisha yangu na changamoto zangu kwenye mazingira na majira tofauti kabisa....

wao walikua walimu,
mimi mwanasiasa, wapi na wapi sasa 🐒
 
hakuna haja ya kubabaika na maisha ya mtu mwingine, eti sijui nani aliishi vipi na aliishia wapi. Hiyo ni Mungu ndie anaejua my friend...

kuishi kwa ushauri, maelekezo au vitisho vya kibinadamu ni sawa na ushirikina tu gentleman..

ile muhimu zaidi na ya maana sana ni kwamba, kila moja wetu aishi aishi maisha yake awezavyo, kadiri ya Neema na Baraka za Mungu..
Umepewa zawadi ya uhai, afya, nguvu na vipawa malimbali, vitumie haswa maana muda unakwenda kwa kasi sana...

ukisoma kwa biblia Ayubu 14:1
Inasema,
"Mwanadamu aliezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi, nae hujaa taabu" 🐒
Kumbe na wewe unasoma Biblia? Mbona sasa haijakusaidia kitu? Ama Kazi yako ni kunukuu vifungu tuu?
 
Umenikumbusha stori ya marehemu mwalimu Kazibure( mkali wa physics) awali alikuwa ni mhandisi wa mitambo RTD( Radio Tanzania).

Eng. Kazibure alikuwa fundi mitambo RTD wakati huo Nyerere akiwa Raisi alikuwa na ziara ya ambayo haikutarajiwa, inasemekana kulikuwa na vipindi maalumu RTD basi ikatakiwa RTD irushe live matangazo ya ziara ya kushtukiza ya Raisi. Kwa kuwa haikuwa katika ratiba Eng. Kazibure akachomoa kufuata maelekezo kwa mantiki kuwa ziara zilitakuwa zipangwe na ziwe kwenye ratiba. Nyerere alipopata taarifa nasikia alimfukuza Kazibure kazi RTD na kuzuia asisafiri nje ya nchi na alinyanganywa vyeti vyake na passport ya kusafiria.

Mzee Kazibure alisononeka sana na baadae ilibidi awe mwalimu wa shule ya sekondari ili aweze kuilisha na kuhudumia familia yake.

Licha ya kuwa anaitwa baba wa Taifa ila upande mwingine wa shilingi Nyerere alikuwa na mapungufu na aliwaumiza sana walikuwa na mitazamo tofauti na yeye.
 
Kumbe na wewe unasoma Biblia? Mbona sasa haijakusaidia kitu? Ama Kazi yako ni kunukuu vifungu tuu?
sasa hiyo ya kusema sijui nani aliishi vipi na aliishia wapi nyakati hizo, si ni kunukuu mambo ambayo hayawezi kusaidia chochote kwenye maisha ya nyakati hizi ambazo mwendo wa maisha ni mpela mpela, ili angalau kuishi ipasavyo katika siku za kuishi kwa mwanadamu aliezaliwa na mwanamke ambazo si nyingi?

hakua haja kupoteza muda na kubabaika na story na porojo za pata potea...

Neema na Baraka za Mungu zimsaidia kila moja aishi kadiri ya mapenzi ya Mungu, sio kadiri ya nani na nani sijui huko waliishi vip nyakati hizo. Maisha ndiyo haya ishi uwezavyo kwa uwezo wa Mungu 🐒
 
Kama kuna la kujifunza wengine wajifunze sasa. Na ni lazima wajilazimishe kutambua ya kwamba kuna kesho. Na kesho ni kubwa kuliko leo

Watoto wa wanasiasa.. Wazazi wenu baadhi mikono yao imejaa damu za watu. Wengine walifika walipofika kwa kuwakandamiza na kuwaumiza wengine.

Watoto wa wanasiasa wa sasa.. Msisahau kuna karma hii kitu haijui neno msamaha unavuna ulichopanda.. Mbaya zaidi matendo ya mzazi huathiri future ya watoto mzazi akiwa hayupo tena dunliani..

Hawa wanaolalama sasa hivi pengine wazazi wao baadhi walikuwa wema lakini kila nyakati zina majira yake.

Niwataje wachache waliojitokeza mbele ya hadhira kutujulisha wanayopitia
  • Mtoto wa marehrmu Deo Filikunjombe
  • Mtoto wa marehemu kapteni John Komba
  • Mtoto wa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mchonga meno rais wa kwanza wa Tanganyika na baba wa Taifa la Tanzania
Pengine malalamiko yao yanaweza kuonekana hayana msingi ila kuna ujumbe mkubwa sana kiroho inapitia kwenye midomo yao.

Wazazi wao walikuwa makada muhimu kwenye chama tawala. Na watu wenye nguvu na umaarufu mkubwa. Lakini Wakati si milele na kesho ni kubwa kuliko leo.

Wao si wa kwanza na wala hawatakuwa wa mwisho.

Watakaosalimika ni watu tu ambao wazazi wao watakuwa na maono ya tafakuri kubwa kwamba
  • Kuna maisha baada ya madaraka
  • Kuna maisha baada ya umaarufu
  • Kuna maisha baada ya siasa vyeo, ukwasi na connection mbalimbali
  • Kuna maisha baada ya kifo kwa wale utakaowaacha duniani uzao wa tumbo lako.
Unazungumziaje wale kutwa kutukana wenzao na kutweza utu labda wameanza kulipia kabla hawajafa au tusubiri tuone karma za vizazi vyao au wao wanalipia ya wazazi wao waliyoyatenda huko nyuma maana wauji sio lazima wawe serikalini mfano wengine ni majambazi ni wauaji wengine waligonga watu kwa makusudi bado ni wauaji walipanga mipango ya kuua wenzao kwa kutaka vyeo je hao karma haiwahusu tena ni wengi kuliko walio serikalini kutoka chama kileeeeee!
 
Umenikumbusha stori ya marehemu mwalimu Kazibure( mkali wa physics) awali alikuwa ni mhandisi wa mitambo RTD( Radio Tanzania).

Eng. Kazibure alikuwa fundi mitambo RTD wakati huo Nyerere akiwa Raisi alikuwa na ziara ya ambayo haikutarajiwa, inasemekana kulikuwa na vipindi maalumu RTD basi ikatakiwa RTD irushe live matangazo ya ziara ya kushtukiza ya Raisi. Kwa kuwa haikuwa katika ratiba Eng. Kazibure akachomoa kufuata maelekezo kwa mantiki kuwa ziara zilitakuwa zipangwe na ziwe kwenye ratiba. Nyerere alipopata taarifa nasikia alimfukuza Kazibure kazi RTD na kuzuia asisafiri nje ya nchi na alinyanganywa vyeti vyake na passport ya kusafiria.

Mzee Kazibure alisononeka sana na baadae ilibidi awe mwalimu wa shule ya sekondari ili aweze kuilisha na kuhudumia familia yake.

Licha ya kuwa anaitwa baba wa Taifa ila upande mwingine wa shilingi Nyerere alikuwa na mapungufu na aliwaumiza sana walikuwa na mitazamo tofauti na yeye.
Licha ya kuwa anaitwa baba wa Taifa ila upande mwingine wa shilingi Nyerere alikuwa na mapungufu na aliwaumiza sana walikuwa na mitazamo tofauti na yeye.📌🔨
 
sasa hiyo ya kusema sijui nani aliishi vipi na aliishia wapi nyakati hizo, si ni kunukuu mambo ambayo hayawezi kusaidia chochote kwenye maisha ya nyakati hizi ambazo mwendo wa maisha ni mpela mpela, ili angalau kuishi ipasavyo katika siku za kuishi kwa mwanadamu aliezaliwa na mwanamke ambazo si nyingi?

hakua haja kupoteza muda na kubabaika na story na porojo za pata potea...

Neema na Baraka za Mungu zimsaidia kila moja aishi kadiri ya mapenzi ya Mungu, sio kadiri ya nani na nani sijui huko waliishi vip nyakati hizo. Maisha ndiyo haya ishi uwezavyo kwa uwezo wa Mungu 🐒
Kuna masomo muhimu ya kiroho itabidi nijitolee bure kukufundisha.. Yatakupa mafunuo mengi na yatakusaidia sana.. Kwasasa nimekusamehe kabisa kwakuwa nimegundua kuna mambo huyajui
 
Unazungumziaje wale kutwa kutukana wenzao na kutweza utu labda wameanza kulipia kabla hawajafa au tusubiri tuone karma za vizazi vyao au wao wanalipia ya wazazi wao waliyoyatenda huko nyuma maana wauji sio lazima wawe serikalini mfano wengine ni majambazi ni wauaji wengine waligonga watu kwa makusudi bado ni wauaji walipanga mipango ya kuua wenzao kwa kutaka vyeo je hao karma haiwahusu tena ni wengi kuliko walio serikalini kutoka chama kileeeeee!
Kama haichagui wala haibagui. Ila kwa muktadha wa mada lengo lilikuwa kuwaasa wanasiasa wa chama chawala na familia zao.. Huwezi amini kuna mmoja kanisa PM kunishukuru
 
Kama haichagui wala haibagui. Ila kwa muktadha wa mada lengo lilikuwa kuwaasa wanasiasa wa chama chawala na familia zao.. Huwezi amini kuna mmoja kanisa PM kunishukuru
Ni kweli ni mtazamo tu mada imelenga ni lazima iwe chama tawala tu basi ni kazi hawa wengine ni malaika!
 
Kama kuna la kujifunza wengine wajifunze sasa. Na ni lazima wajilazimishe kutambua ya kwamba kuna kesho. Na kesho ni kubwa kuliko leo

Watoto wa wanasiasa.. Wazazi wenu baadhi mikono yao imejaa damu za watu. Wengine walifika walipofika kwa kuwakandamiza na kuwaumiza wengine.

Watoto wa wanasiasa wa sasa.. Msisahau kuna karma hii kitu haijui neno msamaha unavuna ulichopanda.. Mbaya zaidi matendo ya mzazi huathiri future ya watoto mzazi akiwa hayupo tena dunliani..

Hawa wanaolalama sasa hivi pengine wazazi wao baadhi walikuwa wema lakini kila nyakati zina majira yake.

Niwataje wachache waliojitokeza mbele ya hadhira kutujulisha wanayopitia
  • Mtoto wa marehrmu Deo Filikunjombe
  • Mtoto wa marehemu kapteni John Komba
  • Mtoto wa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mchonga meno rais wa kwanza wa Tanganyika na baba wa Taifa la Tanzania
Pengine malalamiko yao yanaweza kuonekana hayana msingi ila kuna ujumbe mkubwa sana kiroho inapitia kwenye midomo yao.

Wazazi wao walikuwa makada muhimu kwenye chama tawala. Na watu wenye nguvu na umaarufu mkubwa. Lakini Wakati si milele na kesho ni kubwa kuliko leo.

Wao si wa kwanza na wala hawatakuwa wa mwisho.

Watakaosalimika ni watu tu ambao wazazi wao watakuwa na maono ya tafakuri kubwa kwamba
  • Kuna maisha baada ya madaraka
  • Kuna maisha baada ya umaarufu
  • Kuna maisha baada ya siasa vyeo, ukwasi na connection mbalimbali
  • Kuna maisha baada ya kifo kwa wale utakaowaacha duniani uzao wa tumbo lako.
🤣🤣🤣 hyo n yako mkuu iv story ya sauli na daudi vp jua tu aijalish mzaz wako alikuwa wakwanza kuwa kiongoz kkubwa alikuwaanda kuwa nan baadae yy atapokufa kama alikuwa anakuchukulia boya ivi alaf utegemee jiran aje kukuinua hyo amnaga mjomba wafanye kaz bb zao walijisahau walikuwa wanaenda ulaya kunywa kahawa na malikia tengeneza kwako kwanza
 
Kuna masomo muhimu ya kiroho itabidi nijitolee bure kukufundisha.. Yatakupa mafunuo mengi na yatakusaidia sana.. Kwasasa nimekusamehe kabisa kwakuwa nimegundua kuna mambo huyajui
Yes,
napokea mafundisho ya neno la Mungu vizuri sana na kwakweli napenda nifundishwe kama mtoto asiejua chochote hata ikibidi kwa viboko...

Lakini kupromote umasikini kwa dhana potofu kabisaa ya karma, hiyo ni laana kabisaa. Yaani baba au mama alikua maskini, na mtoto nae aishi kimaskini kama baba na mamake? that's very wrong..

Ni muhimu kila moja kutumia kipawa chake kadiri ya Neema na Baraka za Mungu, sio kusingizia strengths and weakness za maisha ya watu wengine dhidi ya wasio husika...

muhimu zaidi watu waache uvivu,wafanye kazi. wazidishe juhudi katika kufanya kazi, kwani mtaji walionao ni nguvu zao wenyewe na sio mtu mwingine 🐒
 
Karma ni wishful thinking tu...... and it is,and if happens, is merely by chance.

Hivi karma iliyowapata wazungu (Europe) kwa ukoloni na biashara ya watumwa ni ipi? or USA kwa kuugeuka chinja chinja wa dunia?

Au karma has effect on a person, not an entity!?
Hata chawa wa leo wakumbuke ipo karma,kama hawaamini itawajia na itapowafika ni muda wa kuchelewa,hata entity zinakutwa,rejea maanguko ya tawala na falme mbali mbali na mambo yake.
 
Karma ni imani ya kichawi tu. Ingekuwa inafanya kazi basi CCM ingeshakuwa matatizoni jinsi inavyolaumiwa na nyumbu. Lakini cha kushangaza CCM inazidi kuchanja mbuga. Au karma ingekuwa inafanya kazi basi Mbowe angeshapata matatizo kwa jinsi alivyo na tuhuma nyingi za uonevu na ukatili dhidi ya wote waliotaka cheo chake cha uenyekiti.
 
Back
Top Bottom