Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
- Thread starter
- #21
Ni ngumu kuishi bila rafiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ngumu kuishi bila rafiki
Tumetofautiana kidogo tu. Mimi kila rafiki anataka niwe msaada kwake, ila mimi nikihitaji msaada kutoka kwao huwa wanapotea.Huwa najiuliza hii inakaaje yaan kila rafiki au marafiki nao wapata wanataka mashindano na vita namm.
Mwanzo nilijua ni coincedence baadae nilipofanya Tathmini nikagundua ni pattern kabisa kua kila rafiki lazima awe ni mnafiki au anachukua vitu kwa ajili ya kunitandika navyo baadae.
Nikiwa Advance nilikua na rafiki benet sana tulikua tumereport siku moja shulen hapo na tulikua tunasoma combination moja.Jamaa ni mwana kila mahali tuko wote sasa siku ikatokea nimefanya jambo fulani la aibu mbele ya shule tukiwa parade but ilikua kama comedy fulan watu walicheka sana.
Sasa uyo rafiki yangu yeye akawa ananiigiza kabisa tena ndo wa kwanza kunicheka na kukumbushia watu.Yaan watu washasahau hawana hata time na hiko kitu ye kwene vigenge anakumbushia ili grup lianze kunicheka na kunikejeli.
Kifupi n ile jamii ya watu wanaofurahia mtu kudharirishwa au kuandamwa au kuumizwa.Daah nilijiona mnyonge si kwasababu ya watu ila kwasababu yake sikutegemea yy ndo awe mwiba.
Yaan badala yy apotezee ye ndo akawa kubwa la maadui na wala hajishtukii bado anakuja kwangu na anaendelea na mawasiliano kama kawaida najiuliza huyu mwana ana Gut.
Nilivoenda chuo kuna jamaa tena alikua mwana tunasoma wote misele na kila kitu .Tunashare shida na raha
Siku Kuna kitu tumezinguana na wana rum sijui kitu gan si unajua mkiishi vijana laziam mpishane.Si ghafla kawatumia picha zangu nikiwa nimelala bila boxa
Waweza cheka ila [emoji23][emoji23]Ila inasikitisha likiwa jambo lako.Kuna siku kulikua na joto afu boxa chafu Vijana mnajua boxa chafu na joto visivopatana.Basi usiku nikaamka nikatoa nikalala zangu. Sasa yy sijui alikua anaamka saa8 usiku kusoma.Sasa kaniona kanipiga picha kazitunza kimya kimya.Akawatumia jamaa siku iyo tumezinguana Daah zilitrend chuo kizima.
Sasa nikajiuliza huyu jamaa alikua na lengo gan majibu sipati.Na aliowatumia si kua ni marafiki zake no ni room mate tu. Basi nikafanya kama yakikua masihara njapotezea.Lakini nikapunguza ukaribu tukawa tu marafiki wa kawaida sana.
Miaka mitatu baada ya kumaliza shule nakuja kugungua alikua ana file langu la picha na video za ajabu. Za ajabu naamanisha maisha ya chuo mara utoke kuoga uchi( si unajua kiumeni) , Kucheza miziki vibe, maigizo tunayofanya yaan kifupi ni ule ushenzi ushenzi.
Nikajifunza kuna watu ni hatari na ukimuona hatuna ugomvi wala hatujawai zinguana kusema analipa kisasi no.Tunaishi tu poa mara nyingine ananitumia kazi au kusaidia kitu Lakini shida ni huu upande wa shilingi alionao sifahamu anamalengo gani.
Kuna muda alikua anasema ukiwa maarufu tutafukua makaburi yako .Nilimpuuza kwasababu sijawai waza nitakua maarufu kumbe alikua anarecod kila details.
############%
Nilimind sana.
Yaan imefika sehemu nimekua insecure.
Msomi wa chuo hujui tafauti ya hicho na hikoHuwa najiuliza hii inakaaje yaan kila rafiki au marafiki nao wapata wanataka mashindano na vita namm.
Mwanzo nilijua ni coincedence baadae nilipofanya Tathmini nikagundua ni pattern kabisa kua kila rafiki lazima awe ni mnafiki au anachukua vitu kwa ajili ya kunitandika navyo baadae.
Nikiwa Advance nilikua na rafiki benet sana tulikua tumereport siku moja shulen hapo na tulikua tunasoma combination moja.Jamaa ni mwana kila mahali tuko wote sasa siku ikatokea nimefanya jambo fulani la aibu mbele ya shule tukiwa parade but ilikua kama comedy fulan watu walicheka sana.
Sasa uyo rafiki yangu yeye akawa ananiigiza kabisa tena ndo wa kwanza kunicheka na kukumbushia watu.Yaan watu washasahau hawana hata time na hiko kitu ye kwene vigenge anakumbushia ili grup lianze kunicheka na kunikejeli.
Kifupi n ile jamii ya watu wanaofurahia mtu kudharirishwa au kuandamwa au kuumizwa.Daah nilijiona mnyonge si kwasababu ya watu ila kwasababu yake sikutegemea yy ndo awe mwiba.
Yaan badala yy apotezee ye ndo akawa kubwa la maadui na wala hajishtukii bado anakuja kwangu na anaendelea na mawasiliano kama kawaida najiuliza huyu mwana ana Gut.
Nilivoenda chuo kuna jamaa tena alikua mwana tunasoma wote misele na kila kitu .Tunashare shida na raha
Siku Kuna kitu tumezinguana na wana rum sijui kitu gan si unajua mkiishi vijana laziam mpishane.Si ghafla kawatumia picha zangu nikiwa nimelala bila boxa
Waweza cheka ila [emoji23][emoji23]Ila inasikitisha likiwa jambo lako.Kuna siku kulikua na joto afu boxa chafu Vijana mnajua boxa chafu na joto visivopatana.Basi usiku nikaamka nikatoa nikalala zangu. Sasa yy sijui alikua anaamka saa8 usiku kusoma.Sasa kaniona kanipiga picha kazitunza kimya kimya.Akawatumia jamaa siku iyo tumezinguana Daah zilitrend chuo kizima.
Sasa nikajiuliza huyu jamaa alikua na lengo gan majibu sipati.Na aliowatumia si kua ni marafiki zake no ni room mate tu. Basi nikafanya kama yakikua masihara njapotezea.Lakini nikapunguza ukaribu tukawa tu marafiki wa kawaida sana.
Miaka mitatu baada ya kumaliza shule nakuja kugungua alikua ana file langu la picha na video za ajabu. Za ajabu naamanisha maisha ya chuo mara utoke kuoga uchi( si unajua kiumeni) , Kucheza miziki vibe, maigizo tunayofanya yaan kifupi ni ule ushenzi ushenzi.
Nikajifunza kuna watu ni hatari na ukimuona hatuna ugomvi wala hatujawai zinguana kusema analipa kisasi no.Tunaishi tu poa mara nyingine ananitumia kazi au kusaidia kitu Lakini shida ni huu upande wa shilingi alionao sifahamu anamalengo gani.
Kuna muda alikua anasema ukiwa maarufu tutafukua makaburi yako .Nilimpuuza kwasababu sijawai waza nitakua maarufu kumbe alikua anarecod kila details.
############%
Nilimind sana.
Yaan imefika sehemu nimekua insecure.
Dunia ya urafiki ilishaputwa na wakti...Sasa twaishi kiushkaji na washkaji kwa Machale.Huwa najiuliza hii inakaaje yaan kila rafiki au marafiki nao wapata wanataka mashindano na vita namm.
Mwanzo nilijua ni coincedence baadae nilipofanya Tathmini nikagundua ni pattern kabisa kua kila rafiki lazima awe ni mnafiki au anachukua vitu kwa ajili ya kunitandika navyo baadae.
Nikiwa Advance nilikua na rafiki benet sana tulikua tumereport siku moja shulen hapo na tulikua tunasoma combination moja.Jamaa ni mwana kila mahali tuko wote sasa siku ikatokea nimefanya jambo fulani la aibu mbele ya shule tukiwa parade but ilikua kama comedy fulan watu walicheka sana.
Sasa uyo rafiki yangu yeye akawa ananiigiza kabisa tena ndo wa kwanza kunicheka na kukumbushia watu.Yaan watu washasahau hawana hata time na hiko kitu ye kwene vigenge anakumbushia ili grup lianze kunicheka na kunikejeli.
Kifupi n ile jamii ya watu wanaofurahia mtu kudharirishwa au kuandamwa au kuumizwa.Daah nilijiona mnyonge si kwasababu ya watu ila kwasababu yake sikutegemea yy ndo awe mwiba.
Yaan badala yy apotezee ye ndo akawa kubwa la maadui na wala hajishtukii bado anakuja kwangu na anaendelea na mawasiliano kama kawaida najiuliza huyu mwana ana Gut.
Nilivoenda chuo kuna jamaa tena alikua mwana tunasoma wote misele na kila kitu .Tunashare shida na raha
Siku Kuna kitu tumezinguana na wana rum sijui kitu gan si unajua mkiishi vijana laziam mpishane.Si ghafla kawatumia picha zangu nikiwa nimelala bila boxa
Waweza cheka ila 😂😂Ila inasikitisha likiwa jambo lako.Kuna siku kulikua na joto afu boxa chafu Vijana mnajua boxa chafu na joto visivopatana.Basi usiku nikaamka nikatoa nikalala zangu. Sasa yy sijui alikua anaamka saa8 usiku kusoma.Sasa kaniona kanipiga picha kazitunza kimya kimya.Akawatumia jamaa siku iyo tumezinguana Daah zilitrend chuo kizima.
Sasa nikajiuliza huyu jamaa alikua na lengo gan majibu sipati.Na aliowatumia si kua ni marafiki zake no ni room mate tu. Basi nikafanya kama yakikua masihara njapotezea.Lakini nikapunguza ukaribu tukawa tu marafiki wa kawaida sana.
Miaka mitatu baada ya kumaliza shule nakuja kugungua alikua ana file langu la picha na video za ajabu. Za ajabu naamanisha maisha ya chuo mara utoke kuoga uchi( si unajua kiumeni) , Kucheza miziki vibe, maigizo tunayofanya yaan kifupi ni ule ushenzi ushenzi.
Nikajifunza kuna watu ni hatari na ukimuona hatuna ugomvi wala hatujawai zinguana kusema analipa kisasi no.Tunaishi tu poa mara nyingine ananitumia kazi au kusaidia kitu Lakini shida ni huu upande wa shilingi alionao sifahamu anamalengo gani.
Kuna muda alikua anasema ukiwa maarufu tutafukua makaburi yako .Nilimpuuza kwasababu sijawai waza nitakua maarufu kumbe alikua anarecod kila details.
############%
Nilimind sana.
Yaan imefika sehemu nimekua insecure.
Kwa hisabu zangu naona ni kama wawili au?Sasa umesema kila rafiki, mbona kama ni mtu mmoja tu?
Kwa nini hukumripoti kwa wahusika ikiwa pamoja na polisi kwa kuzambaza picha zako ukiwa umelala bila nguo? Kwa nini hadi leo hujawahusisha polisi ikiwa unajua kuwa ana file la picha zako ukiwa uchi ambazo amezipata bila ya ridhaa yako na anatishia kuzisambaza siku moja? Ningelikuwa mimi ningelifanya ujanja wa kuweza kurikodi audio baina ya mimi na yeye tukizungumza kiurafiki kabisa kuhusu issue zote hizo na nitahakikisha katika mazungumzo hayao anakiri kufanya aliyoyafanya na nini anapanga kufanya juu ya file alilonalo na baadae nipeleka audio polisi. Kama hiyo ni ngumu basi ningelianzisha amzungumzo nae ya textHuwa najiuliza hii inakaaje yaan kila rafiki au marafiki nao wapata wanataka mashindano na vita namm.
Mwanzo nilijua ni coincedence baadae nilipofanya Tathmini nikagundua ni pattern kabisa kua kila rafiki lazima awe ni mnafiki au anachukua vitu kwa ajili ya kunitandika navyo baadae.
Nikiwa Advance nilikua na rafiki benet sana tulikua tumereport siku moja shulen hapo na tulikua tunasoma combination moja.Jamaa ni mwana kila mahali tuko wote sasa siku ikatokea nimefanya jambo fulani la aibu mbele ya shule tukiwa parade but ilikua kama comedy fulan watu walicheka sana.
Sasa uyo rafiki yangu yeye akawa ananiigiza kabisa tena ndo wa kwanza kunicheka na kukumbushia watu.Yaan watu washasahau hawana hata time na hiko kitu ye kwene vigenge anakumbushia ili grup lianze kunicheka na kunikejeli.
Kifupi n ile jamii ya watu wanaofurahia mtu kudharirishwa au kuandamwa au kuumizwa.Daah nilijiona mnyonge si kwasababu ya watu ila kwasababu yake sikutegemea yy ndo awe mwiba.
Yaan badala yy apotezee ye ndo akawa kubwa la maadui na wala hajishtukii bado anakuja kwangu na anaendelea na mawasiliano kama kawaida najiuliza huyu mwana ana Gut.
Nilivoenda chuo kuna jamaa tena alikua mwana tunasoma wote misele na kila kitu .Tunashare shida na raha
Siku Kuna kitu tumezinguana na wana rum sijui kitu gan si unajua mkiishi vijana laziam mpishane.Si ghafla kawatumia picha zangu nikiwa nimelala bila boxa
Waweza cheka ila 😂😂Ila inasikitisha likiwa jambo lako.Kuna siku kulikua na joto afu boxa chafu Vijana mnajua boxa chafu na joto visivopatana.Basi usiku nikaamka nikatoa nikalala zangu. Sasa yy sijui alikua anaamka saa8 usiku kusoma.Sasa kaniona kanipiga picha kazitunza kimya kimya.Akawatumia jamaa siku iyo tumezinguana Daah zilitrend chuo kizima.
Sasa nikajiuliza huyu jamaa alikua na lengo gan majibu sipati.Na aliowatumia si kua ni marafiki zake no ni room mate tu. Basi nikafanya kama yakikua masihara njapotezea.Lakini nikapunguza ukaribu tukawa tu marafiki wa kawaida sana.
Miaka mitatu baada ya kumaliza shule nakuja kugungua alikua ana file langu la picha na video za ajabu. Za ajabu naamanisha maisha ya chuo mara utoke kuoga uchi( si unajua kiumeni) , Kucheza miziki vibe, maigizo tunayofanya yaan kifupi ni ule ushenzi ushenzi.
Nikajifunza kuna watu ni hatari na ukimuona hatuna ugomvi wala hatujawai zinguana kusema analipa kisasi no.Tunaishi tu poa mara nyingine ananitumia kazi au kusaidia kitu Lakini shida ni huu upande wa shilingi alionao sifahamu anamalengo gani.
Kuna muda alikua anasema ukiwa maarufu tutafukua makaburi yako .Nilimpuuza kwasababu sijawai waza nitakua maarufu kumbe alikua anarecod kila details.
############%
Nilimind sana.
Yaan imefika sehemu nimekua insecure.