Dodoma Demand
Senior Member
- Oct 6, 2021
- 130
- 74
Kweli miss you ilikuwa WIMBO WA MZUNGU!?You only hate the road when you miss home.
Labda Tanzania Mpya imo hiyoUSA panatisha sana ,njugu nje nje ,ukizingua unakula BOMBA.
Sijakuelewa?Kweli miss you ilikuwa WIMBO WA MZUNGU!?
tatizo la marekani ni siasa mbaya iliyokumbatia ubaguzi wa rangi, kiasi hata mifumo ya sheria inaabudu hilo."Every to hours America Today child dies of gunshot wound!? "Is scared they what family planning to work or behavior"
Tuendelee kuchezea Label ya "tanzania mpya" na "tanzania ni nchi ya amani"
Gemu gumu wengine huwa wanakimbilia KIFO TU... Hata Tanzania wapo full mivutano wakati hakuna cha maana kinachofanyika.... Watu wanapiga siasa za majukwaani tu.... Inaitwa UPINZANI/UTAWALA UCHWALA - MASHABIKI MTAUANA WENYEWEtatizo la marekani ni siasa mbaya iliyokumbatia ubaguzi wa rangi, kiasi hata mifumo ya sheria inaabudu hilo.
Ni kama ilivyo tanzania ambapo ubaguzi wa kisiasa umejikita hasa katika jeshi la polisi wanaopaswa kuwa watunza amani pasipo kuangalia itikadi za kisiasa.....mharibifu wa amani ya tz atakuwa yule anayelipwa mishahara ili atunze amani.
mp.umbavu hawezi kunielewa
IMBA JEJE YA DIAMOND UTAJUA MINYUKANO YA WIMBO ULIKUWA WANGU - UMEIMBA WEWESijakuelewa?
Jeje na mimi wapi na wapi mjomba! Sina huo muda kwa kweli. Nimechagua kubaki gizani na hiyo hoja yako.IMBA JEJE YA DIAMOND UTAJUA MINYUKANO YA WIMBO ULIKUWA WANGU - UMEIMBA WEWE
Jeje na mimi wapi na wapi mjomba! Sina huo muda kwa kweli.