Obuntu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 510
- 34
Obuntu habari yako?? Umenionea BE???
Obuntu habari yako?? Umenionea BE???
Labda naye amekuwa kama Jide: Ebu msikilize Binti Machozi:
YouTube - Teja by Lady JD - New Bongo Music 2010
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Obuntu habari yako?? Umenionea BE???
Obuntu habari yako?? Umenionea BE???
Labda naye amekuwa kama Jide: Ebu msikilize Binti Machozi:
YouTube - Teja by Lady JD - New Bongo Music 2010
Ha ha ha haya bana ngoja tumsubiri.
Obuntu ananiambia eti amekuwa teja wa mapenzi sijui mimi sizijui nyimbo hizo
Nimekuwa na hili swali kwa muda mrefu sana.
Najiuliza "Hivi kwanini napenda sana kubembelezwa"???? NA kubembeleza????
Mwanzoni Husband alikuwa anashindwa ila siku hizi ha kila mara anafanya hivyo.
Ni kudeka, au ni kitu gani. Wakati nikiwa msichana mdogo nikiwa na mvulana usiponibembeleza nakupiga chini ila ukinibembeleza aahhh sikuachi.
Tena napenda yale maneno mazuri matamu matamu (Na mimi huwa nayatumia kwa sana) Baby, Darling, My Love, Sweetie, nk
NB: BE marufuku kuchangia hapa
Nisaidie kumwambia maana naona slow leaner huyo
to my experience hiyo ni tabia ya wanawake wote, siyo wewe tu da, kama watakuwa wakweli wataandika hapa.. Mnataka hata mnapofanya kosa msiambiwe kwa ukali... Duu mapenzi kazi kwelikweli..:a s 13:..
<br /><b><font face="georgia"><font size="4"><font color="royalblue">na hata wakikosea watatafuta kosa la miaka iliyopita la kukubandikia ili mwisho uombe msamaha...<br />
<br />
</font></font></font></b>
<br />
<br />
Kuna ka ukweli
na hata wakikosea watatafuta kosa la miaka iliyopita la kukubandikia ili mwisho uombe msamaha...
<br /><br />
<br /><br />
Huwa unapiga ngoma nn?