Kila siku Najiuliza Sipati Jibu

Kila siku Najiuliza Sipati Jibu

Je wewe ulishawahi kubembelezwaaaa...........mwenzio mimi nilishawahi kubembelezwa aaa ... aaaa kumbembelezwaaa....eeeh kumbembelezwaaa....""""" DA kwa mwanaume yeyote anaecare na kupenda, lazima tu nae abembeleze... hata me huwa nadeka kweli... always sikui kwake.
 
Je wewe ulishawahi kubembelezwaaaa...........mwenzio mimi nilishawahi kubembelezwa aaa ... aaaa kumbembelezwaaa....eeeh kumbembelezwaaa....""""" DA kwa mwanaume yeyote anaecare na kupenda, lazima tu nae abembeleze... hata me huwa nadeka kweli... always sikui kwake.

Mie nabembelezwa ile mbaya dear
 
Japokuwa nimechelewa mada lakini kubembelezana raha jamani mie akkha wangu mie kwa sana yeye kwa sana.
 
Mie nabembelezwa ile mbaya dear

Banned, Ulitembelea mitaagani mydear mpaka wane 'ku-choma' Najua utaisoma ila huwezi kujibu, naomba kifungo kiwe kifupi saaana. i will miss you..
 
Banned, Ulitembelea mitaagani mydear mpaka wane 'ku-choma' Najua utaisoma ila huwezi kujibu, naomba kifungo kiwe kifupi saaana. i will miss you..

Jamani my sister kaenda kwenye siasa nini??? Pole dena
 
Hayo maneno yoote uliyotaja ni ya kitapeli njoo Sinza utapata hata ambayo huyajui, kazi ikiisha unatolewa nduki.

Ha haaa haaa au pale maeneo yetu karibu na Corner bar au Hongera.njoo ubembelezwe!
 
Dena jana mpaka saa nane tuko wote yamemkuta yepi jamani mwenye kujua anijuze tafadhali
 
Tunafanya saaana tu sie tuliofundwa basi tu huwa hamzikubali, mi napenda pale tumegombana ugomvi mkubwa halafu nabembelezwa jamani, halafu mnaishia mahala fulani, halafu mi naendelea tu kulia haieleweki nalilia ugomvi au muendelezo. mhhhh mapenzi matamu jamani

Inaonekana wewe ni mwangaliaji mzuri sana wa hizi sinema za kisasa za wafilipino na watu wa latin Amerika. Nahisi zimekuathiri kisaikolojia.
 
Inaonekana wewe ni mwangaliaji mzuri sana wa hizi sinema za kisasa za wafilipino na watu wa latin Amerika. Nahisi zimekuathiri kisaikolojia.

Zile ushaona wanaonyesha watu wanananihii? wale unafikiri wako kizungu wale baraza lao la sanaa kama letu tu la kibongo hawavui nguo wale. Kama umenifatilia mie huwa najielezea mwenyewe sana tu experience za maisha niliyopitia, kwani hiki nilichokielezea kinaonekana sinema?
 
Back
Top Bottom