Sawa mi mpumbavu, ila wakiianzisha zile harakati zao zilizowafanya kuwekwa korokoroni watarudi tena walikotoka. Utulivu huu unaletwa kwa hisani ya BAKWATAUna upumbavu ndani ya akili yako, usione kwa kuwa sio ndugu zako then unajibu hivi na elewa wale ni binadamu kama sisi na walikua ni suspects tu, haki zao zimeathiriwa na ukamataji usio wa haki, 7yrs jail sio 7days mkuu,muda mwingine tuonyeshe ubinadamu mbele sio itikadi zetu, hope's wanasheria wao wataufungulia mashitaka serikali kwa wrongful arrest na 7yrs waliyopoteza mahabusu.
Wamrudie muumba wao, waache kilichosababisha wakamatwe.
Katika neno magaidi kaweka fungasemi 'magaidi' nadhani huyo ni muandishi mkongwe anafahamu kwa nini kaandika vile.Mbona unawahukumu mkuu hao siyo Magaidi ni "watuhumiwa/washukiwa wa ugaidi."
Umekosea! Walikamatwa na JK!Na wote Hawa kwa majina yao,ni WA dini moja,walikamatwa wakati mkuu wa nchi ni WA dini tofsuti,aliyepo sasa hv ana dini kama wao,ameona awaachie,ila anawapa kesi za ugaidi WA dini tofauti,tutafika tu
Jakaya mrisho kikwete ni dini tofauti kivipi?Na wote Hawa kwa majina yao,ni WA dini moja,walikamatwa wakati mkuu wa nchi ni WA dini tofsuti,aliyepo sasa hv ana dini kama wao,ameona awaachie,ila anawapa kesi za ugaidi WA dini tofauti,tutafika tu
Yeye alifanya nin kipindi chote cha miaka sita aliowah kukaa madarakani kabla hajatwaliwa kuzimu? Halaf we kwan wew ni nani hasa mjane wa huyo jamaa? Au we ndo kidoti? Mbona unalia lia sana?
Mbowe kakamatwa akiwa tayari keshasilimishwa na kupewa jina abubakar, kwa hapo siyo mkristo.Hawa ndio watuhumiwa pekee ambao ni waislam. Mtu mwingine ametuhimiwa ugaidi akiw ank Mkristo ni Freeman Mbowe tu.
Hii ni tangu ugaidi uanze duniani Mkristo kuitwa Gaidi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😁🤣🤣Mbowe kakamatwa akiwa tayari keshasilimishwa na kupewa jina abubakar, kwa hapo siyo mkristo.
naliona hilo. Mpaka 4 april itafahamikaUfutaji unaofanyika sasa hivi ni njia ya kumuachia friimani mbouwee,ionekane ni muendelezo wa kusamehe magaidi
Chi...Jamhuri imeahirisha mashtaka yao, Nolle prosequi ....muda wowote inaweza kukiwasha, halafu kufutwa kwa mashtaka kutawafanya sheikh ponda na Mohamed saidi kufa njaa, wataomba Hela za wafadhili kwa ajili ya nini sasa
Jibu unalo kwamba amekuja wa dini yao ndio anawatoa kwa maana ya kwamba waliowafunga walikuwa wagalatia.Ndugu zanguni,
Kila uchao ''magaidi,'' wanafutiwa kesi.
Hili limekaaje?
Hawa hawakuwa ''magaidi?''
Bismillahir Rahmaanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
DPP LEO TAREHE 01.03.2022 AMEWAFUTIA MASHTAKA WATUHUMIWA 15 WA UGAIDI.
Mkurugenzi wa Mashtaka amewafutia mashtaka ya Ugaidi watu 15, jijini Dar es Salaam leo. Watu hao ni pamoja na:
1. Sheikh Juma Yasin Ali. (PI 55/2015).
2. Ustadhi Abdalla Juma Omar (PI 55/2015) na -
3. Nassoro Said Amoor (PI 55/3015).
Wengine ni:
4. Ali Nassoro Swala (PI 32/2015).
5. Juma Zuberi Kitambi (PI 32/2015).
6. Rajabu Ali Magomba (PI 24/2015).
7. Hussein Mustafa Juma (PI 24/2015) na
8. Haruna Issa Nkuye (PI 24/2015).
Wengine ni:
9. Buheti Yusuf Buheti (PI 7/2016).
10. Seif Shaha Jongo (PI 6/2016).
11. Yusuf Issa Rajab (PI 7/2016) na
12. Hassan Bakari Mnele (PI 50/2015).
Wengine ni:
13. Ramia Shaaban Swaleh (PI 50/2015).
14. Abdul Majid Juma Ludima (PI 13/2016) na
15. Rashid Hassan Mitambo (PI 13/2016).
Katika mashauri hayo ambayo hayakupata kuzungumzwa ndani ya zaidi ya miaka saba, mkurugenzi alitamka mbele ya Jaji kuwa jamhuri haina nia ya kuendelea tena na mashauri hayo.
Ukiacha habari hii kwa ufupi Shura ya Maimamu tunaendelea kuratibu waliofutiwa mashtaka Arusha, Tanga na Mwanza jana na leo.
Ibrahimu Zuberi Mkondo
Msemaji wa Shura ya Maimamu Tz
0713118812
Kinachonisikitisha ni kuwa hii mada hapo chini nimeandika Kiingereza.
Hii ni mada niliwasilisha University of Ibadan, Nigeria mwaka wa 2006 katika kongamano kuhusu ugaidi:
ISLAM, TERRORISM AND AFRICAN DEVELOPMENT
ISLAM, TERRORISM AND AFRICAN DEVELOPMENT 8 th – 10 th FEBRUARY 2006 Venue University of Ibadan Conference Centre ...mohamedsaidsalum.blogspot.com
Hakika namkubali sana...Tatizo lenu waislamu hakuna umoja, ukweli namkubali Sheikh Ponda ndiyo mtetezi wa waislam hawa wengine ni wachuuzi wa dini tu na siyo viongozi
Ugaidi ni ugaidi, si kuiba kuku. Ukiiba ofisini tutakuta cheque ta benki uliyogushi, inatosha, unahukumiwa. Kama cheque si yako unaachiwa. Ugaidi ni tofauti. Kina Adamoo walitumwa na Mbowe kumuua Ole Sabaya, tumeona tigopesa wakithibitisha. Ushahidi pekee uliobaki na maiti ya Ole Sabaya, kwa ushirikiano wa Polisi na Afande Urio wauaji wakakamatwa Rau club ya mbege wakielekea kwa Ole Sabaya kumuua. Kwa vile hakufa usiseme kesi ni ya kubumba ndiyo maana wanazudi kutafuta ushahidi hata miaka 10, ukiwwachua Ole Sabaya bado yupo si watamuua?Ndugu zanguni,
Kila uchao ''magaidi,'' wanafutiwa kesi.
Hili limekaaje?
Hawa hawakuwa ''magaidi?''