Kila uchao ''magaidi,'' wanafutiwa kesi. Hili limekaaje?

LGF,7
Umechanganya kesi mbili tofauti.
Hii kesi ya Uislam wamekosa ushahidi kwa miaka saba na wameachiwa.

Walikamatwa kwa kudhaniwa ni magaidi.
 
 
Wengine ni magaidi haswa na majina yao!!, ni Yale Yale,Islamic terrorism ipo,kusema hakuna,ni kama mbuni kuficha kichwa kwenye mchanga,akifikili haonekani!
Whether Islam is terrorism,or is being used to justify terrorism,a means to an end!!,is none issue!!
Terrorism is real,state sponsored terrorism,religious terrorism(Islamic),
And these fundamentalist Islam it is either their way or the high way!!
 
Ukipingana na CCM wewe ni Gaidi!
 
hiki kinxgreza kimenitoa nje Mimi LY🤫
 
Jiulize Sasa kama kweli ni magaidi Kwa nini wafutiwe. Ila ujue siku moja waweza kuwa wewe
 
Sio jambo zuri,
Ila pia ni ukweli kwamba magaidi wengi wametoka upande huo. Mna kazi kubwa ya kufanya kuhakikisha vijana wenu hawawi radicalised na msimamo mkali wa dini
Yoda,
Kilichosababisha wakamatwe ni ule Uislam wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…