Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Sijui kama ya mkuu hapo juu ni kama hii,
Hii pia haina matangazo natumia kwenye pc hope itapiga kazi pia kwenye tv box
Gofile - Free file sharing and storage platform
Gofile is a free file sharing and storage platform. You can store and share your content of any type without any limit.store2.gofile.io
Nikimaliza kuangalia mechi Nita install baadae nitakupa feedback
Thanks again Sports HD ina stream bila buffering
Nina Android tv Box
Sijui kama ya mkuu hapo juu ni kama hii,
Hii pia haina matangazo natumia kwenye pc hope itapiga kazi pia kwenye tv box
Gofile - Free file sharing and storage platform
Gofile is a free file sharing and storage platform. You can store and share your content of any type without any limit.store2.gofile.io
Pamoja mkuuNi app moja Chief
vipi ulaji wa mb?Kama unatumia simu ya android, kuna hii app nayo ipo vizuri...
vipi ulaji wa mb?
nikiwa karibu na TV Box yangu jioni tuta-share jinsi ya kufanya. Mimi imenikatalia kwenye Windows PCNina Android TV, nilijaribu kuiweka lakini inagoma kufanya navigations, inakuwa haiwezekani ku-scroll up and down...
Hivyo huwa naitumia kwenye simu nikiwa mbali na TV...
Kodi ni hadithi nyingine, kama una mtandao wa uhakika na unajua ku-install Add-ons, you will enjoy a lotMkuu hizi apps za kustream mpira au vitu vingine, ukiamua kuzitumia inabidi usiwe na mawazo ya MB...
Kwenye hii app kuna links za SD na HD, kama unataka kupunguza matumizi ya MB basi chagua links za SD...
Kwa uzoefu ukiwa na 500MB, unatazama mechi moja ya football...
What is add onsKodi ni hadithi nyingine, kama una mtandao wa uhakika na unajua ku-install Add-ons, you will enjoy a lot
Kodi ni hadithi nyingine, kama una mtandao wa uhakika na unajua ku-install Add-ons, you will enjoy a lot
Kodi Addons
Check hizi The Loop, Sport HD, Centry Sports
Picha ya chini ni links za leo EPL toka The Loop addon...
View attachment 2198495
Smart tv yako inatumia os gani?wakuu kwa wenye Smart Tv inawezekana kustream ? Maana naonaga kuna apps zimeandikwa IPTV kuzitumia ndio sifahamu
Kaka samahani naingilia kati,kuna TV zinaitwa Tornado zinatengenezwa Egypt vipi una uelewa nazo kidogo?Smart tv yako inatumia os gani?
Sizifahamu mkuu, ushauri tu usinunue kitu ambacho hakina ofisi ama spea hapa kwetu.Kaka samahani naingilia kati,kuna TV zinaitwa Tornado zinatengenezwa Egypt vipi una uelewa nazo kidogo?