Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hyo kodi unaipataje mkuuChelsea live kabisa via kodi no scratch
View attachment 1782832
View attachment 1782834
View attachment 1782836
Natumia simuChelsea live kabisa via kodi no scratch
View attachment 1782832
View attachment 1782834
View attachment 1782836
Unatumia app ipi kwa androidChelsea live kabisa via kodi no scratch
View attachment 1782832
View attachment 1782834
View attachment 1782836
Chief kodi iko njema hebu nichekie na add on zitakazoniwezesha kupata chanel za habari, na hata mambo ya above18Unaweka ad blocker, browser nyingi za simu ad blocker zake ni weak tofauti na pc.
Firefox ad blocker inakuwa ile ile ila sidhani kama browser yao ipo optimized na TV, unaweza kujaribu.
Habari jaribu kuangalia official store humo humo ndani kuna kipindi chanel za bure kama AL Jazeera wanaweka addons zao.Chief kodi iko njema hebu nichekie na add on zitakazoniwezesha kupata chanel za habari, na hata mambo ya above18
Sijui jinsi ya kufika kwa kweli nisiwe muongoHabari jaribu kuangalia official store humo humo ndani kuna kipindi chanel za bure kama AL Jazeera wanaweka addons zao.
Sina kodi karibu kukuambia exactly step ila ukifungua tu ukiclik kama ni video utaona store options.Sijui jinsi ya kufika kwa kweli nisiwe muongo
Sina kodi karibu kukuambia exactly step ila ukifungua tu ukiclik kama ni video utaona store options.
Huhitaji kudownload repository yoyote kuweka plugins ambayo ipo official store ya kodi, store ya kodi ipo built in unapo download kodi.Mpaka ujue kudownload na ku- install repositories
Mimi hutumia hii linkFainali ndio hii mda mchache ujao kodi nilikua nimeinstall tu plugin moja ya sports hd naona kila nikitaka kufungua nikua kodi inagoma mzee so tunafanyaje tunaiangalia vipi fainal ikiwa hd kabisa
Leta na link ya brave kabisa niistall nitest nioneMimi hutumia hii link
Sema ina matangazo ya kutosha, kwa simu tumia brave browser ama kwa pc Hakikisha Una adblock, matangazo mengi sana kwenye hio site.