Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Haha sijui nikutukane kwa lugha gani.. Ur bad brother haha.. Duuh finally i got this b*tch.. Daaah thanks mkuuu.... Watu8 asante sanaaaaa kaka

Ooh!! naona umefanikiwa...

nilikuwa anaelekeza njia mbadala pia hapo juu, bila shaka wataokutana na kikwazo wataifuatilia hii njia mpya...

More Tanzania channels haha Watu8

Mkuu ni Startv na Azam 2 tu ndio ambazo inawezekana kuzidukua na kuziweka kwa KODI...

Utaratibu wa kuziweka ni ule ule, kama umeweza Azam2 basi hata StarTV ni vile vile...

Link ya StarTV ni rtmp://uni2rtmp.tulix.tv:1935/startv/myStream.sdp
 
Pouwa soon ntatoa feedback ya StarTV.... Let go with it....
 
Wadau nataka kuingiza azam2 kwenye kodi ktk hii tecno h6 lakini ili niipate playlist loader inabidi nifuate njia zipi maana Mimi nimefuata njia hii lakini zile plugin sijaziona-system-add-ons,install from zip nikifika hapo nimekwama
 
kaka nyuzi kama hizi ndio zinatakiwa, nimefuata maelekezo yote na nimefanikiwa, ishu imebaki kwenye internet magumashi, ila nimefanikiwa kuona baadhi ya chanel, lete kigongo kingine cha technology eroo
 
kaka nyuzi kama hizi ndio zinatakiwa, nimefuata maelekezo yote na nimefanikiwa, ishu imebaki kwenye internet magumashi, ila nimefanikiwa kuona baadhi ya chanel, lete kigongo kingine cha technology eroo
 
Mkuu mbona hujibu DM ?
 
Last edited by a moderator:
Dah hii halotel+kodi ni shida,wacha nizisubiri hizi game za jioni shukrani za dhati ziwafikie wale wote waliotuamsha usingizini😛oa
 
ahsante sana mkuu Chief-Mkwawa , Watu8 na wengine mlionifanya sasa niione Toshiba yangu ya maana sana
 

Attachments

  • Screenshot (2).png
    229.7 KB · Views: 446
Last edited by a moderator:
Chief-Mkwawa natumia Symbian Nokia 5230 yenye Software Version V51.0.002 nifanyeje ili niweze kupata IPTV
 
Last edited by a moderator:


Watu8 Aksante sana!!!! Startv sitaki sababu za kisiasa!!!!
 
Chief-Mkwawa natumia Symbian Nokia 5230 yenye Software Version V51.0.002 nifanyeje ili niweze kupata IPTV

native inakubali rtsp eka line ya voda then jaribu Ile dstv ya siku 1 bure voda then utaona mfumo wa link ulivyo. ukitafuta tv Angalia zenye mfumo huo.

pia ukidownload player kama core player na zenginezo utapata uwezo wa kucheza format nyingi zaidi
 
Last edited by a moderator:

mkuu, Dstv Mobile siipati siku hizi naona simu tv tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…