Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Haha sijui nikutukane kwa lugha gani.. Ur bad brother haha.. Duuh finally i got this b*tch.. Daaah thanks mkuuu.... Watu8 asante sanaaaaa kaka
Ooh!! naona umefanikiwa...
nilikuwa anaelekeza njia mbadala pia hapo juu, bila shaka wataokutana na kikwazo wataifuatilia hii njia mpya...
More Tanzania channels haha Watu8
Mkuu ni Startv na Azam 2 tu ndio ambazo inawezekana kuzidukua na kuziweka kwa KODI...
Utaratibu wa kuziweka ni ule ule, kama umeweza Azam2 basi hata StarTV ni vile vile...
Link ya StarTV ni rtmp://uni2rtmp.tulix.tv:1935/startv/myStream.sdp