Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Jamani mi nataka supersports ntaipataje?...maana nimehangaika weeeee sijafanikiwa...izo zingine nimeweza ila bado supersports.
 
utaipata zem tv....google namna ya kuweka addon yake kwny kodi

Iyo zemtv nnayo nshainstall na supersports inatokea pale ss1 adi ss7...tatizo kila nikigungua inagoma...inasema one or more nini cjui..yani haijawahi kufunguka
 
Iyo zemtv nnayo nshainstall na supersports inatokea pale ss1 adi ss7...tatizo kila nikigungua inagoma...inasema one or more nini cjui..z G unvnnnvvvvvvnnvvv?vvvvvvvvvvnvvvvnn?nchaijawahi kufunguka

mayb network yako au servers zao labda zna matatizo kwa sahiv mi mara nyingi huwa naitumia hiyo
 
Kaka samahani zem tv inapatikana vipi kwa kutjmia dish. Au njia gani nakama ni dish la aina gani
 
Kaka samahani zem tv inapatikana vipi kwa kutjmia dish. Au njia gani nakama ni dish la aina gani

Huku watu wanatumia internet na laptop/simu/desktop/ kuangalizia tv. Hawatumii madishi
 
Sawa kaka mkwawa je inatakiwa nifanye mfumo upi kupitia hiyo internet ilinifurahie
 
Sawa kaka mkwawa je inatakiwa nifanye mfumo upi kupitia hiyo internet ilinifurahie
Anzia mwanzo wa uzi huu usome wote..utaelewa nini unatakiwa kufanya....kuliko kuanza kuuliza kitu ambacho kilishatolewa maelezo
 
Chief Mkwawa natumia Lumia 625 pluggs inn nitaipata yangu?

kuna app inaitwa live streaming universal hebu icheki store kwangu naona siipati now.

unaweza ku add manual tv, si kama kodi ila inasaidia
 
Tatizo langu ni moja nimedownload kodi lakin ukiifungua haifiki mwisho kufunguka. Ikifika katikati inastack haiendelei ten a. TV napata za baadhi ya channel za kupitia IPTV lakini naona siienjoy sana koz hakuna channel za maana
 
@Mkwawa niliinstal kodi then nijainstall kodi configurator. From there channel ni elfu kidogo. Am i wrong?
 
Wadau naomba maelekezo ya jinsi ya kuziweka hizi add ons,sportsdevil,money sports katika mpangilio mzuri mfano wake ni kama unavyoifungua phoenix ilivyokaa
 
Wadau naomba maelekezo ya jinsi ya kuziweka hizi add ons,sportsdevil,money sports katika mpangilio mzuri mfano wake ni kama unavyoifungua phoenix ilivyokaa

aliyetengeneza add ons ndio anaweza fanya hivyo wewe huwezi
 
Wataalamu nimeifanyia simu yangu hard reseat sasa nimeinstall upya kodi addons nilizoingiza mwanzo zimekubali kasoro money sports (http://4legends.co.UK/legends)hii inanikatalia kama kuna njia nyingine ya kuipata money sports naiomba.
 
MKUU MBNA MI HIZO SKY SPORT SIZIONI. AU KUNA KITU NIMEKOSEA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…