Innocizy
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,736
- 1,056
kuna The Beast by Chris Blower
unaweza kuiweka kwenye arleady installed Kodi iwe kwa simu au PC maana ana repository yake
http://chrisbwizard.pcriot.com/kodi/
Thanks kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna The Beast by Chris Blower
unaweza kuiweka kwenye arleady installed Kodi iwe kwa simu au PC maana ana repository yake
http://chrisbwizard.pcriot.com/kodi/
Jamani mi nataka supersports ntaipataje?...maana nimehangaika weeeee sijafanikiwa...izo zingine nimeweza ila bado supersports.
utaipata zem tv....google namna ya kuweka addon yake kwny kodi
Iyo zemtv nnayo nshainstall na supersports inatokea pale ss1 adi ss7...tatizo kila nikigungua inagoma...inasema one or more nini cjui..z G unvnnnvvvvvvnnvvv?vvvvvvvvvvnvvvvnn?nchaijawahi kufunguka
Kaka samahani zem tv inapatikana vipi kwa kutjmia dish. Au njia gani nakama ni dish la aina gani
Anzia mwanzo wa uzi huu usome wote..utaelewa nini unatakiwa kufanya....kuliko kuanza kuuliza kitu ambacho kilishatolewa maelezoSawa kaka mkwawa je inatakiwa nifanye mfumo upi kupitia hiyo internet ilinifurahie
Chief Mkwawa natumia Lumia 625 pluggs inn nitaipata yangu?
mkuu mm nimedownload kodi nimeweza kutizama aljazra lakn plugn ntaipztaje?na vp kuhusu chanel za hapa bongoPaki India TV
![]()
Wadau naomba maelekezo ya jinsi ya kuziweka hizi add ons,sportsdevil,money sports katika mpangilio mzuri mfano wake ni kama unavyoifungua phoenix ilivyokaa
Hii kitu iko poa sana
Zaidi napendelea Kuichomeka Laptop yangu kwa HDMI kwenye TV then nakula vitu
kODI ina majina Mengine kama XBMC na kuna latest Build inaitwa TVMC hii imekuja pre configured kila kitu wewe ni kuinstalll then next next done
Kama upo serious sana "Kodi" inapatikana katika Devices ambazo zimekua designed na kutumika na TV kama :-
1)Raspberry Pi
2)Android TV boxes
3)Amazon firesticks
4)Enigma II receivers
5)E.T.C
Hivo kama hautaki kutumia Laptop au Desktop yako au hautaki kutumia Simu au Tablet waweza consider hizo first 3 devices ni around 40$ kupanda juu lakini zinatumia WiFi so itabidi uwe na Router pia au simu ambayo utai sacrififce kurusha WiFi
Personally,Hii kitu na enjoy sana and my best addons ni
1)Paki Indi TV
2)Phoenix TV
3)Offsidestreams
Thanks to mleta mada sikujua kama huyu jamaa vdtube25 nae anayo addon yenye premium contents nzuri
Kuhusu swala la Internet ni challenge sana lakini mm nilichogundua ni kwamba kama unajua Internet yako ina Ping Speed ndogo fulani walau hakikisha basi inaweza ku peak mpaka 4Mbps bila wasi wasi
Mm natumia hii kitu na Tigo Ping speed yangu sio nzuri kivile ila walau my maximum Ping speed kwa speedtest.net napata average 170ms ila zile Download speeds zinapanda mpaka Downlink 7Mbps kwa 2Mbps Uplink.
Naweza angalia Channel kwa almost 1hr with simply initial buffers na baada ya hapo mambo yanakaa smooth
Najua hii part wabongo wengi bado maana kuna watu walikaririshwa eti TZ mitandao yake fake wakati kuna mitandao una stream 1080p video mwanzo mwisho bila buffer na ni 3G na kwa Live event
![]()
Kama pia Upo serious unataka kushusha madishi yote juu ya paa la nyumba yako kama mm :teeth:
Waweza consider kutumia jamaa wanaitwa offsidestreams.com jamaa hata uwe na Ping 200ms na Dwnlink internet ya 1Mbps waweza angalia mpaka beinsports HD Bila shida yoyote....
Tatizo wana charge pesa ila kama nilivosema kama upo serious sana na hii kitu waweza kuwajaribu
N:B: Hawa jamaa ukitumia Fake credit Card unapata free access ya 3-4days,Credit cards fake ziko Online nyingi waweza google Fake VBV/Credit cards
Mm hii huwa naipendelea kukiwa na match kali sana afu internet yangu magumashi
waweza angalia Video yangu moja youtube ya 8minutes kuanzia dakika ya 2 nilikua na stream at less than <1Mbps bila shida na ping yake sio kivile
Ukiitazama katika Thumbnails form kitu inavutia kweli mm nshasahau sana kuangalia TV kwa dishi antenna
![]()