Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Chief mkwawa heshima kwao mkuu,ninaomba unisaidie nifanyeje ili niki UPLOAD PICHA ILI KUI INSERT KWENYE HABARI IFANIKIWE,HII NI WIKI YA 2 HAIKUBALI,PLS
 
 
Acha nilale, I wish Ajazeera wangekuwa wanaonyesha mpira maana yenyewe ndo tu inaonekana zingine zote zimefail, nitaangalia matokeo ya The Gunner kwenye apps ya LIVESCORE
 
Naomba kuuliza ivi HAWA bein sports ligi ya EPL wanaonyesha Chanel namba ngapi??
 
Naomba kujua kuhusu TTCL IPTV nilidownload app. yao nikaangalia kama siku tano wakanikatia kabisa
 
Wadau hii kodi kwangu add ons zote zinakataa kufunguka si,sports devil wala phoenix,money sports nk yaani zote na hata ikikuonyesha kuwa inataka update inagoma ukiiupdate sasa naomba kama kuna njia nyengine yakuweza kuziingiza upya.
 
Yani hata mimi mkuu nimepata Aljazeera peke yake lakini nilizoingiza zote zimegoma naomba maelekezo zaidi huenda nimekosea wana jf
 
kama uliinstall addons kama .zip file hutapata updates hivyo unahitajika kucheki version mpya manual mahala ulipodownloadia

kama uliinstall repository kwanza utapata updates.

ni kawaida kwa addons kufa unatakiwa utafute mwenyewe nyengine.

just google utazipata nyengine mpya
 

got u mkuu mimi niliinstal kama zipi file daaah ngoja nizitafute mtandaoniii
 
Naomba kuzifahamu hizo add ons nyingine ambazo ni free si kwasababu ya kushindwa kugoogle hapana nimeona ni vyema kuzifahamu kwa MTU anayezifahamu vizuri.
 
Chief mkwawa hebu niweze nami niweze kuioakua hiyo kodi kwani hiyo link sijui uliyoeka hapo nafungua but sioni namna ya kuweza kuidownload kabisa msaada , samahani kwa usumbufu makala zako hua nazifatilia kwa umakini sana na kuanza kujaribu kupractice kidogo kidogo hivyo na niko kwa hii iptv
 
Vipi unatumia PC au smartphone
 
Ndugu zangu namaanisha wana jf wote kwa ujumla hasa mliofanikisha thread hii ya mambo ua iptv natoa shukurani nyingi kwenu kwani nimepata mwangaza mkubwa ktk kufahamu iptv na sasa tv iko mbali kabisa nami kwani nina apps mbili katika simu yangu zinaniwezesha kuona soka live bila kukwamakwama nazo ni MOBDRO na KODI asanteni sana Mungu awajalie mpate mengi zaidi ya kutusaidia sisi wengine
 
Reactions: Ok9
Duh! Leo nimetazama gem ya MAN U na STOKE live ndani ya supersport 7 kupitia ktk simu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…