Mkuu nime search tangu asubuhi ili niweze kuona tv za Tanzania naona sioni kitu. Msaada tafadhali. Natumia simu by the way.ipo ndio sema si muda wote inaonesha search hii thread utaipata.
Mkuu link ya tv hizi tafadhali.Hili tatizo hata mimi ninalipata. Mimi natumia simu.
Sauti inapatikana bila shida lkn picha hakuna kabisa hususani ITV, TBC, CHANNEL 10 etc.
Mkuu link nimeiona na nime i download tatizo linakuja kwenye device yangu sijui ndio ushamba nikifika hadi kwenye ku browser file pale naenda sehemu ambapo file lipo lakini linakua kama ni empty halina kitu. Nimejaribu ku download es file explorer naona yale yale inafikia hapa mkuu. Msaadaipo ndio sema si muda wote inaonesha search hii thread utaipata.
Bonyeza ok hapo the rudi tena nyuma kweny videos file utakuta hilo folder lenye hzo tv limekua added kisha lifungue kisha fungua hyo tv.strm utakuta tv zote hapoHapa ndio mwisho
Jamani, bado ninashida ya kuipata AZAM TWO kwa kutumia simu yenye Android OS.Yeah nshaisoma fresh Mm nilichofanya ni kama inavyooonekana kwenye hii picha
Hapa ntatengeneza custom List ya channel nazopenda tu, achana na zile m3u unapakua unakuta channel 200 unashindwa uangalie ipi uache ipi na mpaka upate channel unayotaka nayo ni shida pia
Kuna Kipindi nilisha load mpaka channel zikawa book ikawa ni tabu kutafuta channel yako nzuri ipo namba ngapi
Results zangu kutumia PVR IPTV Simple client hizi hapa chini
ipo ndio sema si muda wote inaonesha search hii thread utaipata.
kodi ni hio hio kaka, download tu tokea link ya juu kwenye thread version ya android halafu tumia file la .strm lililoekwa humuChief mkwawa Msaada wako...natumia box la 4K android...kodi ipi ntatumia au kudowload nizipate TV za nyumbani Tanzania.?
Jamani, bado ninashida ya kuipata AZAM TWO kwa kutumia simu yenye Android OS.
Labda kama kuna namna nyingine yoyote ya kunisaidia.
Jamani, bado ninashida ya kuipata AZAM TWO kwa kutumia simu yenye Android OS.
Labda kama kuna namna nyingine yoyote ya kunisaidia.
Sawa mkuu nashukuru wacha nifanye hivyo nione. Nitaleta mrejeshoBonyeza ok hapo the rudi tena nyuma kweny videos file utakuta hilo folder lenye hzo tv limekua added kisha lifungue kisha fungua hyo tv.strm utakuta tv zote hapo
Ningekua mlevi ningesema nililewa kumbe nilikua nimemaliza kila kitu. Aksante mkuu. Zipo Itv...Eatv...chanel ten.... tbc... citizen na nyingine nyingi za afrika. Clouds vipi yenyewe??Bonyeza ok hapo the rudi tena nyuma kweny videos file utakuta hilo folder lenye hzo tv limekua added kisha lifungue kisha fungua hyo tv.strm utakuta tv zote hapo
hapana kwangu inakataa. nimejaribu pia kwenye VLC nako imekataa.hio link ukiiplay na mx player inakubali?
hapana kwangu inakataa. nimejaribu pia kwenye VLC nako imekataa.
Ahsante sana CHIEF MKWAWA.ukiona kote haiplay ujue wapo offline. streaming za bongo ndio zilivyo ngoja wengine waje kutuhakikishia
Azam two wako offline muda mrefu na bado hawajarudi....hapana kwangu inakataa. nimejaribu pia kwenye VLC nako imekataa.